muathirika
Member
- Jun 14, 2019
- 15
- 13
Pata muda wa kukimbia japo km 5 kwa siku,push up jitahid upate ata 50 japo u aweza anza ata na 10 skwash 50 japo unaweza anza na 10,kunywa chai ya tangawiz sukar iwe asali,kama una uwezo wa kupata tikiti maji saga na changanya na ndimu kidogo iwe ndo juic yako kila siku alafu ukiwa unasex uwe unaamisha mawazo yaan baada ya kuwaza ngono we waza jambo la uzun hasa apo utaenda ata dk 40.Ishu kubwa ni saikolojia tu kuiweka sawa.