Nahisi kusoma kwangu ni bure, bora ningebaki tu nyumbani

Nahisi kusoma kwangu ni bure, bora ningebaki tu nyumbani

Hizo course siyo za watu wenye akili za kukariri,only that unatakiwa uwe unaelewa maths vizuri hasa probability ,logic set na aljebra,kama ushaanza kuona shida hapo mwanzoni huko mbele utapata tabu sana ,ni better uombe kuchange kozi
 
Nimeianza IT Rasmi, naiona Rahisi ila ya moto, wanvyofundisha sielewi kabisa yaani, darasani kama ni mtihani tukipewa leo au siku yoyte, basi mimi nitakuwa ni mmojawapo wa wanafunzi waliofanya vibaya darasani,

Jamani naombeni mnishauri jamani,,,,,,,

SASA BASI.....

Tukija upande wa practical sasa ukiachana na ma operating system kuyakariri, nipo vizuri japokuwa so kivili, kidogo najitahidi kutatua changamoto ndogondogo za kiteknolojia pale simu zao zinapopata shida,

NAOMBENI USHAURI JAMANI ALAF PIA MAPENZI YANANITESA NASHINDWA KUACHA JAPOKUWA SIJATONGOZA MSICHANA YEYOTE TANGU NIANZE MASOMO OCTOBER MWAKA HUu,
Pia mm ni level 4[emoji23][emoji23][emoji23]

nasema ukweliii... mapenzi yananitesaaaa... na ndio chanzo cha mimi kutokuelewa class nahisi, naombeni mnishauri kak zangu kwa dada zangu.......
Tatizo vyuo vimevamiwa Kuna watu wanatakiwa kuwa wapiga debe au Makondakta daladala au vibarua wabeba mizigo sokoni au nzege kwenye majenho wanaomba kusoma IT vyuoni na kupoteza Bure pesa za ada za wazazi wao

Ushauri acha chuo nenda kawe mpiga debe au msukuma mkokoteni au kibarua mbeba nzege kwenye majengo
 
Nimeianza IT Rasmi, naiona Rahisi ila ya moto, wanvyofundisha sielewi kabisa yaani, darasani kama ni mtihani tukipewa leo au siku yoyte, basi mimi nitakuwa ni mmojawapo wa wanafunzi waliofanya vibaya darasani,

Jamani naombeni mnishauri jamani,,,,,,,

SASA BASI.....

Tukija upande wa practical sasa ukiachana na ma operating system kuyakariri, nipo vizuri japokuwa so kivili, kidogo najitahidi kutatua changamoto ndogondogo za kiteknolojia pale simu zao zinapopata shida,

NAOMBENI USHAURI JAMANI ALAF PIA MAPENZI YANANITESA NASHINDWA KUACHA JAPOKUWA SIJATONGOZA MSICHANA YEYOTE TANGU NIANZE MASOMO OCTOBER MWAKA HUu,
Pia mm ni level 4[emoji23][emoji23][emoji23]

nasema ukweliii... mapenzi yananitesaaaa... na ndio chanzo cha mimi kutokuelewa class nahisi, naombeni mnishauri kak zangu kwa dada zangu.......
Dogo soma aisee....acha masihara na elimu
 
Nimeianza IT Rasmi, naiona Rahisi ila ya moto, wanvyofundisha sielewi kabisa yaani, darasani kama ni mtihani tukipewa leo au siku yoyte, basi mimi nitakuwa ni mmojawapo wa wanafunzi waliofanya vibaya darasani,

Jamani naombeni mnishauri jamani,,,,,,,

SASA BASI.....

Tukija upande wa practical sasa ukiachana na ma operating system kuyakariri, nipo vizuri japokuwa so kivili, kidogo najitahidi kutatua changamoto ndogondogo za kiteknolojia pale simu zao zinapopata shida,

NAOMBENI USHAURI JAMANI ALAF PIA MAPENZI YANANITESA NASHINDWA KUACHA JAPOKUWA SIJATONGOZA MSICHANA YEYOTE TANGU NIANZE MASOMO OCTOBER MWAKA HUu,
Pia mm ni level 4[emoji23][emoji23][emoji23]

nasema ukweliii... mapenzi yananitesaaaa... na ndio chanzo cha mimi kutokuelewa class nahisi, naombeni mnishauri kak zangu kwa dada zangu.......
🖕🏽🖕🏽🖕🏽🖕🏽🖕🏽
 
Back
Top Bottom