Nahisi siku zangu za kuishi Dunia zinakaribia kuisha, sielewi!

Nahisi siku zangu za kuishi Dunia zinakaribia kuisha, sielewi!

Pole mkuu, kumbuka kukata tamaa ni dhambi kubwa sana, hata Mungu hatakupokea. Piga moyo konde, waone wale manabii wanaofanya kazi mithili ya sangoma ili wakutabirie.
Yalipitaga haya mkuu now a days nipo zangu Dubai nakula maisha...ningekufa nisingejua kumbe hapa hapa Duniani Kuna pepo wallah​
 
Utatupa ABC kwenye uzi ulionyooka fanya km yule Jamaa alietembelea Nchi nyingi akaanza kueleza moja moja hatua kwa hatua Safari yako ilikuaje ulitumia kiasi gani ulipitia hatua gani n so on kutoka kukaa Getini km Mlinzi mpaka kufika Dubai ni hatua kubwa
Worry out
 
Utatupa ABC kwenye uzi ulionyooka fanya km yule Jamaa alietembelea Nchi nyingi akaanza kueleza moja moja hatua kwa hatua Safari yako ilikuaje ulitumia kiasi gani ulipitia hatua gani n so on kutoka kukaa Getini km Mlinzi mpaka kufika Dubai ni hatua kubwa
Worry out
 
Utatupa ABC kwenye uzi ulionyooka fanya km yule Jamaa alietembelea Nchi nyingi akaanza kueleza moja moja hatua kwa hatua Safari yako ilikuaje ulitumia kiasi gani ulipitia hatua gani n so on kutoka kukaa Getini km Mlinzi mpaka kufika Dubai ni hatua kubwa
Worry out
 
Tueleze shida yako ilikuwa nini Ili kwamba ikimtokea mmoja wetu tujue namna ya kupambana nayo.
 
Ila kwa maisha ya leo...mtu akisema amefanikiwa..ghafla yuko mambele huko huwa akili zinavurugika sana kwa kuwaza...au amefanya hivi...au ameamua kufanya vile...au zi zinakua nyingi sana
 
Back
Top Bottom