Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuzo za kujamiiana ni watoto. Hutaki apate watoto? 😅Kama mpaka miaka 24 ameishi bila tatizo aendelee tu kupambana.. Hakuna tuzo za kujamiiana
Miaka 24 sidhani kama anatafuta watoto saizi😃😃.. Anataka tu anone wanachokiona vijana wenzakeTuzo za kujamiiana ni watoto. Hutaki apate watoto? 😅
Bahati mbaya mpaka sasa hajawahi kukuona 😅Miaka 24 sidhani kama anatafuta watoto saizi😃😃.. Anataka tu aone wanachokiona vijana wenzake
Angesema anatafuta mke tungeshaanza kumwombea.. Ila kama ni mpenzi tu aendelee kupambanaBahati mbaya mpaka sasa hajawahi kukuona 😅
Kijana bado upo mtoto. Endelea kula kwa mjomba na kulala kwa baba... Ukishajua jinsi ya kutafuta pexa ndo hapo hapo utaanza kupata hao mademu unaowatakaHabari wana JF
Mimi ni kijana wa miaka 24 nashukuru Mungu nilizaliwa nikiwa mzima wa afya na akili na viungo pia lakini kuna jambo ambalo limekuwa likinitesa sana katika maisha yangu mpaka kufikia hatua ya kuishi maisha kama zombi/vempire kiufupi huwezi amini mpaka sasa sijafanikiwa kupata mwenza hata wa mahusiano ya kimapenz tangu nizaliwe.
Bila sababu yoyote inayoonekana naumia sana na hili kwan hata siku za ckukuu nimekuwa nikishindwa hata kutoka kutembea coz kila ninakopita nakutana na pairs tu(hadi watoto wanakuwa pair) kila msichana niliyemuelezea feelings zangu ananiona kama mdoli tu.
Tafadhalini wana jf nisaidieni binadam mwenzenu sijui ni gundu gani (AKILI TIMAMU,MAUMBILE NA VIUNGU KAMILI,MCHESH,MSAFI,PESA ZIPO )pia wadada wengne huishia kuniita handsome lakini nikiomb mahusiano tu kosa...im confused totally..
Acha kujiona na kuchagua Sana, jishushe uchukue vya chini kwanza utolee gundu, nyota ikishang'aa Ndio uanze kuchagua. Anzia chini mkuuHabari wana JF
Mimi ni kijana wa miaka 24 nashukuru Mungu nilizaliwa nikiwa mzima wa afya na akili na viungo pia lakini kuna jambo ambalo limekuwa likinitesa sana katika maisha yangu mpaka kufikia hatua ya kuishi maisha kama zombi/vempire kiufupi huwezi amini mpaka sasa sijafanikiwa kupata mwenza hata wa mahusiano ya kimapenz tangu nizaliwe.
Bila sababu yoyote inayoonekana naumia sana na hili kwan hata siku za ckukuu nimekuwa nikishindwa hata kutoka kutembea coz kila ninakopita nakutana na pairs tu(hadi watoto wanakuwa pair) kila msichana niliyemuelezea feelings zangu ananiona kama mdoli tu.
Tafadhalini wana jf nisaidieni binadam mwenzenu sijui ni gundu gani (AKILI TIMAMU,MAUMBILE NA VIUNGU KAMILI,MCHESH,MSAFI,PESA ZIPO )pia wadada wengne huishia kuniita handsome lakini nikiomb mahusiano tu kosa...im confused totally...
Ngunga itamuuampasie mwana aishi, anaonekana ndezi tu 😅
😂upwiru umekaba kooNgunga itamuua
your overqualified!!!.Tafadhalini wana jf nisaidieni binadam mwenzenu sijui ni gundu gani (AKILI TIMAMU,MAUMBILE NA VIUNGU KAMILI,MCHESH,MSAFI,PESA ZIPO )pia wadada wengne huishia kuniita handsome lakini nikiomb mahusiano tu kosa...im confused totally...
Sikia dogo embu tafuta Malaya uchape, ukichapa ndani ya mwezi tuu inatosha kukupa mukari wa kutongozaHabari wana JF
Mimi ni kijana wa miaka 24 nashukuru Mungu nilizaliwa nikiwa mzima wa afya na akili na viungo pia lakini kuna jambo ambalo limekuwa likinitesa sana katika maisha yangu mpaka kufikia hatua ya kuishi maisha kama zombi/vempire kiufupi huwezi amini mpaka sasa sijafanikiwa kupata mwenza hata wa mahusiano ya kimapenz tangu nizaliwe.
Bila sababu yoyote inayoonekana naumia sana na hili kwan hata siku za ckukuu nimekuwa nikishindwa hata kutoka kutembea coz kila ninakopita nakutana na pairs tu(hadi watoto wanakuwa pair) kila msichana niliyemuelezea feelings zangu ananiona kama mdoli tu.
Tafadhalini wana jf nisaidieni binadam mwenzenu sijui ni gundu gani (AKILI TIMAMU,MAUMBILE NA VIUNGU KAMILI,MCHESH,MSAFI,PESA ZIPO )pia wadada wengne huishia kuniita handsome lakini nikiomb mahusiano tu kosa...im confused totally...
Huu ni ushauri uliozama ndani sana katika maarifa ya juu sana.Pole sana, kuna vijana wengi sana wana experience swala hili. Hapo ukifatilia vzr utakuja gundua kuna kama kizuizi katika spirit realm haitaki uwe kwenye relationships huenda kuna mtu sahihi ambaye na yeye ana pitia hayo na mtakutana soon. Jitahidi kuona hio hali ni ya kawaida tu, kuna watu mpka wanafikisha 27 na bado hajaona nyapu. Trust in the ways of the universe 🌌 hauta jutia usiforce kuwa na mwanamke utapata msala au hata magonjwa. Stay safe and wait for your partner.
[emoji2096][emoji2096]njoo recho