Nahisi nina bahati mbaya, au siyo fungu langu?

Haha huyu huenda ni mrembo lkn mukichwa manunu ya wema yamejaa
Hahahahahah huyu dem chizi kipindi cha nyuma alikuja kutafta vidume kibabe naona sahizi kalegeza masharti uso ushaanza kuchuma kunde😅😂😂
 
Hahahahahah huyu dem chizi kipindi cha nyuma alikuja kutafta vidume kibabe naona sahizi kalegeza masharti uso ushaanza kuchuma kunde[emoji28][emoji23][emoji23]
Kuna midemu ya kupunguzia mabeberu tu, hili huwa hawalijui
 
Siyo kwamba nadanga hata mie nina hela yangu tu lakini jaman niko na mwanaume si hata anipe heshima tu? Hata ushauri? Ndo niko natafuta hivo Wakunioa lakin sioni sijui nibak peke yangu tu niachane nao? Lakin msimamo huo sina sasa kwasabu na nyege
Kama unayo Pesa kwnn uombe?
 
Staili ya maisha yako, anza kujitegemea!
 
Mwambie ya moyoni mwako, asipokuelewa endelea kutafuta.
 
Hahahahahah huyu dem chizi kipindi cha nyuma alikuja kutafta vidume kibabe naona sahizi kalegeza masharti uso ushaanza kuchuma kunde[emoji28][emoji23][emoji23]
Una matatizo wewe...hebu potea kwenye uzi wangu maana nachoongea na unacholeta tofauti..
 
Sasa sisi tunamsaidia nini watati ninyi ndio anawataka? Do the needful bwana, kamwage midolari na mahaba.
Ha ha mpeni mbinu sasa,,,maana sie hatuchukui mizigo sikuhizi! Mtu ambaye hajielewi aende kwa wasiojielewa wenzie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…