Nahisi siku zangu za kuishi Dunia zinakaribia kuisha, sielewi!

Ushauri wangu kwako fanya unachoona kinakupa AMANI.

Suala la kifo ni kila mtu atakufa, ni suala la muda.

Otherwise , nakushauri Maisha usiyachukulie sana serious , it is just game , so play it

.Wala usiwe na expectations zozote na Maisha, wewe play the game , ukipata sawa ukikosa sawa.

Wala usi expect sana kuwa Mungu atakupa, he might also disappoint you ! Just live . Pigania unachokiweza, usichoweza accept , wala usiforce

Kuna watu wanazaliwa na Cancer , debilitating damage kwenye maisha yao, na wanapambana sana, with no Blame to anyone.

Kwenye hii dunia, no one will save you , hayo maombi ni Comfort zone na insecurity zetu, unajiongelesha mwenyewe na kujijibu mwenyewe.

No one will save you except your self , so be responsible na maisha yako. Kama comfort zone yako ni maombi basi nenda, but maombi won’t help if you are not willing to help your self

Just keep in your mind , no one will get out of this world alive ; NI SUALA LA MUDA; mengine yote ni story za insecurity zetu
 
Hakuna linashindikana bado zamu yangu kwenda kuishi Mbali na Bongo nahisi ntatokomea Canada huko, we Jamaa ulikua unalalamika HUMU unataka kuondoka Bongo ukaomba Msaada mtu akufanyie Mchongo atimae imetick
Imetiki kweli kabisa japo kwa jitihada zangu.... mwenyewe 🤣🤣🤣
 
Imetiki kweli kabisa japo kwa jitihada zangu.... mwenyewe 🤣🤣🤣
Utatupa ABC kwenye uzi ulionyooka fanya km yule Jamaa alietembelea Nchi nyingi akaanza kueleza moja moja hatua kwa hatua Safari yako ilikuaje ulitumia kiasi gani ulipitia hatua gani n so on kutoka kukaa Getini km Mlinzi mpaka kufika Dubai ni hatua kubwa
 
Tulikushauri na kukupa sana matumaini Kijana. Kaza buti Wazungu husema Where there is a groly there is a story
 
Dunia ilivyo taamu hivi afu wewe unataka kuiacha na kwenda ambako hata hupajui - pole saana ndugu - ok RIP in case.
 
Pole mkuu, kumbuka kukata tamaa ni dhambi kubwa sana, hata Mungu hatakupokea. Piga moyo konde, waone wale manabii wanaofanya kazi mithili ya sangoma ili wakutabirie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…