Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
- Thread starter
-
- #121
Shukraan sana kwa maneno ya hekimaI feel you brother. Pole sana... Ila inabidi uwe jasiri na ukapime... Ili ujue muafaka... maana utakonda kwa msongo wa mawazo... haujui kama Huyo Dada kaukwaa au lah... May you find happiness , courage
and peace of mind within your heart.
Angalizo: Vijana wenzangu chezeni kwa step. If you can't use condom then abstain / be celibate. Majuto haya hua yanaumiza sana. A word is enough for the wise.
Njoo nikupelekeNaogopa mkuu
Kama unaogopa utasaidiweje acha ujinga njoo hapa Tandale tukupime na tukupe ushauri bure kwani hiyo ni off tuNaogopa mkuu
Lady AJ ni miongoni mwa wadada niliokuwaa nawaheshimu humu jukwaani ila kwa bandiko hili nimekutoa thamani kabisaWewe ukimwi unao subiri muda tu uwasumbue wazazi wako kuchezea mavi yako ya ukubwani, Duniani kuna wanaume hawana akili ila wewe umewazidi wote
Kwani tatizo ni gesti au muhusika?wewe ni dhaifu,
gest ya elfu tano utaingia kweli,
shauri zako;
Na sio lazima unipe thamani yako, sisi watu wazima tumechoshwa na songombingo za kijinga za watoto wa chuoLady AJ ni miongoni mwa wadada niliokuwaa nawaheshimu humu jukwaani ila kwa bandiko hili nimekutoa thamani kabisa
SawaNa sio lazima unipe thamani yako, sisi watu wazima tumechoshwa na songombingo za kijinga za watoto wa chuo
Pole jamani ukiwa kwenye starehe ukumbuke kinga tena wale wadada wa ambiance[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]Naogopa mkuu