Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We mwenyew bogus too kwa mujibu wa maji Yako, we ndo mtu wa kwanz kukutamkia maneno machafu huku, nimeshindwa kuvumiliaMsengesana alafu ni level 4 Bora aache Chuo akachemshe mahindi awauzie watu wale sio kuvamia taaluma zilizomuova saizi
Wemsenge sana, maneno machafu ni Jadi ya mtu Sawa Sawa kalia 🖕🏽 kwanzaWe mwenyew bogus too kwa mujibu wa maji Yako, we ndo mtu wa kwanz kukutamkia maneno machafu huku, nimeshindwa kuvumilia
Sema usaidie unataka nini ujue WordPress web development au unataka nini Android development?Naipenda IT ila Kuna kitu ndio kilinifanya niione ngumu, 5*****
Unataka kujua nini kwenye issues za IT ongea upewe SoMo watu wapo nondo humu utapigishwa Kwata ya Python km upo Havard,Samahani uncle... Chukulia poa too🙏🙏
Shotocan ni ugeni tu kumbe ulikuwa unanisumbuaTatizo vyuo vimevamiwa Kuna watu wanatakiwa kuwa wapiga debe au Makondakta daladala au vibarua wabeba mizigo sokoni au nzege kwenye majenho wanaomba kusoma IT vyuoni na kupoteza Bure pesa za ada za wazazi wao
Ushauri acha chuo nenda kawe mpiga debe au msukuma mkokoteni au kibarua mbeba nzege kwenye majengo
Ishi humo mkuu, mapenzi hayana shukrani hasa wakati unajitafuta na kupanga maisha yako, utakachoambulia ni maumivu.Hii comment kila nikiingia lazima niichungulie Kama haijafutwa... Safi sana🤝🤝🤝
Nenda kanunue malaya pale kitambaa cheupe mara tatu.Nimeianza IT Rasmi, naiona Rahisi ila ya moto, wanvyofundisha sielewi kabisa yaani, darasani kama ni mtihani tukipewa leo au siku yoyte, basi mimi nitakuwa ni mmojawapo wa wanafunzi waliofanya vibaya darasani,
Jamani naombeni mnishauri jamani,
SASA BASI.....
Tukija upande wa practical sasa ukiachana na ma operating system kuyakariri, nipo vizuri japokuwa so kivile, kidogo najitahidi kutatua changamoto ndogondogo za kiteknolojia pale simu zao zinapopata shida,
Naombeni ushauri jamani halafu pia mapenzi yananitesa nashindwa kuacha japokuwa sijatongoza msichana yeyote tangu nianze masomo october mwaka huu,
Pia mimi ni level 4
Nasema ukweliii mapenzi yananitesaaaa na ndio chanzo cha mimi kutokuelewa class nahisi, naombeni mnishauri kak zangu na dada zangu.
Wewe na Nyamwi mnaongoza kwa kua na ids nyingi humu, mna matatizo gani kwaniAisee kumbe wewe ni wa zamani hivi
Bro nina ID mojaWewe na Nyamwi mnaongoza kwa kua na ids nyingi humu, mna matatizo gani kwani
Bro habari za kupotea, nlikumiss.....Bro nina ID moja