Nahisi mume wangu kanichoka kabisa

Nahisi mume wangu kanichoka kabisa

[emoji1787] ndoa tamu we mad max, oa uone[emoji39] tatizo Ni iz changamoto tuu.
Sisi Ni wakubwa..tuna watoto wawili...Mimi alinikuta na kilo 60 actually mwembamba..Sasa Nina watoto wawili na kilo zilezile...tofaut Ni kua stress zimenichosha[emoji1787]
Kikubwa Ni alinikuta na pesa..akasema anapenda nikae home hashindwi kunihudumia[emoji4][emoji4][emoji4] si nikakubaliiii kuacha kazi. saiv Sina ata lotion [emoji1787][emoji1787] najipaka Vaseline ya watoto
oya mtie wivu, anza kupendeza. rudi kazini au ata tafuta shughuli ya kutoka asubuhi kurudi jioni coz utakua unatoka umepiga umini au jeans kali unarudi ivo atajua kwamba ana wife pisi akizubaa anaibiwa na madereva crown.

Ila anatoka saa 1 asubuhi kakuacha na dera unafua fua anarudi saa 12 jioni bado upo na dera unasafisha nyumba, nani atakuiba. Mangi au muuza bucha?
 
Kadri unavyokaa na kitu moyoni ndivyo kinavyokutafuna taratibu. Kama wewe ni mtu wa kanisani, basi tafuta hata mama mtu mzima mwenye staha umsimulie at least kifua kipumue na anaweza kukupa maneno mawili matati yatakayokufaa. Usijitafutie ugonjwa wa moyo. You're too young to die of heart attack.
Kweli Ramon,najiona kabisa nilivyodhoofika[emoji17]
 
[emoji1787] ndoa tamu we mad max, oa uone[emoji39] tatizo Ni iz changamoto tuu.
Sisi Ni wakubwa..tuna watoto wawili...Mimi alinikuta na kilo 60 actually mwembamba..Sasa Nina watoto wawili na kilo zilezile...tofaut Ni kua stress zimenichosha[emoji1787]
Kikubwa Ni alinikuta na pesa..akasema anapenda nikae home hashindwi kunihudumia[emoji4][emoji4][emoji4] si nikakubaliiii kuacha kazi. saiv Sina ata lotion [emoji1787][emoji1787] najipaka Vaseline ya watoto
Aisee,daah!
 
oya mtie wivu, anza kupendeza. rudi kazini au ata tafuta shughuli ya kutoka asubuhi kurudi jioni coz utakua unatoka umepiga umini au jeans kali unarudi ivo atajua kwamba ana wife pisi akizubaa anaibiwa na madereva crown.

Ila anatoka saa 1 asubuhi kakuacha na dera unafua fua anarudi saa 12 jioni bado upo na dera unasafisha nyumba, nani atakuiba. Mangi au muuza bucha?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] oya acha kunifundisha ujeuri,nkifukuzwa jeee
 
Pole ........lakin ndio mjifunze kupenda wa level zenu ............maana ni kama pozi zilikuwa nyingi harafu dizaini kama mwamba kagundua ukweli wewe ulikuwa pisi ya masela harafu Huna maajabu yeyote zaidi ya kudeka deka wakati njaa kali
 
Pole ........lakin ndio mjifunze kupenda wa level zenu ............maana ni kama pozi zilikuwa nyingi harafu dizaini kama mwamba kagundua ukweli wewe ulikuwa pisi ya masela harafu Huna maajabu yeyote zaidi ya kudeka deka wakati njaa kali
Maddox..how old are you? Mimi umri wa pisi na mwamba nshapita...Ni mama wa watoto wawili...na wa level zetu kivipii? Na hii njaa Kali mi Sina..I had money [emoji12]
 
Mi sio mtalaamu ila nahisi:

1. alikupendea muonekano,
2. mlidate muda mfupi,
3. mmeoana umri bado mdogo,
4. hamjapata mtoto (au watoto wa kuwaweka busy),
5. we ni mama wa nyumbani.

temporary solutions:
1. tafuta kazi
2. weekend toka out su jumapili toka umependeza ata uende kanisani
3. jipende usikae home kama upo hostel
4. usimkumbushe majukumu yake atajua mwenyewe

oya mi sio mtaalamu ila Pole.

Mi team Kataa Ndoa
Hahahaaa...., Eti wewe team.....
 
Mume wangu aliponichoka...

Nikimkumbatia anasema nampotezea mda[emoji4]

Nikimsemesha anasema "aaarghhh usinichoshe"

Kukiwa na jambo la kujadili anasema 'unanipigia keleleee"

Nikimuomba anisaidie kitu. Mfano nahitaji nibadilishe uelekeo wa kitanda, anasema kila kitu usaidiwe tu.

Tukipishana kauli... Naambiwa "we ni mbwa"[emoji17]

Kwenye tendo sasa[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4] anataka afanye anavyopenda. Ukiomba ushikwe sehem anasema nimechoka[emoji1787][emoji1787] huyooo anasepa

Sasa nimekonda kweeli...stress na shida, ananiambia Unakonda sababu ya roho isioridhika[emoji17][emoji17]wewe Ni wale wanawake wasikridhikaaa.

Namwambia nifanyeje unipende? Kasema labda ule unenepe univutie upya[emoji1787] mi mwenyewe napenda vitu vizuri[emoji4]

Najua kabisa amenichoka, hanipendi tena [emoji4][emoji4][emoji4]
Hii story inapatikana katika channel gani za bongo movie?
 
Ukiomba ushikwe sehem anasema nimechoka
emoji1787.png
emoji1787.png
huyooo anasepa
Sehemu ipi ulikuwa unaombwa ushikwe?
 
Jipende dada. Kula vizuri, vaa upendeze, nukia hatakama upo nyumbani. Halafu usimgasi gasi mpe nafasi huku wewe ukiendelea kujipendezesha.
Kosa langu Ni kumghasi[emoji1787] kila Sasa nalialia,baba sweetie I miss you..baba sweetie kwanini hunipend..baba sweetie...waiiii ndo anaongeza mabalaaa..eti we bila Mimi huez kuishi?[emoji1787][emoji1787]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] oya acha kunifundisha ujeuri,nkifukuzwa jeee
Unakua unamuheshimu kama kawa. We unakua unafanya yako tu.

Si wanaume wengi tuna controlling nature tunataka control mtu kama TV.

Na step ya kwanza ya controlling man ni kukata source zako za income ili uwe dependant, ya pili anaanza kukuchagulia nani ww kuchat nae na nani uwasiliane nae, ya tatu anaanza control simu yako, nini cha kuvaa, wapi pa kwenda.. na hauwezi fanya kitu kwasababu ametimiza ile ya kwanza.

Kwahiyo cha kwanza jitoe hapo namba moja, tafuta kazi au shughuli ata ya kukuweka busy ata kama home pana space anza kufuga, kama space ndogo anza biashara ya maua au miche, yaan just be busy ukipata maokoto ukaanza shine jamaa atatuma mahali tena kwa wakwe.
 
Back
Top Bottom