Nahisi mume wangu kanichoka kabisa

Nahisi mume wangu kanichoka kabisa

[emoji1787] ndoa tamu we mad max, oa uone[emoji39] tatizo Ni iz changamoto tuu.
Sisi Ni wakubwa..tuna watoto wawili...Mimi alinikuta na kilo 60 actually mwembamba..Sasa Nina watoto wawili na kilo zilezile...tofaut Ni kua stress zimenichosha[emoji1787]
Kikubwa Ni alinikuta na pesa..akasema anapenda nikae home hashindwi kunihudumia[emoji4][emoji4][emoji4] si nikakubaliiii kuacha kazi. saiv Sina ata lotion [emoji1787][emoji1787] najipaka Vaseline ya watoto
😀😀😀😀😀
nacheka kama mazur ila pole sana
 
Bado hujasema.......na utasema 😆😆😆😂😂😂🤣🤣🤣🚬🚬🚬🏃🏾‍♂️🏃🏾‍♂️🏃🏾‍♂️
 
Ndoa imeshaisha iyo. Tafuta kazi mkoa mwingine ukaanze upya...
Msiimalize ndoa kirahisi hivyo...🤣🤣🤣

Ujue siku zote wanaume ni hunters, asimuache mumewe free, Ampe Kazi ya kufanya....apendeze, Yani ajipende apendeze....badala ya mume kuwaza kuwinda visoliwa huko nje awaze kulinda mkewe nyumbani....

Mume vitu viwili macho na pua, mume asione kwake Ila uzuri wake, asinuse ila harufu yake nzuri....sio mke ananuka vitunguu.

Akijitahidi mapishi na judo za bed, huyo mume akimwita mbwa, aje anirudishie Mimi hilo tusi🤣🤣🤣

Ndoa haivunjwi kirahisi hivyo, tuko kwenye mapambano makali na team kataa ndoa, tusiwape point🤣🤣🤣

NB. Mleta mada Bebi wa akiba muhimu, atakusaidia kukufanya upunguze shobo Kwa mumeo🤣
 
Mume wangu aliponichoka...

Nikimkumbatia anasema nampotezea mda[emoji4]

Nikimsemesha anasema "aaarghhh usinichoshe"

Kukiwa na jambo la kujadili anasema 'unanipigia keleleee"

Nikimuomba anisaidie kitu. Mfano nahitaji nibadilishe uelekeo wa kitanda, anasema kila kitu usaidiwe tu.

Tukipishana kauli... Naambiwa "we ni mbwa"[emoji17]

Kwenye tendo sasa[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4] anataka afanye anavyopenda. Ukiomba ushikwe sehem anasema nimechoka[emoji1787][emoji1787] huyooo anasepa

Sasa nimekonda kweeli...stress na shida, ananiambia Unakonda sababu ya roho isioridhika[emoji17][emoji17]wewe Ni wale wanawake wasikridhikaaa.

Namwambia nifanyeje unipende? Kasema labda ule unenepe univutie upya[emoji1787] mi mwenyewe napenda vitu vizuri[emoji4]

Najua kabisa amenichoka, hanipendi tena [emoji4][emoji4][emoji4]
Dada hufanyi kazi?? Kama hauna tafuta cha kufanya.....tafuta hela jipe furaha, toka out,vaa,pendeza jipende,acha kulalamika [emoji28]
 
Siku zote mkiwa ndani ya ndoa na ukaanza kuona dalili ya kumchoka mwezako au kuchokwa unasafiri hata mwezi mzima, ukirudi unamuona mpya maisha yanaendelea..

Sina uzoefu wa mambo ya ndoa kabisa ila hiyo ndiyo tiba kidogo

Nb; wanawake mkiolewa namkisha zaa jitahidini muwe mnapendeza kama mlivyo kuwa mabinti huko nyuma. HAKUNAGA MWANAMKE CHAKAVU MBELE YA MWANAUME
 
Msiimalize ndoa kirahisi hivyo...🤣🤣🤣

Ujue siku zote wanaume ni hunters, asimuache mumewe free, Ampe Kazi ya kufanya....apendeze, Yani ajipende apendeze....badala ya mume kuwaza kuwinda visoliwa huko nje awaze kulinda mkewe nyumbani....

Mume vitu viwili macho na pua, mume asione kwake Ila uzuri wake, asinuse ila harufu yake nzuri....sio mke ananuka vitunguu.

Akijitahidi mapishi na judo za bed, huyo mume akimwita mbwa, aje anirudishie Mimi hilo tusi🤣🤣🤣

Ndoa haivunjwi kirahisi hivyo, tuko kwenye mapambano makali na team kataa ndoa, tusiwape point🤣🤣🤣

NB. Mleta mada Bebi wa akiba muhimu, atakusaidia kukufanya upunguze shobo Kwa mumeo🤣
I salute you!
 
Yaan wengi hii inatutokea ila tunajitahid kuficha tu baadhi ya mambo ili kubalance mambo,ila kuna muda mwanamke anachosha balaa yaan ana expire
 
Msiimalize ndoa kirahisi hivyo...[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ujue siku zote wanaume ni hunters, asimuache mumewe free, Ampe Kazi ya kufanya....apendeze, Yani ajipende apendeze....badala ya mume kuwaza kuwinda visoliwa huko nje awaze kulinda mkewe nyumbani....

Mume vitu viwili macho na pua, mume asione kwake Ila uzuri wake, asinuse ila harufu yake nzuri....sio mke ananuka vitunguu.

Akijitahidi mapishi na judo za bed, huyo mume akimwita mbwa, aje anirudishie Mimi hilo tusi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ndoa haivunjwi kirahisi hivyo, tuko kwenye mapambano makali na team kataa ndoa, tusiwape point[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

NB. Mleta mada Bebi wa akiba muhimu, atakusaidia kukufanya upunguze shobo Kwa mumeo[emoji1787]

Hapo mwisho ndio anaenda kuizika na kuikalia eda ndoa yake, huyo hana uzoefu wa kuchepuka atadakwa na makosa yote atayabeba yeye au kutatokea mauaji ya kimbali

Yeye atafute pesa aone km huyo mwanaume atamletea dharau
 
Najua kabisa amenichoka, hanipendi tena
emoji4.png
emoji4.png
emoji4.png
Sidhani kama imekuwa ghafla akawa hakupendi, Nadhani kuna mahala ulikuwa unakosea, Jitafakari, Rekebisha ulipokosea, Huenda ule upendo uliopotea ukarejea.
 
We nani hapa duniani mpaka usichokwe? Dalili ushaziona .Tafuta mwingine mpendane huko nje duniani ishavaa gagulo hii.Matajiri wanachokana,maraisi wanachokana,masikini wanachokana.
 
dah pole kuoleowa na asiewako, huyo ana mtu wake, namshukuru mungu niko nae miaka 8 ila kila nikiwa nae nikama ni siku ya kwanza kuwa nae. (nampenda sana)
 
[emoji1787] ndoa tamu we mad max, oa uone[emoji39] tatizo Ni iz changamoto tuu.
Sisi Ni wakubwa..tuna watoto wawili...Mimi alinikuta na kilo 60 actually mwembamba..Sasa Nina watoto wawili na kilo zilezile...tofaut Ni kua stress zimenichosha[emoji1787]
Kikubwa Ni alinikuta na pesa..akasema anapenda nikae home hashindwi kunihudumia[emoji4][emoji4][emoji4] si nikakubaliiii kuacha kazi. saiv Sina ata lotion [emoji1787][emoji1787] najipaka Vaseline ya watoto
Shida sio kama kakuchoka,inatakiwa na wewe uende na wakati,ubadilike kutokana na muda,badili mbinu za mapenzi using'ang'anie zilezile ulizoanza nazo ukajuwa zitafanya kazi milele,hata biashara kama ilikuwa imechanganya na ukabaki na mbinu ile ile miaka nenda rudi lazima itafika mahali utapoteza wateja,nenda na wakati,badili mapigo yako,utakuja kunishukuru...
 
Mwanaume kufikia hatua hyo jua kuna mambo mengi nyuma umewh kumfanyia akawa anavvumilia siyo bule,, pia wakati mwingne jalibu kujiangalia ama kujichunguza ww u anakosea wap
 
Back
Top Bottom