Nahisi ndoa yangu inaelekea ukingoni kutokana na tatizo la nguvu za kiume

Pata muda wa kukimbia japo km 5 kwa siku,push up jitahid upate ata 50 japo u aweza anza ata na 10 skwash 50 japo unaweza anza na 10,kunywa chai ya tangawiz sukar iwe asali,kama una uwezo wa kupata tikiti maji saga na changanya na ndimu kidogo iwe ndo juic yako kila siku alafu ukiwa unasex uwe unaamisha mawazo yaan baada ya kuwaza ngono we waza jambo la uzun hasa apo utaenda ata dk 40.Ishu kubwa ni saikolojia tu kuiweka sawa.
 
Mzee mrejesho basi, maana ni miezi sasa imepita
 
Hili ndo jibu. Huna shida.

Ukipiga bao la kwanza. Pumzika kidogo kama dk 5 hivi baada ya hapo chukua uume hata kama umelala. Chezea kwenye kisimi endelea tu utaona matokeo ukisimama kulala majaliwa.

Pili ondoa akilini kama una shida.

Fanya mazoezi kila siku tumia si chini ya dk 30 daily. Utakuja mipa majibu.

Huwa nawaomba mademu wabishi kwa style hii huwa wanasimulia
 

Ushauri huu umenifaa sana hata Mimi , ahsante
 
mkuu tafuta mizizi ya mgomba/mdizi ni kiboko ya hilo tatizo ila kabla ya kutafuna hio mizizi wife awe karibu kabisa ni angalizo hilo
Duh unaitafuna ikiwa mibichi?au kuna njia ya kuiandaa
 
Tafuna vitunguu Swaumu (kizima)vibichi kila siku utafune pamoja na karanga mbichi au korosho na ufanye mazoezi ya kutembea au kuendesha baiskeli umbali mrefu inawezasaidia.Jitahidi kula vyakula asilia visivyo na mafuta au mafuta kidogo sana.juice yako iwe ya mchanganyiko wa tikiti maji,beetroot na limao. Kwa umri wako unatakiwa uwe kwa uchache unapiga goli 4 kwenye show moja. Tena goli 2 za kwanza unaunganisha ndani kwa ndani.
 
wengi wa wenye mada kama hizi huwa ni waganga wa kienyeji, wanakuwa na account mbili moja ya kutoa hoja nyingine ya kuelekeza wapi dula lao la madawa ya kienyeji lipo. acheni kudanganya watu.
 
wengi wa wenye mada kama hizi huwa ni waganga wa kienyeji, wanakuwa na account mbili moja ya kutoa hoja nyingine ya kuelekeza wapi dula lao la madawa ya kienyeji lipo. acheni kudanganya watu.
Wewe ni mkurupukaji wa kimataifa...unaropoka...kuna mdau alishauri jambo la kawaida sana na limenisaidia..kama una waganga wako wa kienyeji wenye account mbili sio mimi.
 
Mkuu ni muda mrefu ila naomba niseme hili zoezi lilinisaidia plus tangawizi kutafuna tafuna ka kegel exercise pia zilinisaidia,be blessed.Asali na maziwa vilihusika pia.
 
Acha ujinga washe

Nguvu unazo nyingi zaidi ya nyati tatizo ni huruma za kijinga ulizo nazo zinakufanya uwe bwege na saikolojia inabadirika kwa sababu ya hofu zako

Hebu acha huruma kwenye mtombo wewe

Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu ni muda mrefu ila naomba niseme hili zoezi lilinisaidia plus tangawizi kutafuna tafuna ka kegel exercise pia zilinisaidia,be blessed.Asali na maziwa vilihusika pia.
Karibu saana, sisi ni ndugu moja mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…