Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bwino girl.Mulishani boy 😹
Mbwembwe sanaVionjo vingi story za uongo 😹
Dr..Kipindi nimepata ajari na kuvunjika mguu Mara mbili...
Nilipelekwa hospital nikakaa week then nikaja kuchukuliwa na kupelekwa nyumbani..ambapo nilikaa mwezi na nusu nimeweka mguu juu
Nimeanzia mbali Kuna kitu ndugu intelligent businesses aligusa Maisha yangu.
Ndio kipindi nikawa nashindaga humu Jf most of time mdogo angu huyu alikua ni faraja kwangu na alikuwa anakuja inbox kunisalimia/ kunisabahi Mara kwa Mara..
So nika muona ni mtu mzur na mwema na nikawa namchukulia very special since that time.
Kuna kipindi akapotea nikawa na mmiss mpaka kumuulizia kwa baadhi ya memba Kama half america na mshamba_hachekwi
Wakanambia may yupo busy ama kaamua kupumzika..baada ya muda mrefu mdogo angu akaja nambia alipata ajar mbaya Sana na nikamwambia kwanini hakusema humu ndani maana tumekua familia niliumia Sana kumbe dogo alikua anapitia kipindi kigumu
Pole Sana ndugu.. Mungu ni mwema amekusimamia 💪
Sikuwai kujua Kama ntakuja nitembee.. almost mwaka mzimaDr..
...... Pole pia kwa masahibu
Mungu ni mwema......Sikuwai kujua Kama ntakuja nitembee.. almost mwaka mzima
Tufafanulie..Pole sana Ila ukiwa unategemea kwenda safari yoyote usimuage mwanamke hata akiwa mama yako
Wanawake wana negative energy kubwa sana.
Mimi pia mguu wangu haujarud na uzito umeshift..nilikua left footer now right footer.Mungu ni mwema......
Na wote waliokuwa na wewe kipindi hiko
Kuna mzee mmoja alivunjika pia mara mbili....... Alichukua muda lkn mwaka jana nilikuwa mkoani nikakutana nae tumetembea kama km 2.5 kwenda na kurudi........ Japo sehem ikiumia hairud kama mwanzoni Ila pole sana bruh
Aseeh pole mkuu...... Ndo changamoto zenyewe Ila kikubwa upo hai AlhamdullilahMimi pia mguu wangu haujarud na uzito umeshift..nilikua left footer now right footer.
Ni process mzee
True.Aseeh pole mkuu...... Ndo changamoto zenyewe Ila kikubwa upo hai Alhamdullilah
Alipata ajali mkuu inaweza ikawa imemuaffect mpaka kwenye kua ndikaSentesi moja unaitenganisha mara 2..soma unachoandika..
Mfano: nika sema..hilo gape la nini...andika nikasema..Nishazingua.sio nisha zingua🙌...nisiyepaswa..nisiye paswa😞
Alihamdulilah haya changanya miguu uende wablahtaufiqMara ali mkosea, ali kuwa, ali mkumbusha, ali mpitia kila sehemu ali ali ali ali
Pamoja 👊True.
Asante Sana mkuu.
Zee la gegedoAlihamdulilah haya changanya miguu uende wablahtaufiq
Wewe mama tulia hapo basi watu watuandikie story sisi tusomeMfano mzuri huu hapa
Utanipa dada yako yule mwenye matako makubwaZee la gegedo