Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Unaomba ushauri huku unajichekesha chekesha.
Shenzytype.
Shenzytype.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Distributed database AU database ipiUtazoea tu dogo, kaka yako nimecarry database, mnadhani IT mnaenda kusoma adobe🤣
Level 4? 🖕🏽🖕🏽🖕🏽🖕🏽🖕🏽🖕🏽 Acha Chuo kachome chips ndio kazi unayoiwezaNimeianza IT Rasmi, naiona Rahisi ila ya moto, wanvyofundisha sielewi kabisa yaani, darasani kama ni mtihani tukipewa leo au siku yoyte, basi mimi nitakuwa ni mmojawapo wa wanafunzi waliofanya vibaya darasani,
Jamani naombeni mnishauri jamani,,,,,,,
SASA BASI.....
Tukija upande wa practical sasa ukiachana na ma operating system kuyakariri, nipo vizuri japokuwa so kivili, kidogo najitahidi kutatua changamoto ndogondogo za kiteknolojia pale simu zao zinapopata shida,
NAOMBENI USHAURI JAMANI ALAF PIA MAPENZI YANANITESA NASHINDWA KUACHA JAPOKUWA SIJATONGOZA MSICHANA YEYOTE TANGU NIANZE MASOMO OCTOBER MWAKA HUu,
Pia mm ni level 4[emoji23][emoji23][emoji23]
nasema ukweliii... mapenzi yananitesaaaa... na ndio chanzo cha mimi kutokuelewa class nahisi, naombeni mnishauri kak zangu kwa dada zangu.......
introduction to database nadhaniDistributed database AU database ipi
Duu kama ni hivyo , hizo database zinazo kuja achananazo kabisa kama zikiwa ni optionsintroduction to database nadhani
Haya mambo sio ya kuyakariri ukayapenda na ukayafanya practically utayaelewa....Tukija upande wa practical sasa ukiachana na ma operating system kuyakariri, nipo vizuri japokuwa so kivili, kidogo najitahidi kutatua changamoto ndogondogo za kiteknolojia pale simu zao zinapopata shida,
Watu wanapiga A wewe unakula sup haki yako kukalia 🖕🏽 poleintroduction to database nadhani
Msengesana alafu ni level 4 Bora aache Chuo akachemshe mahindi awauzie watu wale sio kuvamia taaluma zilizomuova saiziUnaomba ushauri huku unajichekesha chekesha.
Shenzytype.
Yaani psychologically tayari ushafeli mitihani yako ya mwisho, bila kubadiri huo mtazamo ulionao naiona discontinuity mbele yako.Natanguliza Shukrani...
She is my sister, Natania tuUpooze uchungu ndio nini wakati ana mtu wake na mtu wake unamuona, unatafuta balaa
Ili tuwe wengiTatizo vyuo vimevamiwa Kuna watu wanatakiwa kuwa wapiga debe au Makondakta daladala au vibarua wabeba mizigo sokoni au nzege kwenye majenho wanaomba kusoma IT vyuoni na kupoteza Bure pesa za ada za wazazi wao
Ushauri acha chuo nenda kawe mpiga debe au msukuma mkokoteni au kibarua mbeba nzege kwenye majengo
Nashukuru Mungu Dem niliemwelewag alichukuliwa na msela badae wakabwagana, Saiv na me nmepanda Bei, nmetokea kumchukia na masomo yamekubali , jaman mapepo yapo🙌Utazoea tu dogo, kaka yako nimecarry database, mnadhani IT mnaenda kusoma adobe🤣