bandeko andeko
JF-Expert Member
- Oct 20, 2021
- 1,080
- 2,143
atapita kama kipofu hawezi kuiona hii stimuli Annie X6Hana madhara lakini kulingana na hii post yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
atapita kama kipofu hawezi kuiona hii stimuli Annie X6Hana madhara lakini kulingana na hii post yako
Wote ndio walewale! Wanaume hawaaminikiEhehhehe we jamaa swali lako limekaa kimtego sana!!
Mumeo alikua amevaa au amevua akiwa amelala kwenye hilo Kochi? Na huyo Beki 3 alikua amevaa au amevua? Namaanisha nguo waliovaa au walivua? Km walikua wamevua yes something is kisamaki Ila km walikua wamevaa punguza wivu wa kijingajinga fanya mambo ya Msingi kwani unachokionea wivu kinini maana ukijenga mazingira ya kuachwa kesho utakitafuta hicho hicho na atakuja tena Beki 3 mzunguko unakua vile vileBaadae nikamuona mume wangu amelala kwenye kochi akawa anampigapiga akimuamsha. Nikaona akasema naomba nifagie...nikajiuliza why something fish here
Kwan wewe mimi nimejibuje???Wote ndio walewale! Wanaume hawaaminiki
Mshukuru Sana mumeo na huyo HG, kwakua resources zitakua zinazungukia humo humo ndani, akiwa na mtanganyika nje ya hapo LAZIMA alipe Kodi ya nyumba, amlipie saluni ya gharama, atume "BANDO", amnunulie iPhone 15, sometimes anunue kiwanja, amfungulie biashara, amvalishe na kumlisha......na akiumwa amtibu. Mimi naona bora amgonge HG Tu inakuaga very costless.Kama mada ilivyo...
Huyu binti alimtumia mume wangu sms akamwambia I mess you. Awali niliipuzia kwamba anawasiliana na wanaume wake na lugha yake ya kukosea I miss you atakuwa amemess kweli.
Baadae nikamuona mume wangu amelala kwenye kochi akawa anampigapiga akimuamsha. Nikaona akasema naomba nifagie...nikajiuliza why something fish here
mdada wa home nae ni mtu, na ana genye acha akusaidie kama anavyokusaidia kazi zingine.Kama mada ilivyo...
Huyu binti alimtumia mume wangu sms akamwambia I mess you. Awali niliipuzia kwamba anawasiliana na wanaume wake na lugha yake ya kukosea I miss you atakuwa amemess kweli.
Baadae nikamuona mume wangu amelala kwenye kochi akawa anampigapiga akimuamsha. Nikaona akasema naomba nifagie...nikajiuliza why something fish here
Hii kitu siwezi kufanya hata dada awe mzuri kias gn..ni kumvunjia heshima mke wangu kwa kiwango kikubwa sana. Ni bora nikachepuke huko mbali kabisaWote ndio walewale! Wanaume hawaaminiki
Ungejibu 'Hapana' ningeona huweziKwan wewe mimi nimejibuje???
Sio ukachepuke mbali!Hii kitu siwezi kufanya hata dada awe mzuri kias gn..ni kumvunjia heshima mke wangu kwa kiwango kikubwa sana. Ni bora nikachepuke huko mbali kabisa
Basi furahia maana utakuwa umepandishwa cheo umekuwa mke mkubwaKama mada ilivyo...
Huyu binti alimtumia mume wangu sms akamwambia I mess you. Awali niliipuzia kwamba anawasiliana na wanaume wake na lugha yake ya kukosea I miss you atakuwa amemess kweli.
Baadae nikamuona mume wangu amelala kwenye kochi akawa anampigapiga akimuamsha. Nikaona akasema naomba nifagie...nikajiuliza why something fish here
Usiishie kuhisi tu ukichelewa kuzipanga hesabu utakuta manyoya.Kama mada ilivyo...
Huyu binti alimtumia mume wangu sms akamwambia I mess you. Awali niliipuzia kwamba anawasiliana na wanaume wake na lugha yake ya kukosea I miss you atakuwa amemess kweli.
Baadae nikamuona mume wangu amelala kwenye kochi akawa anampigapiga akimuamsha. Nikaona akasema naomba nifagie...nikajiuliza why something fish here
Sasa mdogo angu hapa unaniwekea maneno mbona...kabla hujajib swali si inabid uangalie kwanza mitego.Ungejibu 'Hapana' ningeona huwezi
Kuliko ulivyojibu inaonesha kabisa hg unakula vizuri! Muhimu awe na standard yako
Usimsikilize huyu ephen_Hii kitu siwezi kufanya hata dada awe mzuri kias gn..ni kumvunjia heshima mke wangu kwa kiwango kikubwa sana. Ni bora nikachepuke huko mbali kabisa
Kwa neno hili unaonesha huna tofauti na hao! Wewe nae ni haohaosi inabid uangalie kwanza mitego.
Ukitoka na dada wa kazi ataanza kumdharau mkeo mkuu. Ni hatari sana.Usimsikilize huyu ephen_
HahahahaHana madhara lakini kulingana na hii post yako
Labda atamdharau kama ukimpa show mbovu..Ila ukimpelekea moto wa 3 phase SGR lazima awe na adabu na unyenyekevu zaid kwa boss wakeUkitoka na dada wa kazi ataanza kumdharau mkeo mkuu. Ni hatari sana.
Eheheh mimi tatizo hujataka kunielewaKwa neno hili unaonesha huna tofauti na hao! Wewe nae ni haohao
Usaliti hauna aina ya mitego! Kama wewe ni watofauti lazima uwe kama Alshabab utegue mitego yote