Wanaume tuna mambo mengi lazima tuamshweKwanini aamshwe?
Na msichana wa kazi?Wanaume tuna mambo mengi lazima tuamshwe
Mwanaume kalala kwenye kochi mdada wa kazi anamwamsha afanye usafi... sioni dharau hapoNa msichana wa kazi?
Ukiona hivyo ujue ameshakudharau..
KWasasa niende wapi zaidi, usimsikize huyu lastborn wetu ana gubu sanaMwambie rafiki yako akitulize , kitakatika 😁😹
Hakika, hapa ni kigoma kabisaa. Chonde chonde mpe heshima zake PyaarHuyu ndugu yangu huwa simuelewi kabisa!
Lakini kwako ameniambia kafika Kigoma mwisho wa reli
Aaaahhhhh, hata kuokoka nimeshaongozwa sala ya toba wala usihofu😁😁😁
Anazingua tu Ivan Stepanov
Nawe utakula mema ya nchiNitafanya hivyo kila mara
😂😂😂😂Hizi nyumba zingine, kama matahira wameona wanakaa pamoja
😀 😀 😀Kama mada ilivyo...
Huyu binti alimtumia mume wangu sms akamwambia I mess you. Awali niliipuzia kwamba anawasiliana na wanaume wake na lugha yake ya kukosea I miss you atakuwa amemess kweli.
Baadae nikamuona mume wangu amelala kwenye kochi akawa anampigapiga akimuamsha. Nikaona akasema naomba nifagie...nikajiuliza why something fish here