Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Mrs kiiza unazingua 😊Sentesi moja unaitenganisha mara 2..soma unachoandika..
Mfano: nika sema..hilo gape la nini...andika nikasema..Nishazingua.sio nisha zingua🙌...nisiyepaswa..nisiye paswa😞
SorryMrs kiiza unazingua 😊
Hatari mzee,,,kaka na dada
Sorry, Ushawahi kumuona rafiki yako aliye kufa??.Mfano mzuri huu hapa
kichwa kikitulia nitasomaAcha uvivu mkuu..Mimi nimesoma kila kitu
MhSorry, Ushawahi kumuona rafiki yako aliye kufa??.
Natumai uta nielewa tu mkuu.
Kama hutojali, irekebishe madam. Kisha unipe Mimi niiweke sawaSentesi moja unaitenganisha mara 2..soma unachoandika..
Mfano: nika sema..hilo gape la nini...andika nikasema..Nishazingua.sio nisha zingua🙌...nisiyepaswa..nisiye paswa😞
LolKama hutojali, irekebishe madam. Kisha unipe Mimi niiweke sawa
Napenda kusoma lakini na mimi sijasoma yote.Nimeshindwa kusoma yote ila pole, jikaze na mtegemee Mungu.
huyu mwanangu sana nitatulia niisome vizuriNapenda kusoma lakini na mimi sijasoma yote.
Kuna aya nilipoianza kusoma kichwa kikaanza kuniuma
Mimi pia nimeishia juu kule.kichwa kikavurugika...Napenda kusoma lakini na mimi sijasoma yote.
Kuna aya nilipoianza kusoma kichwa kikaanza kuniuma
Wana sema haieleweki kakaLete vitu kaka
Vionjo vingi story za uongo 😹Kweli nimezeeka🤚
Mwenzenu ananogesha nyie mnasema hamuelewi 😹Maelezo mengi hueleweki ,,,!
Mulishani boy 😹Nimeshindwa kusoma yote ila pole, jikaze na mtegemee Mungu.