stoneblock
Senior Member
- Feb 28, 2023
- 126
- 371
kawaida sana mapenzi yamehamia kwa watoto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mbona analalamika sana? 😀Ndoa raha aisee. Jamaa tu ndio mambo yake hayajaenda sawa 😅
Jamaa tatizo anajilinganisha na wenzie. 😅😅Sasa mbona analalamika sana? 😀
Mkikutana kwenye ndoa wote mna kiburi ndo mchezo huu wa jamaa yetu na mke wake kila mmoja anamsubiri mwenzake aanzeJamaa tatizo anajilinganisha na wenzie. 😅😅
Jamaa Yuko safari, ila mawazo yako kwa mkewe 😅Mkikutana kwenye ndoa wote mna kiburi ndo mchezo huu wa jamaa yetu na mke wake kila mmoja anamsubiri mwenzake aanze
Sasa mke wake kwa kumkomoa muda wote yuko online whatsapp na anaweka status tu
Asihofu mkewe yuko kwenye mikono salama uzuri wa ile hakuna anayeondoka nayo ataikutaJamaa Yuko safari, ila mawazo yako kwa mkewe 😅
Mambo ni magumu 😅😅Asihofu mkewe yuko kwenye mikono salama uzuri wa ile hakuna anayeondoka nayo ataikuta
M-bip kwa siri halafu akikupigie ongea naye kwa bahshasha.Huyu mwanamke bana nahisi hanipendi wala kunijali kabisa.
Leo mimi na watumishi wenzangu tulikua tuna safari ya kikazi kutoka mkoa mmoja kwenda mkoa mwingine wenzangu njia nzima kuanzia mwanzo wa safari hadi mwp kwa siri, atakupigia tu. Ukiona hapiga, singizia umepata ahali, na muda huo uko hospitali kiuno kimegeuka isho nilikua naskia simu zao zinaita wakiwa wanapigiwa na my wife zao kuulizwa wamefika wapi na mwenendo mzima wa safari yetu kwa ujumla.
Mimi sijapigiwa mpaka muda huu na tayar nishafika niendako.nimemchungulia WhatsApp yupo na ameweka status ya picha za watoto wetu wawili kaandika MY HAPPINESS.
Sasa wakuu hapa kuna haja hata ya kumpigia kumuambia kuwa nimefika au nikaushe tu.
Na je hapa napendwa kweli au niendelee kula tu mbususu za nje?
Ukute wewe hujawahi kumpigia simu halafu unataka yeye akupigie. Jenga mazoea kitu unachopendaHuyu mwanamke bana nahisi hanipendi wala kunijali kabisa.
Leo mimi na watumishi wenzangu tulikua tuna safari ya kikazi kutoka mkoa mmoja kwenda mkoa mwingine wenzangu njia nzima kuanzia mwanzo wa safari hadi mwisho nilikua naskia simu zao zinaita wakiwa wanapigiwa na my wife zao kuulizwa wamefika wapi na mwenendo mzima wa safari yetu kwa ujumla.
Mimi sijapigiwa mpaka muda huu na tayar nishafika niendako.nimemchungulia WhatsApp yupo na ameweka status ya picha za watoto wetu wawili kaandika MY HAPPINESS.
Sasa wakuu hapa kuna haja hata ya kumpigia kumuambia kuwa nimefika au nikaushe tu.
Na je hapa napendwa kweli au niendelee kula tu mbususu za nje?
Unataka akupende bila wewe kumpenda?Huyu mwanamke bana nahisi hanipendi wala kunijali kabisa.
Leo mimi na watumishi wenzangu tulikua tuna safari ya kikazi kutoka mkoa mmoja kwenda mkoa mwingine wenzangu njia nzima kuanzia mwanzo wa safari hadi mwisho nilikua naskia simu zao zinaita wakiwa wanapigiwa na my wife zao kuulizwa wamefika wapi na mwenendo mzima wa safari yetu kwa ujumla.
Mimi sijapigiwa mpaka muda huu na tayar nishafika niendako.nimemchungulia WhatsApp yupo na ameweka status ya picha za watoto wetu wawili kaandika MY HAPPINESS.
Sasa wakuu hapa kuna haja hata ya kumpigia kumuambia kuwa nimefika au nikaushe tu.
Na je hapa napendwa kweli au niendelee kula tu mbususu za nje?
Jamaa anahisi labda hapendwi lakini kwa situation yake si kweliMambo ni magumu 😅😅