Rabonn
JF-Expert Member
- Nov 7, 2018
- 5,789
- 11,106
Sio master wa hiz kaz huyu..Duh mbona ghafla sana master?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio master wa hiz kaz huyu..Duh mbona ghafla sana master?
Jamaa hana amani. Hajui labda wenzake waliacha wake zao wanafuraha kabla hawajaondoka 😅Sio master wa hiz kaz huyu..
Anahisi dalili za mvua ni mawingu 😅😅Jamaa anahisi labda hapendwi lakini kwa situation yake si kweli
Kataa ndoadronedrake Mzee wa kupambania mje huku, kimeumana
Huyu mwanamke bana nahisi hanipendi wala kunijali kabisa.
Leo mimi na watumishi wenzangu tulikua tuna safari ya kikazi kutoka mkoa mmoja kwenda mkoa mwingine wenzangu njia nzima kuanzia mwanzo wa safari hadi mwisho nilikua naskia simu zao zinaita wakiwa wanapigiwa na my wife zao kuulizwa wamefika wapi na mwenendo mzima wa safari yetu kwa ujumla.
Mimi sijapigiwa mpaka muda huu na tayar nishafika niendako.nimemchungulia WhatsApp yupo na ameweka status ya picha za watoto wetu wawili kaandika MY HAPPINESS.
Sasa wakuu hapa kuna haja hata ya kumpigia kumuambia kuwa nimefika au nikaushe tu.
Na je hapa napendwa kweli au niendelee kula tu mbususu za nje?
NAKAZIA.Wewe weka picha ya kwako na watoto wako uandike my courage au my future hahaha.
Wanaopigiwa nao huwa wanapigaHuyu mwanamke bana nahisi hanipendi wala kunijali kabisa.
Leo mimi na watumishi wenzangu tulikua tuna safari ya kikazi kutoka mkoa mmoja kwenda mkoa mwingine wenzangu njia nzima kuanzia mwanzo wa safari hadi mwisho nilikua naskia simu zao zinaita wakiwa wanapigiwa na my wife zao kuulizwa wamefika wapi na mwenendo mzima wa safari yetu kwa ujumla.
Mimi sijapigiwa mpaka muda huu na tayar nishafika niendako.nimemchungulia WhatsApp yupo na ameweka status ya picha za watoto wetu wawili kaandika MY HAPPINESS.
Sasa wakuu hapa kuna haja hata ya kumpigia kumuambia kuwa nimefika au nikaushe tu.
Na je hapa napendwa kweli au niendelee kula tu mbususu za nje?
Msimfundishe tabia mbaya. Huu ndo mwanzo wa kuharibu ndoa.Wewe weka picha ya kwako na watoto wako uandike my courage au my future hahaha😝😆😆💔
Ndo dawa....au aandike Kwa kiswahili "Hawa ndo furaha yangu pekeeWewe weka picha ya kwako na watoto wako uandike my courage au my future hahaha😝😆😆💔
Si kweli dada zangu mnakosea sanaNdo dawa....au aandike Kwa kiswahili "Hawa ndo furaha yangu pekee
🤣🤣🤭Mambo?Si kweli dada zangu mnakosea sana
Mambo poa🤣🤣🤭Mambo?
Sawa nimekuelewa bro...tunaandika tuMambo poa
Kwa nilichokiona hapa wengi ndoa zitawashinda. Ndoa sio uwanja wa mashindano