Restless Hustler
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 5,150
- 20,025
Kwahiyo wazazi wake wameafiki uendelee kuishi na mtoto wao bila kutoa mahari?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna wanawake jeuri kuzidi wabena?Huyu ndugu yangu mbena huwa hawana hizi Tabia
Umewahi kuwa na Mwanamke wa kibena mpaka iseme wanawake wa kibena ni jeuri . Wanawake wakibena wanajulikana kama wanawake wavumilivu na watiifuKuna wanawake jeuri kuzidi wabena?
Nawajua wabena, nilishindwana na mwanamke wa kibena na mpaka sasa niko ubenani mwaka wa 10 huuWabena hatuna hizi mambo za kuchepuka siyo wanawake wala wanaume.
Yah halafu malimbukeni, nilikuwa nako kamoja tangu kanasoma kalipoajiriwa nikapigwa chini kinyama sanaUmewahi kuwa na Mwanamke wa kibena mpaka iseme wanawake wa kibena ni jeuri . Wanawake wakibena wanajulikana kama wanawake wavumilivu na watiifu
Kweli mimi ni mbena ulimbukeni sikataiYah halafu malimbukeni, nilikuwa nako kamoja tangu kanasoma kalipoajiriwa nikapigwa chini kinyama sana
Nawajua
Akifika tu mjini akajua mambo mengi anatokomea moja kwa mojaKweli mimi ni mbena ulimbukeni sikatai
So umeshindwana na mmoja? Ndiyo umepata hitimisho?Nawajua wabena, nilishindwana na mwanamke wa kibena na mpaka sasa niko ubenani mwaka wa 10 huu
Jitahidi uwadanganye wengine
Yaani ni mwendo wa kusalitiwaNa hii hali
Acha kuchanganya nyuzi za watu wawili tofauti boss.So umeshindwana na mmoja? Ndiyo umepata hitimisho?
Mrejesho: Kilichotokea baada ya mke wangu kurudi saa sita usiku
Baada ya mimi kurudi home siku ambayo wife hakutarajia ntarudi ,sikumkuta nyumbani na nilipompigia simu yy alijibu yupo home anaangalia tamthilia. Nimekaa kuanzia saa moja usiku mpka saa sita usiku ndio anatokea, Alipatwa na kama bumbuwaz hiv hakuamin km nipo home nilimnasa vibao akadondoka...www.jamiiforums.com
Kamuulize mleta uzi kama mkewe ni mbena
point mkuuNyakati hizi imekuwa ngumu kuwatofautisha makahaba na wanandoa maana wote wananena lugha moja na matendo yanayofanana.......
Nyakati hizi kuoa sio jambo la kheri tena....linaweza likawa ndio tiketi yako ya kukupeleka kabulini au jela kutegemeana kiwango chako cha UVUMILIVU............
Ndoa za watoto ndio shidaa sie tupo kwenye ndoa mwaka wa 14 huu hakuna hofu ya kumegewa.Dadekii hizi ndoa tutaoa kweli
Hujaelewa wapi chief? Namuambia niliyemquote aingie kwenye huo uzi wa mrejesho amuulize mleta uzi kama mkewe ni mbena.Acha kuchanganya nyuzi za watu wawili tofauti boss.
Mwenye huo mrejesho ana Uzi wake mwingine aliuleta jana.
Hajaoa bado wapo kwenye uzinifuHukumjua kabla? Au ulikurupuka kumuoa?
Kweli asee hata huku tupo naye mbena jeuri kweli Afu hatabiriki siku akiamka vibaya utaoga matusi bila sababuNawajua wabena, nilishindwana na mwanamke wa kibena na mpaka sasa niko ubenani mwaka wa 10 huu
Jitahidi uwadanganye wengine
Aaah...Hajaoa bado wapo kwenye uzinifu
Wanasemaga ukitaka kuoa au kuolewa olewa na mbena au oa mbena ofcourse wabena hawana kwikwi kama wahehe au nyaki! Very humble kama sukuma!Wabena hatuna hizi mambo za kuchepuka siyo wanawake wala wanaume.