Nahisi nina gundu maana sipati mpenzi

Nahisi nina gundu maana sipati mpenzi

Mdogo wangu hongera sana
MUNGU anakuepusha na madhila kibao. Kwa upeo wako unaona unagundu ila hela yako mfukoni itakaa na pia hutapata DHAMBI.

KAKA ZAKO tunajitafuta kuacha hawa wanawake walotukumbatia ila imekuwa ngumu sana yan mtu unakuta una zaidi ya wanawake watano ukitaka kuwaacha unaliliwa kama wewe ndo mume wao.

Kamtolee Mungu sadaka ya shukran na umwombe akujalie MKE MWEMA TU
 
Habari wana JF

Mimi ni kijana wa miaka 24 nashukuru Mungu nilizaliwa nikiwa mzima wa afya na akili na viungo pia lakini kuna jambo ambalo limekuwa likinitesa sana katika maisha yangu mpaka kufikia hatua ya kuishi maisha kama zombi/vempire kiufupi huwezi amini mpaka sasa sijafanikiwa kupata mwenza hata wa mahusiano ya kimapenz tangu nizaliwe.

Bila sababu yoyote inayoonekana naumia sana na hili kwan hata siku za ckukuu nimekuwa nikishindwa hata kutoka kutembea coz kila ninakopita nakutana na pairs tu(hadi watoto wanakuwa pair) kila msichana niliyemuelezea feelings zangu ananiona kama mdoli tu.

Tafadhalini wana jf nisaidieni binadam mwenzenu sijui ni gundu gani (AKILI TIMAMU,MAUMBILE NA VIUNGU KAMILI,MCHESH,MSAFI,PESA ZIPO )pia wadada wengne huishia kuniita handsome lakini nikiomb mahusiano tu kosa...im confused totally...
Huna hela, tafuta hela, wanawake wenyewe watakufuata wa kila aina.
 
Wengine wanawaza namna ya kutoka na Wengine wanawaza namna ya kuingia. Mzani unabalance
 
ddah kaka inauma sana mpaka nikawaza kuingia . Huko sahv nimebaki mtu wa kuchezea pikipik tu(bike)
Sadaka na maombi vitakuokoa,kwenye maombi mwambie TU yeye aliekuumba akupatie was kwako!!

Uanfikiri basi haya maisha yanataka uwe na madem kibao mkuu!!?anahitajika Dem mmoja TU!yours for you!!

Kwanza nakuambia mungu anakulinda sana usiharibike!!

Toa sadaka halafu umwambie akupe wako Tena mwambie nataka "pis Kali" yangu ambayo mioyo yetu iungane kabla ya miili yetu na hakuna was kututenganisha coz nature ndio ituunganishe!!

Maisha hayahitaji madem wengi kama humu jf wengi tunaona kama fantasy ku change madem!!

Kutia madem wengi kunaumiza Sana mkuu ni vile hatusemi tu!!

Kuna wengine Huwa wanatunyonya nguvu Hadi mafanikio yote kabisa!!

NIMEKUANDIKIA UKWELI UNAMHITAJI MMOJA OMBA MUNGU UMPATE HUYO!
 
dah inauma cha ajabu nikashangaa gafla nyota ya kifungo cha maisha inaniandama gafla kuanzia mwaka 2021 yani vinamiminika vitoto vidogo kinakuja et ndo vinanipenda kingne kikamwambia mpaka mama yake et anishawishi nikioe kitoto kile 12 yrs dah mara kikatokea kingne cha 9 yrs mara tena cha 11 jamani nahc hapa kuna mchezo mchafu unaendelea ulimwengu wa roho mkuu
😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom