Kwamba hizi changamoto zimfanye aondoke aache watoto na familia aliyoijenga? Hivi wakuu mpo kwa ndoa kweli?Maskini[emoji17][emoji17][emoji17]bado unafanya nini apo dear? Naomba rudi kwenu haraka[emoji24]
Mume wangu aliponichoka...
Nikimkumbatia anasema nampotezea mda[emoji4]
Nikimsemesha anasema "aaarghhh usinichoshe"
Kukiwa na jambo la kujadili anasema 'unanipigia keleleee"
Nikimuomba anisaidie kitu. Mfano nahitaji nibadilishe uelekeo wa kitanda, anasema kila kitu usaidiwe tu.
Tukipishana kauli... Naambiwa "we ni mbwa"[emoji17]
Kwenye tendo sasa[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4] anataka afanye anavyopenda. Ukiomba ushikwe sehem anasema nimechoka[emoji1787][emoji1787] huyooo anasepa
Sasa nimekonda kweeli...stress na shida, ananiambia Unakonda sababu ya roho isioridhika[emoji17][emoji17]wewe Ni wale wanawake wasikridhikaaa.
Namwambia nifanyeje unipende? Kasema labda ule unenepe univutie upya[emoji1787] mi mwenyewe napenda vitu vizuri[emoji4]
Najua kabisa amenichoka, hanipendi tena [emoji4][emoji4][emoji4]
Mi sifurahi...Ni njia tu ya uandishi...Nina msongo wa mawazo wa Hali ya juu[emoji17] nategemea ushaur apa lakin naona nagombezwa,si nicheke Tena Sasa[emoji1787] niokoeni nyie ntakufaaa,namaanisha...Mbona umeandika huku wafurahi?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nacheka hiyo U fresh ya 200😂Wifi unacheka nini? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nacheka hiyo U fresh ya 200[emoji23]
Kutakuwa kuna tatizo mahali; kama hutojali ebu njoo nikuone, inawezekana wewe ukaona uko sawa kumbe kuna tatizo mahaliBwana equinox [emoji4] thank you..Ila ukweli Ni kwamba..Mimi Ni msafi kuliko kawaida....halafu vyote hivyo sio vipya nipo ivyo tangu ananitongoza mpaka Sasa tuna watoto wawili...nikimtega yes anategeka Ila ananifanya kwa faida yake[emoji24] akishakojoa huyoooo kuchat Facebook
Kuna mtu alienda kuumia hapo 😀
Imeisha hiyooyooo
chubwi chubwi chubwi
namwagaa
Mkuu, omba kusafiri kidogo uende nyumbani upumzike walau weeks kadhaa kisha urudi au kama mumeo anaye kaka yake mkubwa mshirikishe huyo shemeji yako changamoto unazozipitia.
I had money unajipaka vasselin ya watoto?Maddox..how old are you? Mimi umri wa pisi na mwamba nshapita...Ni mama wa watoto wawili...na wa level zetu kivipii? Na hii njaa Kali mi Sina..I had money [emoji12]
Labda ana miaka 40, arudi home akafanye nini, hapo ni kukomaa tuMaskini😔😔😔bado unafanya nini apo dear? Naomba rudi kwenu haraka😭
Afadhali we unapaka vaseline ya watoto mi mke wangu anapaka mafuta ya kupikia aina ya korie[emoji1787] ndoa tamu we mad max, oa uone[emoji39] tatizo Ni iz changamoto tuu.
Sisi Ni wakubwa..tuna watoto wawili...Mimi alinikuta na kilo 60 actually mwembamba..Sasa Nina watoto wawili na kilo zilezile...tofaut Ni kua stress zimenichosha[emoji1787]
Kikubwa Ni alinikuta na pesa..akasema anapenda nikae home hashindwi kunihudumia[emoji4][emoji4][emoji4] si nikakubaliiii kuacha kazi. saiv Sina ata lotion [emoji1787][emoji1787] najipaka Vaseline ya watoto
Tafuta bebi wa akiba🤣🤣🤣 utakuja kufa na nyeg* shauri yako🤣🤣[emoji1787][emoji1787][emoji1787]nanyimwa dada, Yan naomba bas umeninyima iyo..naomba bas unishike apa, wapiii anakataa[emoji23]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]