Nahisi nina gundu maana sipati mpenzi

Nahisi nina gundu maana sipati mpenzi

Hii mkuu iliwahi nikuta enzi najitafuta niko chuo pisi kibao lakini nipo single, hata ukiomba namba unapewa ukipiga tu ukajieleza unakatiwa simu na una blockiwa kabisa. Ila huwezi amini niliposhika odo nilianza kuwa napapatikiwa sana na wengine waliowahi ni block. Kama huna nyota ya mvuto tengeneza pesa zitawavuta kwako. Na kumbuka wakija kwa kufata pesa hit and run usiweke kambi.
 
Pole sana, kuna vijana wengi sana wana experience swala hili. Hapo ukifatilia vzr utakuja gundua kuna kama kizuizi katika spirit realm haitaki uwe kwenye relationships huenda kuna mtu sahihi ambaye na yeye ana pitia hayo na mtakutana soon. Jitahidi kuona hio hali ni ya kawaida tu, kuna watu mpka wanafikisha 27 na bado hajaona nyapu. Trust in the ways of the universe 🌌 hauta jutia usiforce kuwa na mwanamke utapata msala au hata magonjwa. Stay safe and wait for your par
Acha kumpoteza dogo et spirit haitaki mara sijui universe Yani usenge usenge tu
Et endelea kusubili mpaka miaka 27 mara et universe itakutea demu wako hivi mnakuwa seriously mnapoandika hizi pumba🤣🤣🤣
Kijana mwenzangu nikushauli kwenye maisha kaa ukijua you're not special na usije dhania et wewe ni wa tofauti sana au ukajidanya ukadhani Kuna soulmate wako ameandaliwa et mkutane usije staajabu ukakutana na huyo unaemwita soulmate wahuni wameshachakaza mbele na nyuma I'm talking from experience jichanganye uje upigwe na kitu kizito🤣🤣🤣
Et spirit sijui universe relm dogo usije amini huu usenge 🤣🤣🤣 utakuja unishukuru
 
Mwanangu umerogwa sio bure!hata dada zako wavaa madera wanakupiga za mbavu??
 
Hii mkuu iliwahi nikuta enzi najitafuta niko chuo pisi kibao lakini nipo single, hata ukiomba namba unapewa ukipiga tu ukajieleza unakatiwa simu na una blockiwa kabisa. Ila huwezi amini niliposhika odo nilianza kuwa napapatikiwa sana na wengine waliowahi ni block. Kama huna nyota ya mvuto tengeneza pesa zitawavuta kwako. Na kumbuka wakija kwa kufata pesa hit and run usiweke kambi.
Fact bro
 
Acha kumpoteza dogo et spirit haitaki mara sijui universe Yani usenge usenge tu
Et endelea kusubili mpaka miaka 27 mara et universe itakutea demu wako hivi mnakuwa seriously mnapoandika hizi pumba🤣🤣🤣
Kijana mwenzangu nikushauli kwenye maisha kaa ukijua you're not special na usije dhania et wewe ni wa tofauti sana au ukajidanya ukadhani Kuna soulmate wako ameandaliwa et mkutane usije staajabu ukakutana na huyo unaemwita soulmate wahuni wameshachakaza mbele na nyuma I'm talking from experience jichanganye uje upigwe na kitu kizito🤣🤣🤣
Et spirit sijui universe relm dogo usije amini huu usenge 🤣🤣🤣 utakuja unishukuru
Nimecheka hatari, sasa wewe unataka dogo afanyeje, aanze kutafta malaya au? Unataka afate nyayo zako za uraibu wa ngono? Acha kuspread ujinga na vitu visivyo vya msingi kwenye matter points. Sijamwambia asubir nimemwambia asiforce na kingine nani kasema dogo aamini soulmates? Nimemwambia awe na subra soon atapata partner anaye stahili! Acha kum gaslight dogo.
 
uyu sio domo zege wala mtu mwenye gundu huyu trophy hunter/ jangiri linawinda linasubiria ma scavenger ya umu yanase lipite nayo shwaaa
 
Nimecheka hatari, sasa wewe unataka dogo afanyeje, aanze kutafta malaya au? Unataka afate nyayo zako za uraibu wa ngono? Acha kuspread ujinga na vitu visivyo vya msingi kwenye matter points. Sijamwambia asubir nimemwambia asiforce na kingine nani kasema dogo aamini soulmates? Nimemwambia awe na subra soon atapata partner anaye stahili! Acha kum gaslight dogo.
🤣🤣🤣🤣Kwani ni nani aliandika haya maneno ni nani et 👇

"Hapo ukifatilia vzr utakuja gundua kuna kama kizuizi katika spirit realm haitaki uwe kwenye relationships huenda kuna mtu sahihi ambaye na yeye ana pitia hayo na mtakutana soon"
Sasa hapa siulimanisha soulmate au hujui maana neno soulmate

Wewe mtu amekuja amelalamika ana miaka 24 anakosa nyapu badala umpe mbinu nini chakufanya kama kidume Kwa sababu maelezo yake anaonekana amekosa game anaonekana pia bado ana nice guy syndrome ambao Mimi simlaumu ni kawaida Kwa sisi vijana na ili improve inabidi ajifunze sio abweteke akidhani yeye ni wapekee sana
Ila wewe unamwambia Kuna et spirit realm haitaki mara soulmate anakuja awe na subra acha kumpoteza dogo 🤣🤣🤣🤣kila kitu hapa duniani unakitafuta sio unakaa unabweteka et nasubiri🤣🤣
 
🤣🤣🤣🤣Kwani ni nani aliandika haya maneno ni nani et 👇

"Hapo ukifatilia vzr utakuja gundua kuna kama kizuizi katika spirit realm haitaki uwe kwenye relationships huenda kuna mtu sahihi ambaye na yeye ana pitia hayo na mtakutana soon"
Sasa hapa siulimanisha soulmate au hujui maana neno soulmate

Wewe mtu amekuja amelalamika ana miaka 24 anakosa nyapu badala umpe mbinu nini chakufanya kama kidume Kwa sababu maelezo yake anaonekana amekosa game anaonekana pia bado ana nice guy syndrome ambao Mimi simlaumu ni kawaida Kwa sisi vijana na ili improve inabidi ajifunze sio abweteke akidhani yeye ni wapekee sana
Ila wewe unamwambia Kuna et spirit realm haitaki mara soulmate anakuja awe na subra acha kumpoteza dogo 🤣🤣🤣🤣kila kitu hapa duniani unakitafuta sio unakaa unabweteka et nasubiri🤣🤣
Soulmates ni concept ambayo wengi mmeishikilia kijinga, najua soulmate na kuna twin flames pia! Ila sikumaanisha hivyo! Soulmates hawapo ni terms watu wamejitengenezea tu. Alaf mapenzi hayalazimishwi wewe unafikiri dogo mpk anafikia 24 hakuwahi kujaribu? It means kama hana shida yoyote kuna qualities ambazo yeye anazo hazija match na wale ambao amewa approach!

Acha kujifanya hujui maisha, et kila kitu unatafta? 🤣🤣 af inaonekana bado una ulimbukeni wewe. Alaf kwenye point zako dogo hana alicho jifunza yaani unamwambia asibweteke alaf humwambii afanye nini.
 
Habari wana JF

Mimi ni kijana wa miaka 24 nashukuru Mungu nilizaliwa nikiwa mzima wa afya na akili na viungo pia lakini kuna jambo ambalo limekuwa likinitesa sana katika maisha yangu mpaka kufikia hatua ya kuishi maisha kama zombi/vempire kiufupi huwezi amini mpaka sasa sijafanikiwa kupata mwenza hata wa mahusiano ya kimapenz tangu nizaliwe.

Bila sababu yoyote inayoonekana naumia sana na hili kwan hata siku za ckukuu nimekuwa nikishindwa hata kutoka kutembea coz kila ninakopita nakutana na pairs tu(hadi watoto wanakuwa pair) kila msichana niliyemuelezea feelings zangu ananiona kama mdoli tu.

Tafadhalini wana jf nisaidieni binadam mwenzenu sijui ni gundu gani (AKILI TIMAMU,MAUMBILE NA VIUNGU KAMILI,MCHESH,MSAFI,PESA ZIPO )pia wadada wengne huishia kuniita handsome lakini nikiomb mahusiano tu kosa...im confused totally...
sio gundu ni mentality yako
 
Back
Top Bottom