Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu ni unyanyapaa wa hali ya juu kwa mahausigeli, kwani sio mtu😂😂😂😂.Mpe nauli aende Kwao
Huyo mwanaume analala na hg! Pole ulikosea mume
It's fish there because the water is thereKama mada ilivyo...
Huyu binti alimtumia mume wangu sms akamwambia I mess you. Awali niliipuzia kwamba anawasiliana na wanaume wake na lugha yake ya kukosea I miss you atakuwa amemess kweli.
Baadae nikamuona mume wangu amelala kwenye kochi akawa anampigapiga akimuamsha. Nikaona akasema naomba nifagie...nikajiuliza why something fish here
Mwanaume anaweza kutembea na mtu yoyote, awe wa mbali au karibu, na yote sio sawa. Kwa kifupi wa mbali ndio hatari zaidi.Mwanaume anayetembea na mtu wa karibu yako jirani hg ndugu marafiki zako hafai! Hiyo ni dharau na ukosefu wa adabu
Bora atembee na watu wa mbali ambao huwajui hawakujui
Hawasomi biblia tatizo, toka enzi za kale, msaidi wa ndani alikua anamsaidia boss wake mpaka kubeba mimbaWaliitwa wasaidizi wa kazi kwa maana.
Huyo ni msaidizi wako, muache akusaidie. Huoni ni faraja kujua mumeo anakojolea wapi kuliko angeenda kuranda randa nje.
Wewe ni mwenye bahati kumjua mchepuko wa mumeo na kuweza kumtumikisha juu.
Iwe wa mbali au wa karibu usaliti ni ule ule mbaya kuujua tu, ili asiue mtoto wa watu ampe nauli tu asepe abakize hilo likitombile wapambaneMwanaume anayetembea na mtu wa karibu yako jirani hg ndugu marafiki zako hafai! Hiyo ni dharau na ukosefu wa adabu
Bora atembee na watu wa mbali ambao huwajui hawakujui
Nimempunguzia makali cz swali lake ameniuliza kama vile hajaona kosa la mumewe😂Iwe wa mbali au wa karibu usaliti ni ule ule mbaya kuujua tu, ili asiue mtoto wa watu ampe nauli tu asepe abakize hilo likitombile wapambane
Kuna haja ya kurudisha mafundisho kila jumapili.Hawasomi biblia tatizo, toka enzi za kale, msaidi wa ndani alikua anamsaidia boss wake mpaka kubeba mimba
We unaweza kutembea na dada wa kazi?Hawasomi biblia tatizo, toka enzi za kale, msaidi wa ndani alikua anamsaidia boss wake mpaka kubeba mimba
Kama mada ilivyo...
Huyu binti alimtumia mume wangu sms akamwambia I mess you. Awali niliipuzia kwamba anawasiliana na wanaume wake na lugha yake ya kukosea I miss you atakuwa amemess kweli.
Baadae nikamuona mume wangu amelala kwenye kochi akawa anampigapiga akimuamsha. Nikaona akasema naomba nifagie...nikajiuliza why something fish here
Sunday school na bible knowledge muhim sana. Ni vile watu hawapendi kusoma divinity wakiwa mashuleniKuna haja ya kurudisha mafundisho kila jumapili.
Ehehhehe we jamaa swali lako limekaa kimtego sana!!We unaweza kutembea na dada wa kazi?