Nahisi nina gundu maana sipati mpenzi

Nahisi nina gundu maana sipati mpenzi

Kula bange mdogo angu,Kula bange....achana na mambo ya Malaya sijui matako gani...
Hiyo hela unayopata kidogo,Kula pamba,msosi mzuri,simu Kali,nukia vizuri halafu Kula bange utaishi powa sana...

Niamini mdogo angu Kula bange
 
Habari wana JF

Mimi ni kijana wa miaka 24 nashukuru Mungu nilizaliwa nikiwa mzima wa afya na akili na viungo pia lakini kuna jambo ambalo limekuwa likinitesa sana katika maisha yangu mpaka kufikia hatua ya kuishi maisha kama zombi/vempire kiufupi huwezi amini mpaka sasa sijafanikiwa kupata mwenza hata wa mahusiano ya kimapenz tangu nizaliwe.

Bila sababu yoyote inayoonekana naumia sana na hili kwan hata siku za ckukuu nimekuwa nikishindwa hata kutoka kutembea coz kila ninakopita nakutana na pairs tu(hadi watoto wanakuwa pair) kila msichana niliyemuelezea feelings zangu ananiona kama mdoli tu.

Tafadhalini wana jf nisaidieni binadam mwenzenu sijui ni gundu gani (AKILI TIMAMU,MAUMBILE NA VIUNGU KAMILI,MCHESH,MSAFI,PESA ZIPO )pia wadada wengne huishia kuniita handsome lakini nikiomb mahusiano tu kosa...im confused totally...


Tafuta pesa, dawa ya kunuka kwapa ni deodorant au perfume, ukinuka kwapa huna gundu shida huna pesa, dawa ya mvuto kwa wanawake ni pesa.
 
PESA ZIPO )pia wadada wengne huishia kuniita handsome lakini
nikiomb mahusiano tu kosa...im confused totally...
Una Pesa halafu unaomba Mahusiano? Ukiwa na Pesa hauombi unatembeza kibunda ndio ulimbo watanasa wenyewe yaan umeshindwa kuopoa hata Beki 3 kweli? Maana wanakuaga na upwiru wa kutosha ukigusa tu amejaa na hivyo una tupesapesa twa kumnunulia hata malapa na mafuta ya kupakaa utakimbia mwenyewe
 
Weka picha tuone tatizo liko wapi.
20230426_165053.jpg
 
Back
Top Bottom