Nahisi mume wangu kanichoka kabisa

Nahisi mume wangu kanichoka kabisa

Kuchokwa na kukinahiwa ni sehemu ya maisha ya ndoa, ndoa is not a bed of roses kwamba kwa miaka yote mpo poa tu bila changamoto zozote.

It will pass, jitahidi tu kupendeza na kumvutia. Ila kama unaweza kutafuta shughuli ya kufanya itakuwa poa sana, huenda mkarejesha mahaba yenu.

Hakuna ndoa isiyokuwa na ups na downs.
 
Maskini[emoji17][emoji17][emoji17]bado unafanya nini apo dear? Naomba rudi kwenu haraka[emoji24]
Kwamba hizi changamoto zimfanye aondoke aache watoto na familia aliyoijenga? Hivi wakuu mpo kwa ndoa kweli?

Nadhani watu tukisikia ndoa za 30+ yrs tunadhani ni kitu rahisi kuja
 
Mume wangu aliponichoka...

Nikimkumbatia anasema nampotezea mda[emoji4]

Nikimsemesha anasema "aaarghhh usinichoshe"

Kukiwa na jambo la kujadili anasema 'unanipigia keleleee"

Nikimuomba anisaidie kitu. Mfano nahitaji nibadilishe uelekeo wa kitanda, anasema kila kitu usaidiwe tu.

Tukipishana kauli... Naambiwa "we ni mbwa"[emoji17]

Kwenye tendo sasa[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4] anataka afanye anavyopenda. Ukiomba ushikwe sehem anasema nimechoka[emoji1787][emoji1787] huyooo anasepa

Sasa nimekonda kweeli...stress na shida, ananiambia Unakonda sababu ya roho isioridhika[emoji17][emoji17]wewe Ni wale wanawake wasikridhikaaa.

Namwambia nifanyeje unipende? Kasema labda ule unenepe univutie upya[emoji1787] mi mwenyewe napenda vitu vizuri[emoji4]

Najua kabisa amenichoka, hanipendi tena [emoji4][emoji4][emoji4]

Mbona umeandika huku wafurahi?
 
Nakushauri punguza kudeka deka sana kwake , yaan kila ukimuona basi utataka umshike , cjui utake akubembeleze bembeleze kila muda , ... nasema hv sababu mm mwenyew nilishadate na gal nilimchoka kabisa kisa hvyo hvyo , ukiwa karibu nae atataka mara akushike shike yeye akidhani ni mahaba kumbe hua ni kero kwetu , fanya mahaba kwa wastani na sio kila muda , popote , hujui mood ya mwenzio kwa wakati huo ... ukifanya hv amini atarud kama mwanzo
 
Bwana equinox [emoji4] thank you..Ila ukweli Ni kwamba..Mimi Ni msafi kuliko kawaida....halafu vyote hivyo sio vipya nipo ivyo tangu ananitongoza mpaka Sasa tuna watoto wawili...nikimtega yes anategeka Ila ananifanya kwa faida yake[emoji24] akishakojoa huyoooo kuchat Facebook
Kutakuwa kuna tatizo mahali; kama hutojali ebu njoo nikuone, inawezekana wewe ukaona uko sawa kumbe kuna tatizo mahali
 
Hakuna ndoa nzuri kama za watu ambao ni marafiki kwanza ,kuchokana inakuwa ni ngumu mno, ni vizuri marafiki wakioana.
 
Kwa hizo kilo 60..plus uzazi na stress za mumee mmmh...Hapa Nuru itakuwa imepoteaa gain weight kidogo..mwili ukikomaa sana kwa mwanamkee kusema ule ukweli unakuwaa hauvutiii...mwili wa mwanamkee unatakiwa kuwa shata shataa...
 
Mkuu, omba kusafiri kidogo uende nyumbani upumzike walau weeks kadhaa kisha urudi au kama mumeo anaye kaka yake mkubwa mshirikishe huyo shemeji yako changamoto unazozipitia.
Maddox..how old are you? Mimi umri wa pisi na mwamba nshapita...Ni mama wa watoto wawili...na wa level zetu kivipii? Na hii njaa Kali mi Sina..I had money [emoji12]
I had money unajipaka vasselin ya watoto?
 
[emoji1787] ndoa tamu we mad max, oa uone[emoji39] tatizo Ni iz changamoto tuu.
Sisi Ni wakubwa..tuna watoto wawili...Mimi alinikuta na kilo 60 actually mwembamba..Sasa Nina watoto wawili na kilo zilezile...tofaut Ni kua stress zimenichosha[emoji1787]
Kikubwa Ni alinikuta na pesa..akasema anapenda nikae home hashindwi kunihudumia[emoji4][emoji4][emoji4] si nikakubaliiii kuacha kazi. saiv Sina ata lotion [emoji1787][emoji1787] najipaka Vaseline ya watoto
Afadhali we unapaka vaseline ya watoto mi mke wangu anapaka mafuta ya kupikia aina ya korie
 
Ni kweli amekuchoka na hajaanza kukuchoka kwa siku moja.
cha kufanya jitahidi utoke hata kwa wiki moja uwe mbali kabisa na yeye.
tafuta muda zungumza naye au mtala azungumze naye mueleze hisia zako vile unavyojisikia kutokana na hiyo hali(epuka kuwashirikisha ndugu) tafuta wataalam au viongozi wa dini, mshenga n.k
Pia jipende, fikiria siku ya kwanza munakutana ni maneno gani alikuwa akikuambia yale ya kukusifia kisha jiulize hizo sifa hadi leo zipo? kama hazipo fanya kujiupdate
Mengine shauriana na psyclogist wako kuna vit atakuambia uvifanye kma mazoezi kwa kipindi kisihopungua mwezi mmoja ukiona habadiliki kubali hiyo hali kuachana sio suluhisho ila inaweza kuwa njia ya kutafuta amani
 
Back
Top Bottom