Nahisi nimeharibu ndoa yangu na sitarajii kama amani itakuwepo tena nyumbani kwangu. Simu imeniumbua!

Nahisi nimeharibu ndoa yangu na sitarajii kama amani itakuwepo tena nyumbani kwangu. Simu imeniumbua!

Alichokitafuta kakipata sasa analia nn wakati anajua simu ya mwanaume ni kitunguu 🤣🤣🤣🤣🤣
Mi ndo mke wake,unamtetea humjui huyu,huyu kaka akishazidiwa na michepuko hata tendo ndani anasahau tena unamuomba usiku anakunyima kesho asubuhi anafata mbunye wilayani hapo ndio huwa nyanza kutft kinachomkeep bize ki
 
Wakuu salama?

Aisee aiseee kimenuka tiyari hapa nyumbani kwangu kati yangu mimi na mama solomonii. Mimi ni mwanaume wa early 30's niko na mke na familia ya watoto kadhaa. Mimi siku zote huwa ni muumini wa faragha na uhuru binafsi hivyo huwa sitaki wife aguse simu yangu na wala mimi kuchokonoa simu yake, japokuwa yeye huwa ana mahaba sana na simu yangu kiasi pengine ndoto yake ni kuimiliki simu yangu na kuwa na access ya kila pahala yaani.

Sasa mimi kama ilivyo baadhi ya wanaume sijapoa sana niko na mamaz za hapa na pale mixer wa zamani wapya, wakupoozea, mwingine nimezaa Naye chobingo.

Kwa mantiki kwamba wife hana access na simu yangu hivyo huwa sifuti sms wala picha ama calls...za hizo mamaz ninazo mingle nazo siku moja moja kwamba kwa hofu ya kuja kukamatika. Sasa huyu mama kwa namna alivyo na mahaba ya dhati na hii simu sijui kafanyajefanyaje kaijua password ya simu.

Nikawa jana nimerudi zangu home saa 6 usiku nikaacha simu sebuleni nikaenda kulala. Bwana bwana kafukunyua kila kona kuanzia sms, WhatsApp, gallery mpaka koote yaani, naimiliki hii simu toka 2020 na huwa sifuti kitu chochote, kakukutana na balaa zitoo yaani Zito mno.

Ghafla naamshwa nasomewa risala juu ya tabia yangu ya umalaya kupitia ushahidi mujarabu alokutana nao kwa simu yangu, sikutaka kumsikiliza zaidi, kujibizana naye wala kujitetea maana kila kitu kiko wazi kabisa, kitu nimefanya ni kushuka kitandani kwa hasira na aibu kuu na kuelekea kulala chumba cha wageni mpaka sasa ndo nilipo najitafakari na usingizi umepaa mazima.

Hofu yangu kuu ni hatima ya hii ndoa na bila shaka imani ya huyu dada kwangu imepotea kabisaa na ni moja ya kovu kubwa sana limedevelope hapa nyumbani. Sijui tutaishije kwa kweli. Na hii pengine itampelekea kwenda kulipa kisasi, ambapo aweza ishia kujiumiza ama kuniumiza na mimi pia. Tulikuwa na amani humu ndani jamani ila ndo hivyo simu ishaniumbua.

Tafadhali wakurungwa mliowahi kulipitia hili hebu nipeni mwelekeo katika hili natokaje hapa.
Nipe namba za simu za mai waifu wako nikusaidie kumtuliza.

Ndoa yako itadumu milele nakuahidi...
 
Sasa mkuu kama ndani kwako mlikuwa na amani huko nje ulifuata nini tena? Haya ndiyo makosa wanaume tunafanya, nyama ni ile ile utamaliza Bucha tu! Halafu ukute na hayo ma michepuko siyo pisi kali kuzidi mkeo!
We ndugu natamani nikutumie picha ya huyo staff mwenzie aliyezaa nae jmn....kweli ukiwa malaya huchagui
 
Kwaiyo Mkuu unaharalisha watu kufanya Uzinzi si Ndio?
Lzm aone halal maana kwao wote wako hivohivo.....anawajomba wanne wote wana watt wa nje,baba yake anao watatu nje,mdg ake ana watt wanner kila mtt na mama yake
 
Ninyi wenzetu huwa hamko busy? Unawezaje kudeal na mke, mchepuko wa kwanza, wa pili, wa tatu, wa nne hadi watano? Wote hawa mnachat, mnapigiana simu, mnatumiana picha???

Ama kweli upumbavu ni kipaji, ambacho hakiwezi kuisha hadi uzeeni.
Kinachotokea mke huudumiwi unakaa na nyege km Huna mme ndan
 
Ngoja nikujibu hapahapa baba,umalaya wako umenichosha na nikuhskikishie nakulipiza tena ntafanya kwa kutumia hela zako maana natft starehe tuuuu hivo ntafanya na yoyoyte,mwanaume limbukeni km nn,hujifunzi kwa wazazi wako??? Nakufanyia km dada angu anavomfanyia mme wake,umenizoea wewe
Jamani my love come down relax,take it easy kipenzi.
 
Wakuu salama?

Aisee aiseee kimenuka tiyari hapa nyumbani kwangu kati yangu mimi na mama solomonii. Mimi ni mwanaume wa early 30's niko na mke na familia ya watoto kadhaa. Mimi siku zote huwa ni muumini wa faragha na uhuru binafsi hivyo huwa sitaki wife aguse simu yangu na wala mimi kuchokonoa simu yake, japokuwa yeye huwa ana mahaba sana na simu yangu kiasi pengine ndoto yake ni kuimiliki simu yangu na kuwa na access ya kila pahala yaani.

Sasa mimi kama ilivyo baadhi ya wanaume sijapoa sana niko na mamaz za hapa na pale mixer wa zamani wapya, wakupoozea, mwingine nimezaa Naye chobingo.

Kwa mantiki kwamba wife hana access na simu yangu hivyo huwa sifuti sms wala picha ama calls...za hizo mamaz ninazo mingle nazo siku moja moja kwamba kwa hofu ya kuja kukamatika. Sasa huyu mama kwa namna alivyo na mahaba ya dhati na hii simu sijui kafanyajefanyaje kaijua password ya simu.

Nikawa jana nimerudi zangu home saa 6 usiku nikaacha simu sebuleni nikaenda kulala. Bwana bwana kafukunyua kila kona kuanzia sms, WhatsApp, gallery mpaka koote yaani, naimiliki hii simu toka 2020 na huwa sifuti kitu chochote, kakukutana na balaa zitoo yaani Zito mno.

Ghafla naamshwa nasomewa risala juu ya tabia yangu ya umalaya kupitia ushahidi mujarabu alokutana nao kwa simu yangu, sikutaka kumsikiliza zaidi, kujibizana naye wala kujitetea maana kila kitu kiko wazi kabisa, kitu nimefanya ni kushuka kitandani kwa hasira na aibu kuu na kuelekea kulala chumba cha wageni mpaka sasa ndo nilipo najitafakari na usingizi umepaa mazima.

Hofu yangu kuu ni hatima ya hii ndoa na bila shaka imani ya huyu dada kwangu imepotea kabisaa na ni moja ya kovu kubwa sana limedevelope hapa nyumbani. Sijui tutaishije kwa kweli. Na hii pengine itampelekea kwenda kulipa kisasi, ambapo aweza ishia kujiumiza ama kuniumiza na mimi pia. Tulikuwa na amani humu ndani jamani ila ndo hivyo simu ishaniumbua.

Tafadhali wakurungwa mliowahi kulipitia hili hebu nipeni mwelekeo katika hili natokaje hapa.
Kwa upande wangu, hilo ni doa katika ndoa yenu. Kama alikuwa mwaminifu na mara moja moja unapomuumiza kama huwa na yeye anatamani kuchepuka, inaweza kuwa sababu ya kumfanya aanze na yeye kuchepuka. Ndoa inahitaji 'prudence' (kufanya jambo hata kama ni la kawaida lisije likaleta tafsiri hasi). Wanaume wengi wanawachukulia wake zao kama mali yao na wanaweza kufanya chochote wakidhani wao watawaelewa tu, wakati nao ni binadamu na kuna mambo yanayowaumiza. Kukosa uaminifu katika ndoa, ingawa kwa walio wengi si jambo la msingi, ndiyo nguvu ya ndoa. Mke wako akijua wewe ni mwaminifu na yeye atazidi kuwa mwaminifu, lakini akijua wewe siyo mwaminifu hapo mtakuwa na maisha ya kutoaminika (marriage of convenience). Mwombe msamaha mkeo na mhakikishie unakata mahusiano ya nje yanayoweza kuvuruga ndoa yenu. Anaweza asiamini kama unasema ukweli, lakini kama unamaanisha hivyo atakusamehe. Jaribu kuanza maisha mapya, achana kabisa na makandokando mengine. Mpe mke wako kipaumbele katika mahusiano yako na watu wengine. Ngoja kwanza nipumzike kidogo.
 
Nipe namba za simu za mai waifu wako nikusaidie kumtuliza.

Ndoa yako itadumu milele nakuahidi....

Ngoja nikujibu hapahapa baba,umalaya wako umenichosha na nikuhskikishie nakulipiza tena ntafanya kwa kutumia hela zako maana natft starehe tuuuu hivo ntafanya na yoyoyte,mwanaume limbukeni km nn,hujifunzi kwa wazazi wako??? Nakufanyia km dada angu anavomfanyia mme wake,umenizoea wewe
Najua fika sintojua hvo sintoumia kwa kuwa atakayefanywa ni wewe siyo mimi
 
H

Awezi kutulia huyu ana ulimbukeni mwingi saaaana kakulia familia Duni zapata vihela vya mboga anajiona mwanaume
Wewe tulia wewe .......kwa nn unaongea kama unanijua wewe??? Hvi unaufahamu vizuri uwezo wa mzee Wangu wewe???? Unajua mashamba yake wewe??? Unajua katumia bei gani kutusomesha shule za binafsi ???? Hvi unajua yule mzee ako na nyumba ngapi we??? Yule mzee kamiliki gari Akiwa na miaka 25 tena kijijini kabisaaaa miaka hiyo 80's......SIJAKULIA FAMILIA DUNI
 
Mi ndo mke wake,unamtetea humjui huyu,huyu kaka akishazidiwa na michepuko hata tendo ndani anasahau tena unamuomba usiku anakunyima kesho asubuhi anafata mbunye wilayani hapo ndio huwa nyanza kutft kinachomkeep bize ki
Tulia basi na wewe mama Solomoniii
 
Wewe tulia wewe .......kwa nn unaongea kama unanijua wewe??? Hvi unaufahamu vizuri uwezo wa mzee Wangu wewe???? Unajua mashamba yake wewe??? Unajua katumia bei gani kutusomesha shule za binafsi ???? Hvi unajua yule mzee ako na nyumba ngapi we??? Yule mzee kamiliki gari Akiwa na miaka 25 tena kijijini kabisaaaa miaka hiyo 80's......SIJAKULIA FAMILIA DUNI
Ndio maana nimekuambia umerithi vote kwa baba yako,baba ako kama wewe alikuwa na kila kitu ila alikuwa malaya kama wewe
Tulia basi na wewe mama Solomoniii
Natuliaje wakati nna nyege mme uko bize kuchepuka?? Usivyo na haya unanikandia kwa michepuko yako hujui wanafata hela zako tu has.....forgive but must revenge,umenizoea wewe safari hii nakulipiza
 
Back
Top Bottom