Nahisi nina gundu maana sipati mpenzi

Nahisi nina gundu maana sipati mpenzi

Njoo ujaribu kwangu, huenda wee hitaji lako ni mie.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Njoo ujaribu kwangu, huenda wee hitaji lako ni mie.
[emoji23][emoji23][emoji23]
ACha kumrusha roho kijana wa watu kama huna nia ya kumtunuku. Yan mpaka kaja hapa usifanye utani ukamuumiza zaid.

Kijana apate mtu asijefanya mambo ya ajabu alafu mkasema kwann hakusema. Mkuu Fazzah5x hakikisha hapa unapata hata kifuta jasho
 
ACha kumrusha roho kijana wa watu kama huna nia ya kumtunuku. Yan mpaka kaja hapa usifanye utani ukamuumiza zaid.

Kijana apate mtu asijefanya mambo ya ajabu alafu mkasema kwann hakusema. Mkuu Fazzah5x hakikisha hapa unapata hata kifuta jasho
amin kwamba
 
Yani nahc kuna mtu alinitupia tu jini naishia kusifiwa tu ma wadada ila nikiwafata seriotsly tabu
Tuko wengi mkuu ..mwenyew nimeshapitia hayo ila nmebidi nipenyeze Hela ndo atleast nieleweke..ila nahc wanawake wanakuwq insecure wanapokuwa na bf ambaye ni handsome
 
Back
Top Bottom