Nahisi nina gundu maana sipati mpenzi

Nahisi nina gundu maana sipati mpenzi

Wewe kitu chako nimeshakijua.

Humu hautapata jibu kwa sababu pamejaa mabox tu na bots.

Nitafute inbox. Nitakuelekeza.

Mpaka umeandika kwa uchungu kiasi hiki, nimesadiki pasipo shaka una changamoto ya ukweli kabisa.

Find me and let us sort this out together.

I don't promise you relief or remedy, but i promise you KNOWLEDGE and ENLIGHTENMENT for they shall be a beacon to illuminate your way.

Nipe email au njoo inbox.

Cc Mufti kuku The Infinity adriz Extrovert Lamomy cocastic mshamba_hachekwi dronedrake DR Mambo Jambo
 
Wewe kitu chako nimeshakijua.

Humu hautapata jibu kwa sababu pamejaa mabox tu na bots.

Nitafute inbox. Nitakuelekeza.

Mpaka umeandika kwa uchungu kiasi hiki, nimesadiki pasipo shaka una changamoto ya ukweli kabisa.

Find me and let us sort this out together.

I don't promise you relief or remedy, but i promise you KNOWLEDGE and ENLIGHTENMENT for they shall be a beacon to illuminate your way.

Nipe email au njoo inbox.

Cc Mufti kuku The Infinity adriz Extrovert Lamomy cocastic mshamba_hachekwi dronedrake DR Mambo Jambo
nitext kwa email please jozeeyhood@gmail.com
 
Habari wana JF

Mimi ni kijana wa miaka 24 nashukuru Mungu nilizaliwa nikiwa mzima wa afya na akili na viungo pia lakini kuna jambo ambalo limekuwa likinitesa sana katika maisha yangu mpaka kufikia hatua ya kuishi maisha kama zombi/vempire kiufupi huwezi amini mpaka sasa sijafanikiwa kupata mwenza hata wa mahusiano ya kimapenz tangu nizaliwe.

Bila sababu yoyote inayoonekana naumia sana na hili kwan hata siku za ckukuu nimekuwa nikishindwa hata kutoka kutembea coz kila ninakopita nakutana na pairs tu(hadi watoto wanakuwa pair) kila msichana niliyemuelezea feelings zangu ananiona kama mdoli tu.

Tafadhalini wana jf nisaidieni binadam mwenzenu sijui ni gundu gani (AKILI TIMAMU,MAUMBILE NA VIUNGU KAMILI,MCHESH,MSAFI,PESA ZIPO )pia wadada wengne huishia kuniita handsome lakini nikiomb mahusiano tu kosa...im confused totally...
Jiunge kwenye chama cha CHAPUTA
 
Habari wana JF

Mimi ni kijana wa miaka 24 nashukuru Mungu nilizaliwa nikiwa mzima wa afya na akili na viungo pia lakini kuna jambo ambalo limekuwa likinitesa sana katika maisha yangu mpaka kufikia hatua ya kuishi maisha kama zombi/vempire kiufupi huwezi amini mpaka sasa sijafanikiwa kupata mwenza hata wa mahusiano ya kimapenz tangu nizaliwe.

Bila sababu yoyote inayoonekana naumia sana na hili kwan hata siku za ckukuu nimekuwa nikishindwa hata kutoka kutembea coz kila ninakopita nakutana na pairs tu(hadi watoto wanakuwa pair) kila msichana niliyemuelezea feelings zangu ananiona kama mdoli tu.

Tafadhalini wana jf nisaidieni binadam mwenzenu sijui ni gundu gani (AKILI TIMAMU,MAUMBILE NA VIUNGU KAMILI,MCHESH,MSAFI,PESA ZIPO )pia wadada wengne huishia kuniita handsome lakini nikiomb mahusiano tu kosa...im confused totally...
Gundu ni nini
 
Habari wana JF

Mimi ni kijana wa miaka 24 nashukuru Mungu nilizaliwa nikiwa mzima wa afya na akili na viungo pia lakini kuna jambo ambalo limekuwa likinitesa sana katika maisha yangu mpaka kufikia hatua ya kuishi maisha kama zombi/vempire kiufupi huwezi amini mpaka sasa sijafanikiwa kupata mwenza hata wa mahusiano ya kimapenz tangu nizaliwe.

Bila sababu yoyote inayoonekana naumia sana na hili kwan hata siku za ckukuu nimekuwa nikishindwa hata kutoka kutembea coz kila ninakopita nakutana na pairs tu(hadi watoto wanakuwa pair) kila msichana niliyemuelezea feelings zangu ananiona kama mdoli tu.

Tafadhalini wana jf nisaidieni binadam mwenzenu sijui ni gundu gani (AKILI TIMAMU,MAUMBILE NA VIUNGU KAMILI,MCHESH,MSAFI,PESA ZIPO )pia wadada wengne huishia kuniita handsome lakini nikiomb mahusiano tu kosa...im confused totall
Habari wana JF

Mimi ni kijana wa miaka 24 nashukuru Mungu nilizaliwa nikiwa mzima wa afya na akili na viungo pia lakini kuna jambo ambalo limekuwa likinitesa sana katika maisha yangu mpaka kufikia hatua ya kuishi maisha kama zombi/vempire kiufupi huwezi amini mpaka sasa sijafanikiwa kupata mwenza hata wa mahusiano ya kimapenz tangu nizaliwe.

Bila sababu yoyote inayoonekana naumia sana na hili kwan hata siku za ckukuu nimekuwa nikishindwa hata kutoka kutembea coz kila ninakopita nakutana na pairs tu(hadi watoto wanakuwa pair) kila msichana niliyemuelezea feelings zangu ananiona kama mdoli tu.

Tafadhalini wana jf nisaidieni binadam mwenzenu sijui ni gundu gani (AKILI TIMAMU,MAUMBILE NA VIUNGU KAMILI,MCHESH,MSAFI,PESA ZIPO )pia wadada wengne huishia kuniita handsome lakini nikiomb mahusiano tu kosa...im confused totally...
Subiri wakati wamungu ukifika utapata aliye bora zaidi
 
Huo umri jitahidi uwekeze katika haya mambo

Self -awareness
Saving
Self-control plus discipline


Wewe ukiwa well financial stable with brain or intelligent , doesn't matter Una one kana vipi watu watapenda kuwa karibu yako.

Unachokitafuta kipo zaidi ndani yako.
 
Back
Top Bottom