Nahisi kusoma kwangu ni bure, bora ningebaki tu nyumbani

Hizo course siyo za watu wenye akili za kukariri,only that unatakiwa uwe unaelewa maths vizuri hasa probability ,logic set na aljebra,kama ushaanza kuona shida hapo mwanzoni huko mbele utapata tabu sana ,ni better uombe kuchange kozi
 
Tatizo vyuo vimevamiwa Kuna watu wanatakiwa kuwa wapiga debe au Makondakta daladala au vibarua wabeba mizigo sokoni au nzege kwenye majenho wanaomba kusoma IT vyuoni na kupoteza Bure pesa za ada za wazazi wao

Ushauri acha chuo nenda kawe mpiga debe au msukuma mkokoteni au kibarua mbeba nzege kwenye majengo
 
Dogo soma aisee....acha masihara na elimu
 
πŸ–•πŸ½πŸ–•πŸ½πŸ–•πŸ½πŸ–•πŸ½πŸ–•πŸ½
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…