Nahisi mume wangu kanichoka kabisa

Nahisi mume wangu kanichoka kabisa

Mie nakujibu kwa experience ila sijaolewa , wanaume wakikuoa watumie kwa mwanzo aweke mambo ya kipesa sawa , ukimaliza umejiweka sawa basi anza kutokuwa free uwe busy panga ratiba amazojuabkanisa kuingia kwako ni saa 3 au saa mbili njoo na kitu kinachoiva haraka mle mlale usimlazimishe mapenzi ,sex mwache anze na jifany upo busy sio unahitaji sana ukimlazimisha sana anakuona huna kazi yakufanya haya kazi kwako.

Anza kutafuta kazi, ukipata jiweke vizuri ushine kuanzia nywele hadi miguu , jiweke busy , zaa mapema na wasiwe wengi uwe unawahudumia wao uwe hata hamu ya sex huna . Atajileta wala usipende michepuko fanya yako. Basi tu . Maisha nikujioa raha . Ndoa isiwe ndoano jiweke busy .
 
Mume wangu aliponichoka...

Nikimkumbatia anasema nampotezea mda[emoji4]

Nikimsemesha anasema "aaarghhh usinichoshe"

Kukiwa na jambo la kujadili anasema 'unanipigia keleleee"

Nikimuomba anisaidie kitu. Mfano nahitaji nibadilishe uelekeo wa kitanda, anasema kila kitu usaidiwe tu.

Tukipishana kauli... Naambiwa "we ni mbwa"[emoji17]

Kwenye tendo sasa[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4] anataka afanye anavyopenda. Ukiomba ushikwe sehem anasema nimechoka[emoji1787][emoji1787] huyooo anasepa

Sasa nimekonda kweeli...stress na shida, ananiambia Unakonda sababu ya roho isioridhika[emoji17][emoji17]wewe Ni wale wanawake wasikridhikaaa.

Namwambia nifanyeje unipende? Kasema labda ule unenepe univutie upya[emoji1787] mi mwenyewe napenda vitu vizuri[emoji4]

Najua kabisa amenichoka, hanipendi tena [emoji4][emoji4][emoji4]
Kama Bado unampenda kupunguza kulalamika alafu kuwa bize ,kingne usiombe tendo la ndoa jifanye huna mda nae ila muheshimu fanyie Kila kitu anapasa kufanya mwanamke ila usishoboke nae mwenywe utaona majibu
 
[emoji1787] ndoa tamu we mad max, oa uone[emoji39] tatizo Ni iz changamoto tuu.
Sisi Ni wakubwa..tuna watoto wawili...Mimi alinikuta na kilo 60 actually mwembamba..Sasa Nina watoto wawili na kilo zilezile...tofaut Ni kua stress zimenichosha[emoji1787]
Kikubwa Ni alinikuta na pesa..akasema anapenda nikae home hashindwi kunihudumia[emoji4][emoji4][emoji4] si nikakubaliiii kuacha kazi. saiv Sina ata lotion [emoji1787][emoji1787] najipaka Vaseline ya watoto

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mbavu zangu
Dada soma kitabu cha fascinating woman hood utanishukuru badae
 
Mi sifurahi...Ni njia tu ya uandishi...Nina msongo wa mawazo wa Hali ya juu[emoji17] nategemea ushaur apa lakin naona nagombezwa,si nicheke Tena Sasa[emoji1787] niokoeni nyie ntakufaaa,namaanisha...

Hakuna mkate mgumu mbele ya chai ,hakuna mwanamme mjeuri mbele ya mwanamke mnyenyekevu....ndoa ni sanaa......Wasanii wanaigiza kaole CD dukani kina dada wanaigiza ulokole miili buchani.
 
Back
Top Bottom