Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari wana JF
Mimi ni kijana wa miaka 24 nashukuru Mungu nilizaliwa nikiwa mzima wa afya na akili na viungo pia lakini kuna jambo ambalo limekuwa likinitesa sana katika maisha yangu mpaka kufikia hatua ya kuishi maisha kama zombi/vempire kiufupi huwezi amini mpaka sasa sijafanikiwa kupata mwenza hata wa mahusiano ya kimapenz tangu nizaliwe.
Bila sababu yoyote inayoonekana naumia sana na hili kwan hata siku za ckukuu nimekuwa nikishindwa hata kutoka kutembea coz kila ninakopita nakutana na pairs tu(hadi watoto wanakuwa pair) kila msichana niliyemuelezea feelings zangu ananiona kama mdoli tu.
Tafadhalini wana jf nisaidieni binadam mwenzenu sijui ni gundu gani (AKILI TIMAMU,MAUMBILE NA VIUNGU KAMILI,MCHESH,MSAFI,PESA ZIPO )pia wadada wengne huishia kuniita handsome lakini nikiomb mahusiano tu kosa...im confused totally...
[emoji23]sijui ata naanzia wap ad kufika uko,,kifup siwezi kufata mtu pmpm me
🤣Huu ni ushauri uliozama ndani sana katika maarifa ya juu sana.
Ni nadra sana kukutana na ushauri wa aina hii katika hili dimbwi la jamiiforums lililojaa mazezeta.
Come to me future babe.Sema tunalingana tutadanganyana tu ningekuja[emoji2364][emoji846]
Una Pesa halafu unaomba Mahusiano? Ukiwa na Pesa hauombi unatembeza kibunda ndio ulimbo watanasa wenyewe yaan umeshindwa kuopoa hata Beki 3 kweli? Maana wanakuaga na upwiru wa kutosha ukigusa tu amejaa na hivyo una tupesapesa twa kumnunulia hata malapa na mafuta ya kupakaa utakimbia mwenyewePESA ZIPO )pia wadada wengne huishia kuniita handsome lakini
nikiomb mahusiano tu kosa...im confused totally...
Eeh mje mnianzishie uzi um waCome to me future babe.
Older.
Acha uoga am a genuine man.Eeh mje mnianzishie uzi um wa
"Kumbe ni single maza" nehiiii [emoji1609][emoji38]
[emoji23][emoji23]Yani hata wale wanaojipanga road hujawahi kuwa nao?
inamaanisha nin io Genuine kwanz npe darasaAcha uoga am a genuine man.
Sina longolongo.
Weka picha tuone tatizo liko wapi.
Njoo Pm mama,inamaanisha nin io Genuine kwanz npe darasa
Dawa gani hyoIpo dawa ya kuoga na kujipaka kwa siku saba
[emoji2218]Njoo Pm mama,
Tusichafue uzi wa watu.