uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 17,060
- 32,400
vipi mkuu panatisha sana au?
Hapana, kama mtu anaweza kukufuata hana nguo za ndani akakushika, na pana magiza etc ... hapo ni mahali pa shida. Wewe ni mwanaume, una hisia, mahali penye majaribu ya wazi hivyo unapafuatia nini? utakuja kuvuruga future yako bila sababu yeyote kabisa! kama wapenda kwenda CLUB tafuta mahali pazuri uende, hizo hela ulizomhonga na mapombe si ungeweza kwenda maisha club then ukarudi ukalala? Ingawa mtu un