Nahisi mke wangu anachepuka

Huyu inavyoonekana network haiko vizuri yaani, utamwitaje mtoto wa watu mke na hujamuoa au kulipia mahali daah
 
Acha kbs mzee baba ..mwambie mwanaume mwenzenu!...ila mostly ukiona mwanamke wako hatak sex na haumwi jua huna maajabu! Anaona michosho tu! Liwekeni hilo akilini! Mwanamume mjuzi hata kama uko period unajilaumu why niko period🥵
🏌️🏌️🏌️🤸🤸 Narudi mda si mwingi
 
Nyie mademu hamridhikaji tu hata umpate anae kudatisha ukimpata anaetaka umpe tako utaanza kumuona yule wa mwanzo boya huyu anaetaka tigo ndio mjaanja

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Piga chini haraka no excuse
 
Aaanha sawa Basi wewe mwajuma Senge nikirudi utanikoma yaan
 
Bora hizo ngendembwe angeanza baada ya kumuoa

Ila hata hujamuuoa wala mahari hujalipia hakuna Cha kujivunga pia chini haraka sana


Huyo hana mapenzi na wewe hata ya kiusanii tu hana

Msepe haraka kwani umezaliwa nae[emoji20][emoji3525][emoji849][emoji57][emoji57]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…