Nahisi mume wangu anatoka na house girl wetu…

Nahisi mume wangu anatoka na house girl wetu…

Baadae nikamuona mume wangu amelala kwenye kochi akawa anampigapiga akimuamsha. Nikaona akasema naomba nifagie...nikajiuliza why something fish here
Mumeo alikua amevaa au amevua akiwa amelala kwenye hilo Kochi? Na huyo Beki 3 alikua amevaa au amevua? Namaanisha nguo waliovaa au walivua? Km walikua wamevua yes something is kisamaki Ila km walikua wamevaa punguza wivu wa kijingajinga fanya mambo ya Msingi kwani unachokionea wivu kinini maana ukijenga mazingira ya kuachwa kesho utakitafuta hicho hicho na atakuja tena Beki 3 mzunguko unakua vile vile
 
Kama mada ilivyo...

Huyu binti alimtumia mume wangu sms akamwambia I mess you. Awali niliipuzia kwamba anawasiliana na wanaume wake na lugha yake ya kukosea I miss you atakuwa amemess kweli.

Baadae nikamuona mume wangu amelala kwenye kochi akawa anampigapiga akimuamsha. Nikaona akasema naomba nifagie...nikajiuliza why something fish here
Mshukuru Sana mumeo na huyo HG, kwakua resources zitakua zinazungukia humo humo ndani, akiwa na mtanganyika nje ya hapo LAZIMA alipe Kodi ya nyumba, amlipie saluni ya gharama, atume "BANDO", amnunulie iPhone 15, sometimes anunue kiwanja, amfungulie biashara, amvalishe na kumlisha......na akiumwa amtibu. Mimi naona bora amgonge HG Tu inakuaga very costless.

Huko nje kwa moto Sana Sana, HG yeye anahitaji Tu kutolewa uchovu wa kibaolojia, baaaaasi tena chap kwa haraka hainaga kujenga Boma. Sasa imagine mumeo akiwa na mademu wawili nje Huko au watatu ni Pesa kiasi Gani zitapotea?

Wakienda Hotel/Lodge au Guest ni Kati ya 20,000 - 50,000, atamlipia bolt au Uber si Chini ya 10,000, maybe watakula na kunywa sio chini ya 50,000 halafu watasex bila kinga, kisha atasimuliwa matatizo kibao.
Conclusively HGs are far more cost effective kuliko Wanawake wa nje. Long live HGs.......
 
Kama mada ilivyo...

Huyu binti alimtumia mume wangu sms akamwambia I mess you. Awali niliipuzia kwamba anawasiliana na wanaume wake na lugha yake ya kukosea I miss you atakuwa amemess kweli.

Baadae nikamuona mume wangu amelala kwenye kochi akawa anampigapiga akimuamsha. Nikaona akasema naomba nifagie...nikajiuliza why something fish here
mdada wa home nae ni mtu, na ana genye acha akusaidie kama anavyokusaidia kazi zingine.
 
Kama mada ilivyo...

Huyu binti alimtumia mume wangu sms akamwambia I mess you. Awali niliipuzia kwamba anawasiliana na wanaume wake na lugha yake ya kukosea I miss you atakuwa amemess kweli.

Baadae nikamuona mume wangu amelala kwenye kochi akawa anampigapiga akimuamsha. Nikaona akasema naomba nifagie...nikajiuliza why something fish here
Basi furahia maana utakuwa umepandishwa cheo umekuwa mke mkubwa
 
Kama mada ilivyo...

Huyu binti alimtumia mume wangu sms akamwambia I mess you. Awali niliipuzia kwamba anawasiliana na wanaume wake na lugha yake ya kukosea I miss you atakuwa amemess kweli.

Baadae nikamuona mume wangu amelala kwenye kochi akawa anampigapiga akimuamsha. Nikaona akasema naomba nifagie...nikajiuliza why something fish here
Usiishie kuhisi tu ukichelewa kuzipanga hesabu utakuta manyoya.
Kama unaona dalili wahi kutafuta tiba usisubiri ufumanie. Huwez jua mzaigo ushaliwa mara ngapi.
Ukichelewa sana unapata mtoto wa bonus
 
Ungejibu 'Hapana' ningeona huwezi
Kuliko ulivyojibu inaonesha kabisa hg unakula vizuri! Muhimu awe na standard yako
Sasa mdogo angu hapa unaniwekea maneno mbona...kabla hujajib swali si inabid uangalie kwanza mitego.
Au wewe QM umekua ukifanyaje???
 
Ukitoka na dada wa kazi ataanza kumdharau mkeo mkuu. Ni hatari sana.
Labda atamdharau kama ukimpa show mbovu..Ila ukimpelekea moto wa 3 phase SGR lazima awe na adabu na unyenyekevu zaid kwa boss wake
 
Kutembea na msaidizi wa nyumbani ni udhaifu mkubwa sana, a man enough wouldn't dare!

Mtaani huko kuna Ke wengi na wala hawakatai kivile.
 
Kwa neno hili unaonesha huna tofauti na hao! Wewe nae ni haohao
Usaliti hauna aina ya mitego! Kama wewe ni watofauti lazima uwe kama Alshabab utegue mitego yote
Eheheh mimi tatizo hujataka kunielewa
 
Back
Top Bottom