Nahisi mke wangu hanipendi

Nahisi mke wangu hanipendi

Mtumie text " we nyau mi nimefika salama!, vipi hali hapo nyumbani?"

Maongezi yaanzie hapo... zingatia mkeo awe ni rafiki yako.
 
Wengi hiyo hali huwa inawakuta

Cha kufanya wewe anza kumpigia au kumtext mkianza mazungumzo au kuchat hilo gubu huwa linaisha lenyewe

Na utaona tu siku nyingine yeye atakuanza atajiona na yeye anawajibika.

Ila kuliana mikausho haijengi ni ugonjwa mnaufuga

Ndoa ni kuwajibika mkuu
 
Huyu mwanamke bana nahisi hanipendi wala kunijali kabisa.

Leo mimi na watumishi wenzangu tulikua tuna safari ya kikazi kutoka mkoa mmoja kwenda mkoa mwingine wenzangu njia nzima kuanzia mwanzo wa safari hadi mwisho nilikua naskia simu zao zinaita wakiwa wanapigiwa na my wife zao kuulizwa wamefika wapi na mwenendo mzima wa safari yetu kwa ujumla.

Mimi sijapigiwa mpaka muda huu na tayar nishafika niendako.nimemchungulia WhatsApp yupo na ameweka status ya picha za watoto wetu wawili kaandika MY HAPPINESS.

Sasa wakuu hapa kuna haja hata ya kumpigia kumuambia kuwa nimefika au nikaushe tu.

Na je hapa napendwa kweli au niendelee kula tu mbususu za nje?

Unaitaji seminar ya ndoa, hao wenzako wamewekeza kwenye mahusiano
 
Huyu mwanamke bana nahisi hanipendi wala kunijali kabisa.

Leo mimi na watumishi wenzangu tulikua tuna safari ya kikazi kutoka mkoa mmoja kwenda mkoa mwingine wenzangu njia nzima kuanzia mwanzo wa safari hadi mwisho nilikua naskia simu zao zinaita wakiwa wanapigiwa na my wife zao kuulizwa wamefika wapi na mwenendo mzima wa safari yetu kwa ujumla.

Mimi sijapigiwa mpaka muda huu na tayar nishafika niendako.nimemchungulia WhatsApp yupo na ameweka status ya picha za watoto wetu wawili kaandika MY HAPPINESS.

Sasa wakuu hapa kuna haja hata ya kumpigia kumuambia kuwa nimefika au nikaushe tu.

Na je hapa napendwa kweli au niendelee kula tu mbususu za nje?
Wanaopigiwa nao huwa wanapiga
Umeuchuna naye kauchuna
 
Wewe weka picha ya kwako na watoto wako uandike my courage au my future hahaha😝😆😆💔
Msimfundishe tabia mbaya. Huu ndo mwanzo wa kuharibu ndoa.

Asifanye kabisa huo mchezo. Visasi havijengi kwanza huo ni utoto

Kwa mwendo huo ndoa hazitadumu dada yangu. Na sisi team kataa ndoa tutazidi kuwapa makavu tu
 
nimeipenda hii "picha za watoto status ameandika my HAPPINESS
 
Haya mambo bana na hawa viumbe acha nikwambie mawili matatu ujitathmini mkuu

1)ikiwa wewe Huwa haufanyi hivyo usitarajie mwenzio atakufanyia , yaani usihisi mapenzi ni wajibu wa mke kuyaonesha kwako tu hata wewe pata nae muda ukiwa kazini mpigie umeshindaje uko poa I miss you nyingi WhatsApp makopa kibao atahisi una mjali hivyo na yeye atakutafuta. Mfanye akutafute kama hujamtafta

2) penda kumfanyia vitu anapenda vizawadi vya supprize mfanye ahisi uwepo wako ni muhimu usipokuwepo ahisi kukumiss. Mlee yes nasema mlee kwa maana Kuna vitu mkataze Kuna vitu mkubalie

NB; hakikisha umeoa type yako kama umeoa kwa kulazimisha hayo ukifanya ni kusubiri meli uwanja wa ndege niliona thread ya Unique Flower akisema oa mtu wa type yako hii Ina vigezo vingi example hobby, feature n.k
 
Biblia inatuambia. "Waume wapendeni wake zenu nanyi wake waheshimunu waume zenu." Unachotakiwa kuangalia ni kama anakuheshimu. Hahitaji kukupenda. Unafikiri wanawake wa enzi hizo waliokuwa wanaolewa na wazee kama babu zao walikuwa wanawapenda? Lakini sote tunafahamu waliwaheshimu na 'Kuwaogopa.' Serikali ingepiga marufuku movies za kikorea.
 
Back
Top Bottom