Habarini wakuu!
Wakuu naombeni ushauri wenu juu ya hili linalonikuta ndugu yenu.Najua kutakuwa na kejeli na dhihaka lakini yote nitashukuru.
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 31 ambae nimefunga ndoa na ndoa ndiyo Kwanza ina miezi sita.
Tatizo langu liko kwenye upande wa nguvu za kiume.Nashindwa kabisa kumridhisha mwenzangu sababu ni kwamba siwezi kurudia tendo Kwa mara ya pili na hata hicho kimoja yaani ni haraka kama kuku hata dakika tatu haziishi.
Nimejaribu dawa mbali mbali pasipo mafanikio yoyote.Najua kabisa namtesa mke wangu lakini nimeshndwa namna.
Nimekuja kwenu wanajamvi mpate kunishauri by the way mazoezi na vyakula nazingatia sana mimi sio mtu wa kunywa pombe wala vinywaji kama soda na juice za viwandani sio mpenzi.
Hallo
Comment zimetoka nyingi na nzuri sana
Nahis nimechelewa kutoa mchango wangu.
Ila nitakupa principle kadhaa
Sio dawa yankunywa na sio lazima ufuate kila siku ila maintain kwa week 3 tu
Then kajaribu
1.fanya mazoezi
Usiende gim.instal app za home exercise i recomend (push up app)
Anza kama biginer piga pushup kila siku asubuh na jion anza kwa 10 panda kwa ratio ya 5 kila siku.siku 2 adi week 3 utaweza piga pushup 50 adi 70 non stop
Ukiweza kimbia kidogo au tembea mwendo mrefu
2.matunda na mboga za majani
Matunda na mboga za majani iwe sehem ya maisha yako kila siku
Tikiti maji liwe tunda kuu
Kwa kuwa tunapambana na nguvu angalau kila siku asubuh na jion kula kipande kimoja cha tikiti na usiteme mbegu
3.maji
Tumia maji mengi
Has muda umekaa nyumban weka hata lita 3 tumia jion tu
Kuanzia saa 12 adi saa 3 utakuwa umemaliza hopefully utaenda toilet sana ila ndo yanaingia nankutoka na kufanya kazi yake
4.pumzika
Jipe muda wa kupumzika hasa baada ya kazi
5.stress
Ishi maisha ya stress free life kama ni changamoto za kimaisha shirikisha ndugu.jamaa na friends wakusaidie kutatua lengo usiwe na stress
6.mpende mwenza wako
Anza kumpenda upya
Mpe yale maneno ulikuwa unampa wakati una mfikuzia. Mpe vi zawadi kuimalisha mapenzi yenu
Na njia ambazo wametoa ushauri wadau hapo juu
Kimbuka kwa week hizo 3 usipige game na shemeji.
Mpe sababu au mshirikishe hizo njia ili akusaidie ku track progress yako
After
3 to 4 week njoo na utoa feedback