Nahisi nimeharibu ndoa yangu na sitarajii kama amani itakuwepo tena nyumbani kwangu. Simu imeniumbua!

Mkuu! Hivi kweli unaamini nyama ni ileile? Hawa ni wanawake, hivyo wako tofauti sana. I stand to be corrected.
Hiyo tofauti unayoikuta huko ni sawa tu na uungwaji wa hiyo nyama ili kuiongezea utamu.
 
Mbinu ni kukana mazima😂😂😂
 
Nimelichukua na nikalifanyie kazi kabisaaa
 
Kaa kimya akisumbua sana mwambie yeye ndiye sababu kwasababu hakupi utamu wa kueleweka mpaka unaenda kuutafuta nje
Pia mwambie unapenda Tigo ila sasa yeye hatoi
 
Mamaeee....
Kaa kimya akisumbua sana mwambie yeye ndiye sababu kwasababu hakupi utamu wa kueleweka mpaka unaenda kuutafuta nje
Pia mwambie unapenda Tigo ila sasa yeye hatoi
 
Maswali machache naomba nijibu.....Je huyu mwanao kajua ametombewa??????unahisi asipojua kama umemtombea kuna nn kitatokea kwake????
 
It's fucken simple mwambie qfungashe mizigo yake aende kwao akajifunze nidhamu, kwa nini apekue simu yao na bila idhini Yako. Ni utovu wa nidhamu ulio pitiliza.
 
Umeandika kaka,Ngoja niiweke akiba hii. Huwezi jua......
 
Ushauri mzuri. Atembee nao
 
Wewe chenga hakuna tunachoweza kukusaidia, mafundisho yanasema kilamtu atabeba mzigo wake mwenyewe
 
Ngoja nikujibu hapahapa baba,umalaya wako umenichosha na nikuhskikishie nakulipiza tena ntafanya kwa kutumia hela zako maana natft starehe tuuuu hivo ntafanya na yoyoyte,mwanaume limbukeni km nn,hujifunzi kwa wazazi wako??? Nakufanyia km dada angu anavomfanyia mme wake,umenizoea wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…