mamamzungu
JF-Expert Member
- Nov 17, 2019
- 2,554
- 4,271
Hii Ni chai
Pole,ni ngumu ila jitahidi umuache maana atakusumbua sanaLove dear... kweli nampenda.
Si useme tu kisimi ama rindaNjoo kwangu nakulamba mpka unyayo[emoji3590]
Story haziwezi fanana copy and paste itakuwa ndio yeye bhana😁😁Hahah hata mimi sijui Kama ni huyu ila hii story ni ya mama D otherwise matukio ya ndoa yanafanana
Kama Bado unampenda kupunguza kulalamika alafu kuwa bize ,kingne usiombe tendo la ndoa jifanye huna mda nae ila muheshimu fanyie Kila kitu anapasa kufanya mwanamke ila usishoboke nae mwenywe utaona majibuMume wangu aliponichoka...
Nikimkumbatia anasema nampotezea mda[emoji4]
Nikimsemesha anasema "aaarghhh usinichoshe"
Kukiwa na jambo la kujadili anasema 'unanipigia keleleee"
Nikimuomba anisaidie kitu. Mfano nahitaji nibadilishe uelekeo wa kitanda, anasema kila kitu usaidiwe tu.
Tukipishana kauli... Naambiwa "we ni mbwa"[emoji17]
Kwenye tendo sasa[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4] anataka afanye anavyopenda. Ukiomba ushikwe sehem anasema nimechoka[emoji1787][emoji1787] huyooo anasepa
Sasa nimekonda kweeli...stress na shida, ananiambia Unakonda sababu ya roho isioridhika[emoji17][emoji17]wewe Ni wale wanawake wasikridhikaaa.
Namwambia nifanyeje unipende? Kasema labda ule unenepe univutie upya[emoji1787] mi mwenyewe napenda vitu vizuri[emoji4]
Najua kabisa amenichoka, hanipendi tena [emoji4][emoji4][emoji4]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]safi sana, Kataa Ndoa
[emoji1787] ndoa tamu we mad max, oa uone[emoji39] tatizo Ni iz changamoto tuu.
Sisi Ni wakubwa..tuna watoto wawili...Mimi alinikuta na kilo 60 actually mwembamba..Sasa Nina watoto wawili na kilo zilezile...tofaut Ni kua stress zimenichosha[emoji1787]
Kikubwa Ni alinikuta na pesa..akasema anapenda nikae home hashindwi kunihudumia[emoji4][emoji4][emoji4] si nikakubaliiii kuacha kazi. saiv Sina ata lotion [emoji1787][emoji1787] najipaka Vaseline ya watoto
Hiyo imeendaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]nanyimwa dada, Yan naomba bas umeninyima iyo..naomba bas unishike apa, wapiii anakataa[emoji23]
Yesu kristo na Ma padre wa katolikiUsipooa utaolewa tu!
Hahahaah sio hao, hao walikua on special mission, sio hizi Simbilisi za AdamYesu kristo na Ma padre wa katoliki
Hawajaoa.vip waliolewa. Unaongea kibaguzi sana. Mshukuru Mungu umepata Mweza.
Mi sifurahi...Ni njia tu ya uandishi...Nina msongo wa mawazo wa Hali ya juu[emoji17] nategemea ushaur apa lakin naona nagombezwa,si nicheke Tena Sasa[emoji1787] niokoeni nyie ntakufaaa,namaanisha...
Ila Una sound very romantic my dada, I like that huyo Jamaa yko cjui anafeli wpWeee, mi Ni msafiii,[emoji1787]hatari..ntaanza kujipenda japo shida nyingi [emoji17]
Hapana bhn, nmemsoma huyu mleta mada psychology yke anaoneka Ni Aina ya a very humble woman, very brave one and so loyal [emoji847] Ni mtu anayeface life the way it is pia sio Waku fake uhalisia wakeHapana,sio sawa....naona kama una mizaha kwenye suala nyeti linalogharimu afya Yako ya akili,mwili,na roho
Unamfundsha tabia mbovu sasaAnza kuzoeana na Bodaboda tu wa Mtaani,atarudia upendo wake wa Awali.
Kiburi uacheUnadhani ni sifa kujinadi unampenda mtu anaekuita Mbwa?imagine thamani Yako ni sawa na Mbwa.....aisee watu mnajua kupenda jamani