Nahisi nguvu zangu za kiume zimezidi!

Nahisi nguvu zangu za kiume zimezidi!

Pia inategemea unakutana na wanawake wa aina gani strong or soft
Pia unapaswa kulifanya tendo kwa furaha na sio kukomoa mtu sasa wewe unalenga kimonoa zaidi huwa pia tunasoma hisia za mtu uliye nae kwanza
Nilikuwa hata sitaki kuchangia hii thread lakini naona wewe umetoa angalizo muhimu na la maana sana ambalo wanaume wengi wa kibongo hawajui au ni washamba. Wengi wanadhani wakati wa mapenzi wakitumia muda mrefu ndiyo mwanamke anaridhika au anamwona mbabe kumbe kinyume chake mwanamke anajenga negative feelings kwa mwanamme na anakuwa hafurahii wala kumvutia! Sex siyo kukomoana ila ni kumwelewa mwenzako anavutiwa na nini na kumtendea. Anything too much is harmful. Tuache ushamba.
 
Maumbile makubwa kiasi,kuchelewa kupizi....hizo ni sifa za ushujaa wala usiwasikilize wadada watakupotezea muda wewe wasukumie mpaka waachame midomo kunasiku hiyo hali hutakuwa nayi tena.
 
Subiri wamama wakusifie. Sio ujisifie mwenyewe
 
its abnormal kutumia dkk zote hizo normal ni within dkk 5, acha nyeto, acha pombe piga tizi utarudi kwenye normal
 
Habari wapendwa, mimi ni Kijana wa umri wa miaka 27, Naishi Dar ingawa kiasili si mtu wa hapa, Natokea mikoani. Jambo lililonileta hapa ni moja kuomba ushauri.
Kifupi nimekuwa na mahisiano ya mamanzi kadha ila jambo la ajabu wote wamekuwa wakishindwa kunihimili kabisa! Na baadhi hata kunikimbia! Kimaumbile nimejaliwa kuwa na umbo la ukubwa wa wastani ila muziki wangu upo kwenye huyu ninja akishasimama!
Naweza nikampelekea miti manzi kwa dk 30 hadi 40 hivi bila kupumzika na tunavyokuja kuafikiana kuwa tupumzike mimi nakuwa bado sijafika kileleni!

Tofauti na mwenzangu ambae muda huo anaweza kuwa tayari ameshafika kileleni kwake! Kifupi mzunguko wangu wa kwanza tu hadi nafikia hatua ya kufika kileleni tunaweza kutumia saa moja na nusu hadi mawili! kitu ambacho kimekuwa kikiwashinda kabisa hawa ndege na kwa wale wababe ambao huwa wanavumilia muziki wa masaa mawili kushindwa kuingia round ya pili!

Baadhi Hunisifu ila wengine wananishutumu kuwa natumia dawa za Kuongeza Nguvu; ila Kiuhalisia Sijawahi hata kuona Rangi ya Dawa hizo za porini au za kisasa!
Wengine wanasema Naangalia porn na Kufanya masterbation kitu ambacho si Kweli!
Naombeni Ushauri ndugu nifanye Nini ili walao niwe wa kawaida kama wengine ila walao niwe naspend Dk 2 zikizidi mno 6 ili niende sawa nao. Maana Naona Imekuwa Kero na sipendi kuhatarisha tena mahusiano yangu kwa sababu ya Hili.

...Kama una hakika kwamba hujidangaji na kujipa matumaini ya bure...Lipia Tangazo A.K.A TOngozo...!!
 
Habari wapendwa, mimi ni Kijana wa umri wa miaka 27, Naishi Dar ingawa kiasili si mtu wa hapa, Natokea mikoani. Jambo lililonileta hapa ni moja kuomba ushauri.
Kifupi nimekuwa na mahisiano ya mamanzi kadha ila jambo la ajabu wote wamekuwa wakishindwa kunihimili kabisa! Na baadhi hata kunikimbia! Kimaumbile nimejaliwa kuwa na umbo la ukubwa wa wastani ila muziki wangu upo kwenye huyu ninja akishasimama!
Naweza nikampelekea miti manzi kwa dk 30 hadi 40 hivi bila kupumzika na tunavyokuja kuafikiana kuwa tupumzike mimi nakuwa bado sijafika kileleni!

Tofauti na mwenzangu ambae muda huo anaweza kuwa tayari ameshafika kileleni kwake! Kifupi mzunguko wangu wa kwanza tu hadi nafikia hatua ya kufika kileleni tunaweza kutumia saa moja na nusu hadi mawili! kitu ambacho kimekuwa kikiwashinda kabisa hawa ndege na kwa wale wababe ambao huwa wanavumilia muziki wa masaa mawili kushindwa kuingia round ya pili!

Baadhi Hunisifu ila wengine wananishutumu kuwa natumia dawa za Kuongeza Nguvu; ila Kiuhalisia Sijawahi hata kuona Rangi ya Dawa hizo za porini au za kisasa!
Wengine wanasema Naangalia porn na Kufanya masterbation kitu ambacho si Kweli!
Naombeni Ushauri ndugu nifanye Nini ili walao niwe wa kawaida kama wengine ila walao niwe naspend Dk 2 zikizidi mno 6 ili niende sawa nao. Maana Naona Imekuwa Kero na sipendi kuhatarisha tena mahusiano yangu kwa sababu ya Hili.
utoto
 
Maumbile makubwa kiasi,kuchelewa kupizi....hizo ni sifa za ushujaa wala usiwasikilize wadada watakupotezea muda wewe wasukumie mpaka waachame midomo kunasiku hiyo hali hutakuwa nayi tena.
Duuh aisee!
 
Habari wapendwa, mimi ni Kijana wa umri wa miaka 27, Naishi Dar ingawa kiasili si mtu wa hapa, Natokea mikoani. Jambo lililonileta hapa ni moja kuomba ushauri.
Kifupi nimekuwa na mahisiano ya mamanzi kadha ila jambo la ajabu wote wamekuwa wakishindwa kunihimili kabisa! Na baadhi hata kunikimbia! Kimaumbile nimejaliwa kuwa na umbo la ukubwa wa wastani ila muziki wangu upo kwenye huyu ninja akishasimama!
Naweza nikampelekea miti manzi kwa dk 30 hadi 40 hivi bila kupumzika na tunavyokuja kuafikiana kuwa tupumzike mimi nakuwa bado sijafika kileleni!

Tofauti na mwenzangu ambae muda huo anaweza kuwa tayari ameshafika kileleni kwake! Kifupi mzunguko wangu wa kwanza tu hadi nafikia hatua ya kufika kileleni tunaweza kutumia saa moja na nusu hadi mawili! kitu ambacho kimekuwa kikiwashinda kabisa hawa ndege na kwa wale wababe ambao huwa wanavumilia muziki wa masaa mawili kushindwa kuingia round ya pili!

Baadhi Hunisifu ila wengine wananishutumu kuwa natumia dawa za Kuongeza Nguvu; ila Kiuhalisia Sijawahi hata kuona Rangi ya Dawa hizo za porini au za kisasa!
Wengine wanasema Naangalia porn na Kufanya masterbation kitu ambacho si Kweli!
Naombeni Ushauri ndugu nifanye Nini ili walao niwe wa kawaida kama wengine ila walao niwe naspend Dk 2 zikizidi mno 6 ili niende sawa nao. Maana Naona Imekuwa Kero na sipendi kuhatarisha tena mahusiano yangu kwa sababu ya Hili.
Vema.
USHAURI.
Fanya ushirika na Tanesco muwe mnazalisha nguvu za umeme. Haujachelewa.Fanya hima.
 
Back
Top Bottom