Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpenzi nina shida na weweUnafaa Kwa matumizi.
Huna hela, tafuta hela, wanawake wenyewe watakufuata wa kila aina.Habari wana JF
Mimi ni kijana wa miaka 24 nashukuru Mungu nilizaliwa nikiwa mzima wa afya na akili na viungo pia lakini kuna jambo ambalo limekuwa likinitesa sana katika maisha yangu mpaka kufikia hatua ya kuishi maisha kama zombi/vempire kiufupi huwezi amini mpaka sasa sijafanikiwa kupata mwenza hata wa mahusiano ya kimapenz tangu nizaliwe.
Bila sababu yoyote inayoonekana naumia sana na hili kwan hata siku za ckukuu nimekuwa nikishindwa hata kutoka kutembea coz kila ninakopita nakutana na pairs tu(hadi watoto wanakuwa pair) kila msichana niliyemuelezea feelings zangu ananiona kama mdoli tu.
Tafadhalini wana jf nisaidieni binadam mwenzenu sijui ni gundu gani (AKILI TIMAMU,MAUMBILE NA VIUNGU KAMILI,MCHESH,MSAFI,PESA ZIPO )pia wadada wengne huishia kuniita handsome lakini nikiomb mahusiano tu kosa...im confused totally...
Sawa kijana soon.....0764316946 plz chek me
Email hujibu0764316946 plz chek me
akikutumia nigawie kdogo niunge bando0764316946 plz chek me
😳😳😳Mpenzi nina shida na wewe
Hii comment kuna watu itawaumiza roho as if ni ukweli unataka kum'barikia papa dogo asafishe nyota.Naomba nikutumie nauli uje Dom kijana
Dogo anasubiri mazingaombwe-Mchanga kuwa mchele.Sawa kijana soon.....
Bro achana na mapenzi ya watu....Dogo anasubiri mazingaombwe-Mchanga kuwa mchele.
Kama umeumia we sema, kijana nimemuelewa, weekend ataleta mrejesho humuHii comment kuna watu itawaumiza roho as if ni ukweli unataka kum'barikia papa dogo asafishe nyota.
Siwezi umia mkuu, bahati ya watu silalii mlango wazi.Kama umeumia we sema, kijana nimemuelewa, weekend ataleta mrejesho humu
Uwe huru mkuu,fanya kinachofurahisha roho yako.Bro achana na mapenzi ya watu....
Sadaka na maombi vitakuokoa,kwenye maombi mwambie TU yeye aliekuumba akupatie was kwako!!ddah kaka inauma sana mpaka nikawaza kuingia . Huko sahv nimebaki mtu wa kuchezea pikipik tu(bike)
😀😀😀😀dah inauma cha ajabu nikashangaa gafla nyota ya kifungo cha maisha inaniandama gafla kuanzia mwaka 2021 yani vinamiminika vitoto vidogo kinakuja et ndo vinanipenda kingne kikamwambia mpaka mama yake et anishawishi nikioe kitoto kile 12 yrs dah mara kikatokea kingne cha 9 yrs mara tena cha 11 jamani nahc hapa kuna mchezo mchafu unaendelea ulimwengu wa roho mkuu