Nahisi maumivu upande wa kushoto wa moyo, X Ray haioneshi kitu

Nahisi maumivu upande wa kushoto wa moyo, X Ray haioneshi kitu

Wakuu habari, nilienda hospitali,

Ila doctor nilivomuelezea kuwa nahisi maumivu upande wa kushoto wa moyo , walifanya x ray, ila haoni kitu, nikapewa dawa za maumivu nitatumia 2 weeks, akasema kam hali itaendelea basi nirudi tena pale.

Ila pia muda mwngine nahisi maumivu hadi upande wa kulia na tumboni.

Wakuu mwenye mawazo zaidi hapa?

Ila pia huwa nina tatizo la asthma haswa kipind cha baridi na upepo , huwa nakuwa naumia kifua, au hii inaweza kuwa sababu?

Mana pia nahisi kifua kizito kwa mbali hivi.
Mkuu kwa matibabu, bado kabisa hujafanya. Ndiyo mwanzo tu hivyo usiwe na wasiwasi. Unaweza kurudi hospital hata mara saba kabla hujagundua tatizo hasa kwa nchi kama yetu. Usipopata nafuu rudi tena. Tatizo lako linaweza kuwa dogo sana kama reflux ya acid au jingine.
 
Sawa mkuu, nimepewa dawa
Mkuu kwa matibabu, bado kabisa hujafanya. Ndiyo mwanzo tu hivyo usiwe na wasiwasi. Unaweza kurudi hospital hata mara saba kabla hujagundua tatizo hasa kwa nchi kama yetu. Usipopata nafuu rudi tena. Tatizo lako linaweza kuwa dogo sana kama reflux ya acid au jingine.

Sio msusa mkuu
Basi kwa jina inaitwaje?
 
Sawa mkuu , samahn unanishaurije nimalizie doz nilizopewa nikacheki au nirudi tu hospital mkuu,
Au nitafte hospital binafs
Maliza dozi huku ukiendelea kufatilia vipimo vingine hospital.
 
Maliza dozi huku ukiendelea kufatilia vipimo vingine hospital.
Sawa mkuu, nimetoka kupima moyo uko sawa kwa umbile haujaongezeka , ila kesho naenda kupima vipimo vya maabara, then nitamalizia na echo na ecg, ila ninaimani nko sawa. MUNGU anitangulie tu🙏
 
Wakuu habari, nilienda hospitali,

Ila doctor nilivomuelezea kuwa nahisi maumivu upande wa kushoto wa moyo , walifanya x ray, ila haoni kitu, nikapewa dawa za maumivu nitatumia 2 weeks, akasema kam hali itaendelea basi nirudi tena pale.

Ila pia muda mwngine nahisi maumivu hadi upande wa kulia na tumboni.

Wakuu mwenye mawazo zaidi hapa?

Ila pia huwa nina tatizo la asthma haswa kipind cha baridi na upepo , huwa nakuwa naumia kifua, au hii inaweza kuwa sababu?

Mana pia nahisi kifua kizito kwa mbali hivi.
Kuna mambo ya kuelewa hapa;

1: Maumivu upande wa kushoto karibu na sehemu ya ziwa na katikati ya kifua si vyema kubaki au kukaa nayo bila kufikia mwafaka wa ni nini hasa tatizo.

Hii ni kwa sababu wakati mwingine yanabeba ujumbe wa magonjwa ambayo ni dharura/Emegency.

Pia, umri, uzito na magonjwa mwambata kwako na kwenye familia ni vyema kuyafahamu.

2: Aina ya maumivu: ni vyema kujitahidi kueleza jinsi maumivu yanavyouma kwa kusema nini unakisikia mfano: kubana, kufinya, kuchoma nk., dalili ambatanishi kichefuchefu, kutapika, kushindwa kupumua nk.

3: Hali inayoanzisha maumivu na inayokupa nafuu. Ni vitu gani ukifanya maumivu huja, mfano: kuvuta pumzi, kukohoa nk. na vitu gani ukifanya maumivu hupungua mfano: kupumzika, kuinama, kusitisha kazi nk.

4: Muda: maumivu yanapotokea hudumu kwa muda gani?

5: Maumivu yakitokea huyahisi kwenda sehemu yoyote ya mwili zaidi ya pale yalipoanzia?

Haya matano kwa uchache hapa juu yatasaidia ni kipi ukichukue na kipi ukitoe kwenye mawazo ya nini mgonjwa anaumwa.

6: Je mtaalamu wa afya akigusa kifua au tumbo kuna maumivu yoyote?

Hivyo, si vyema kukaa na haya maumivu ukijaribu dawa bali kupata tiba sahihi. Tiba sahihi itahusisha uchukuaji wa: Historia ya mgonjwa vyema, ukaguzi wa mwili na vipimo kulingana na yaliyong'amuliwa. Kuna hali hufanana kwa utokeaji wake hivyo tunahitaji vipimo kutusaidia.

Ukiangalia tiba uliyopewa, naona hakukuwa na majadiliano ya fikra ipi daktari alipata ndo akakuandikia dawa. Kuna vitu vinaelea.

NB: Hakikisha unapata mwafaka wa nini ni tatizo kwa kufuata mtililiko hapo juu na uwe wazi kujadili na mtoa huduma wako/muulize maswali ya maoni yake kabla na baada ya vipimo, kama unaweza kumpata physician/daktari bingwa wa magonjwa ya ndani fanya hivyo.
 
Kuna mambo ya kuelewa hapa;

1: Maumivu upande wa kushoto karibu na sehemu ya ziwa na katikati ya kifua si vyema kubaki au kukaa nayo bila kufikia mwafaka wa ni nini hasa tatizo.

Hii ni kwa sababu wakati mwingine yanabeba ujumbe wa magonjwa ambayo ni dharura/Emegency.

Pia, umri, uzito na magonjwa mwambata kwako na kwenye familia ni vyema kuyafahamu.

2: Aina ya maumivu: ni vyema kujitahidi kueleza jinsi maumivu yanavyouma kwa kusema nini unakisikia mfano: kubana, kufinya, kuchoma nk., dalili ambatanishi kichefuchefu, kutapika, kushindwa kupumua nk.

3: Hali inayoanzisha maumivu na inayokupa nafuu. Ni vitu gani ukifanya maumivu huja, mfano: kuvuta pumzi, kukohoa nk. na vitu gani ukifanya maumivu hupungua mfano: kupumzika, kuinama, kusitisha kazi nk.

4: Muda: maumivu yanapotokea hudumu kwa muda gani?

5: Maumivu yakitokea huyahisi kwenda sehemu yoyote ya mwili zaidi ya pale yalipoanzia?

Haya matano kwa uchache hapa juu yatasaidia ni kipi ukichukue na kipi ukitoe kwenye mawazo ya nini mgonjwa anaumwa.

6: Je mtaalamu wa afya akigusa kifua au tumbo kuna maumivu yoyote?

Hivyo, si vyema kukaa na haya maumivu ukijaribu dawa bali kupata tiba sahihi. Tiba sahihi itahusisha uchukuaji wa: Historia ya mgonjwa vyema, ukaguzi wa mwili na vipimo kulingana na yaliyong'amuliwa. Kuna hali hufanana kwa utokeaji wake hivyo tunahitaji vipimo kutusaidia.

Ukiangalia tiba uliyopewa, naona hakukuwa na majadiliano ya fikra ipi daktari alipata ndo akakuandikia dawa. Kuna vitu vinaelea.

NB: Hakikisha unapata mwafaka wa nini ni tatizo kwa kufuata mtililiko hapo juu na uwe wazi kujadili na mtoa huduma wako/muulize maswali ya maoni yake kabla na baada ya vipimo, kama unaweza kumpata physician/daktari bingwa wa magonjwa ya ndani fanya hivyo.
Sawa mkuu, nilicheki moyo, upo sawa haujapanuka.
Kesho nimeambiwa nikachukue vipimo vya maabara kma vile 1. Vidonda vya tumbo, 2mafuta mwilini, 3.
Baada ya hapo nipime echo na ecg kwa kuonana na physician.

Kuhush mimi, huw nahisi maumivu uoande wa kushoto kati kati, na pemben kwenye titi, sio ya muda mrefu hapana ni kidogo tu then yanapotea, maumivu ni kama yanachoma ivi, alafu mda mwingne kama yanakuja iv upande wa kulia, kidgo tena nahisi kwenye tumbo ila huku sio sana, kuoumua napumua vizur, nikuguswa na mtaalam sisikii maumivu kbsa, sisikii kichefuchefu wala kutapika,

Dawa nilizoandikiwa ni meloxican
Loprin aspirin, nadhani zinahusika zaid na blood clot na kupunguza maumivu.
Ngoja nini shida kesho naenda na juma tatu lazima nifanye echo na ecg
 
Sawa mkuu, nilicheki moyo, upo sawa haujapanuka.
Kesho nimeambiwa nikachukue vipimo vya maabara kma vile 1. Vidonda vya tumbo, 2mafuta mwilini, 3.
Baada ya hapo nipime echo na ecg kwa kuonana na physician.

Kuhush mimi, huw nahisi maumivu uoande wa kushoto kati kati, na pemben kwenye titi, sio ya muda mrefu hapana ni kidogo tu then yanapotea, maumivu ni kama yanachoma ivi, alafu mda mwingne kama yanakuja iv upande wa kulia, kidgo tena nahisi kwenye tumbo ila huku sio sana, kuoumua napumua vizur, nikuguswa na mtaalam sisikii maumivu kbsa, sisikii kichefuchefu wala kutapika,

Dawa nilizoandikiwa ni meloxican
Loprin aspirin, nadhani zinahusika zaid na blood clot na kupunguza maumivu.
Ngoja nini shida kesho naenda na juma tatu lazima nifanye echo na ecg
Ni vyema kufatilia, na nimefarijika kuwa uta.uona physician. Naomna tumia muda ukiwa na physician kujua anawaza nini kulingana na dalili ulizomweleza pia vipimo na ukiandikiwa dawa pia upate sababu ya dawa huaika na nini ubadili kwenye maisha ili kuendana na tatizo husika.🙏

Umaposema kuchoma ina maana:
1: kitu cha ncha kali?
2: kuchoma kama moto/kuungua?
 
Ni vyema kufatilia, na nimefarijika kuwa uta.uona physician. Naomna tumia muda ukiwa na physician kujua anawaza nini kulingana na dalili ulizomweleza pia vipimo na ukiandikiwa dawa pia upate sababu ya dawa huaika na nini ubadili kwenye maisha ili kuendana na tatizo husika.🙏

Umaposema kuchoma ina maana:
1: kitu cha ncha kali?
2: kuchoma kama moto/kuungua?
Ncha kali ila ni kidg tu then inaacha hio hali
 
Ni vyema kufatilia, na nimefarijika kuwa uta.uona physician. Naomna tumia muda ukiwa na physician kujua anawaza nini kulingana na dalili ulizomweleza pia vipimo na ukiandikiwa dawa pia upate sababu ya dawa huaika na nini ubadili kwenye maisha ili kuendana na tatizo husika.🙏

Umaposema kuchoma ina maana:
1: kitu cha ncha kali?
2: kuchoma kama moto/kuungua?
Hapa namba sana iwe vidonda vya tmbo, au uzalisjaj acid, au mafuta kuliko mambo ya moyo aisee naona ndoto zangu zitazima gafla kbsa
 
Hapa namba sana iwe vidonda vya tmbo, au uzalisjaj acid, au mafuta kuliko mambo ya moyo aisee naona ndoto zangu zitazima gafla kbsa
Vidonda vya tumbo unavichukulia kawaida ndio hatari kuliko hata unavyofikiria
 
Uwezekano mkubwa yanaweza kuwa madonda ya tumbo au GERD , ila ni muhimu kujiridhisha kwamba hayo maamivu hayatokokani na shida inayo husisha moyo

Hivyo ufike hospitali ufanye vipimo zaidi X ray haiwezi onesha shida .
Kama hutapata nafuu wakati unatumia hizo dawa, jaribu kutumia antiacids. Ukiona unapata nafuu, basi yawezekana ni tatizo la vidonda vya tumbo.
 
Hospitali gani mzee? Maana kuna madaktari wengine na daktari. Mimi niliteguka mkono ukaangalia upande mwingine, jamaa walinipa huduma ya kwanza na kufanikisha kuurudisha sawa na maumivu yakapungua na uvimbe ukawepo. Nilipopigwa Xray nikaambiwa pako sawa na kupewa dawa za maumivu nikashangaa sana. Mkono bado ulikuwa na dalili za kudondokea kule kule, nikaenda Agakhan Dar nikapigwa Xray ikaonyesha tatizo na kuwekwa muhogo wiki sita. Kwa kifupi nina mahanisha uwezo wa vifaa na ubora wa wataalam.
 
Back
Top Bottom