Nahisi nimefika hatua mbaya kabisa sasa. Naombeni msaada

Nahisi nimefika hatua mbaya kabisa sasa. Naombeni msaada

Dah jamaa una hatari sana.achana na picha za ngono
Pia chukulia siku zao wanazoingia si kwa ubaya .wewe unaekula yoyote iloko mbele yako?imagine sasa hadi mlinzi umemkuta sehemu ukasafisha ma kuondoka
Dah unahatarisha sana afya yako
Shida kubwa unajiokotea okota tu
Haina haja ya kushauliwa bali fikiria vizuri hilo eneo unalokula kazi zake ni zipi haswa na unaemla usafi wake ukoje?
Utaamua mwenyewe
hata mimi nimefikiria hili nikaona kuna haja ya kuacha hizi mambo za uvinza asee
 
Ukiwa na mmoja ndio bacteria hawapo? Acha zako.
Tena mm nikishanyonya lazima nikule sana denda, ili wote tule vizuri hao bacteria
Hahahah hlafu hii mbinu ndiyo ninayoitumia mimi sasa, yani nikishatoka tu uvinza naenda kumla denda za kutosha tena zile nzito nzito ili likitokea lakutokea nae awe affected
 
Back
Top Bottom