Nahisi siku zangu za kuishi Dunia zinakaribia kuisha, sielewi!

Nahisi siku zangu za kuishi Dunia zinakaribia kuisha, sielewi!

Hizo haloperidol, amitriptyline na folic acid ni dawa za mental issues. Ni hizi zinatumika kupoza anxiety, dementia, sonona na bipolar. Pia psychosis ambayo unayo!

Kwa sasa nakushauri utafute amitriptyline na azuma unywe na uongeze muda wa kulala.

Ipi unayo katika dalili hizi
1. Unalala sana kupitia kias Cha kawaida? (Zaidi ya masaa 12 kwa siku)
2. Huwez kulala kwa kutosha, aida unaamka amka usiku, unalala kwa shida (insomnia), unapata mawenge ukilala?
napata usingizi mdogo haswa...! mara chache napata usingizi wenye maluwe luwe...!​
 
Mkuu ukijiua itakua vizuri kwasababu utakua ushaepukana na matatizo yote ayo
Usije jidanganya kuwa ukijiua unaepuka kila kitu maana mara nyingi matatizo uanzia ndani yaani kwenye nafsi na nafsi haifi kwaiyo hata inapoenda inaendelea kuteseka kikubwa atafute tiba na asikiri umauti
 
Usije Nida gamy a kuwa ukijiua unaepuka kila kitu maana mara nyingi matatizo uanzia ndani yaani kwenye nafsi na nafsi haifi kwaiyo hata inapoenda inaendelea kuteseka kikubwa atafute tiba na asikiri umauti
asante sana 🙏 kwa ushauri wako
 
Mimi ni kijana ambae nina mshukuru sana Mungu tokea nimezaliwa hadi hapa nilipofikia, watu wamenisaidia na bado wana nisaidia.

Kuna Muda huwa nina kufuru au kukana kutkukubaliana na uwepo wa Mungu😭 hii ni kutokana na asilimia kubwa ya matarajio yangu tokea nikiwa mdogo hayakuwahi kutimia.

Maisha yangu yamekuwa ya mitihani sana, kila nilichojaribu kuanzisha hakikuwahi kufika mwisho 😭😭😭 kwakweli nimeishi nikiwa na huzuni na furaha chache, mpaka hapa nilipofikia nina watoto wa 3 ambao ninawapenda mno.

Vipo vitu vichache ambavyo vinanitokea hivi sasa vinapelekea mimi kuhisi pengine siku zangu hapa Duniani zina karibia kuisha.

Hivi karibuni kichwa changu kimekuwa kizito mno kutoa maamuzi na ni kama kichwa kinanielemea, kimekuwa na maumivu fulani mithili ya kichwa kilicho toka kuuma!

Kwa taaluma mimi ni Mwandishi wa Habari ambaye napenda sana kusoma vitabu na asilimia kubwa ya vitu vingi nimejifunza kutokana na kusoma vitabu, lakini hivi karibuni nimepatwa na hali ya kutokuelewa kila ninacho kisoma.

Vitabu vyote ambavyo nilikuwa navipenda nikivisoma nahisi vinanichanganya, hata baadhi ya mada nilizokuwa nazipenda hapa JAMIIFORUMS nazo pia nimekuwa sizielewi.🥲

Nimepatwa na hofu hata nikikaa karibu na watu ninaowapenda sifurahii uwepo wao, nahisi kujitenga tu nikae peke yangu tu muda wote.

miaka ya nyuma nilikuwa na ndoto pengine za kuwa fulani nikawa naziishi ndoto hizo kwa kuzipambania kwa vitendo lakini siku bahatika kuishi maisha ya ndoto zangu.

siku hizi ni kama siioni future yangu kabisa... muda mwingine mpaka najiona kabisa kama napoteza tuu muda 😭😭😭😭

kama ninge kuwa simu hope ingekuwa kwenye flight mode ✈️🤣🤣🤣

Ikitokea hamjaniona hewani mwezi mzima mfululizo mjue siku zangu niliziona kabisa zinahesabika hivyo malaika mtoa roho atakuwa amesha fanya yake.

Sifikirii kabisa kujiua kwa aina yoyote ile japo kwenye maisha yangu udogoni mwanangu nilishawahi mara 2 kujaribu kujiua. 😭

Mara ya kwanza nilijaribu kunywa sumu haikuniua, hapo nilikuwa na miaka 9 au 10, mwaka mmoja baadae nilijaribu kujinyonga bahati mbaya kile kitanzi pia hakikuondoka na maisha yangu.

Hivyo nichukue fursa hii kuwaaga ndugu zangu wana JAMIIFORUMS ambao tumeishi wote humu ndani kama familia. Kuna member humu nimesaidiana nao bila hata kufahamiana nao big up sana.

Kuna wengine tumekuwa ndugu na hata nje ya JAMIIFORUMS tumekuwa tukionana kwakweli sina cha kuwalipa.​
Mkuu,
Simama imara,kubali kuwa kuna vitu huenda hautovitimiza lkn wapo wengi sana unawazidi kufikia malengo na wapo wanadunda tu.
Huo ni msongo wa mawazo na unahisi km siyo mwenye bahati vile.

Kichwa kukuuma hutokana na kufikiria kutatua jambo ambalo kwa uwezo wako hasa kiuchumi inakuwa haiwezekani licha ya nia yako ya dhati ya kufanya utatuzi,sasa kufikiria sana jambo hilohilo hakufai hasa kwa upande wa afya ya akili.

Ukiona haiwezekani,achana na ondoa kabisa hilo wazo kichwani mwako,utakuwa salama sana.
Mkuu,usiache watoto wako wakateseka peke yao,teseka pamoja nao,watakuwa na tabasamu muda wote na mtafanikiwa pamoja.
 
Na yananywewa maji Hadi yatapita tu dadadeki!!Huyu nikimkalisha nikampa Moja na mbili zangu mbona hicho kichwa anachoona kizito kitakuwa chepesi ghafla
Yan mkuu acha tu .. sisemi sana! Ila hali si shwari kila Kona ila muda wa kusononeka ndo haupatkan. Prince Mhando kaza makalio hayo .. vijana hatuna pa kushika! Bora wewe uchumi wako unalisha familia ya watu wanne Milo mitatu .. Kuna watu humu tuna hali mbaya.. ila tunaamin katika kila hatua tuliyopo na tunajifunza namna ya kusonga mbele na kuyabeba maumiv yake
 
Mkuu,
Simama imara,kubali kuwa kuna vitu huenda hautovitimiza lkn wapo wengi sana unawazidi kufikia malengo na wapo wanadunda tu.
Huo ni msongo wa mawazo na unahisi km siyo mwenye bahati vile.

Kichwa kukuuma hutokana na kufikiria kutatua jambo ambalo kwa uwezo wako hasa kiuchumi inakuwa haiwezekani licha ya nia yako ya dhati ya kufanya utatuzi,sasa kufikiria hakufai hasa kwa upande wa afya ya akili.

Ukiona haiwezekani,achana na ondoa kabisa hilo wazo kichwani mwako,utakuwa salama sana.
Mkuu,usiache watoto wako wakateseka peke yao,teseka pamoja,watakuwa na tabasamu muda wote na mtafanikiwa pamoja.
asante sana 🙏 kwa ushauri wako nitaufanyia kazi
 
Yan mkuu acha tu .. sisemi sana! Ila hali si shwari kila Kona ila muda wa kusononeka ndo haupatkan. Prince Mhando kaza makalio hayo .. vijana hatuna pa kushika! Bora wewe uchumi wako unalisha familia ya watu wanne Milo mitatu .. Kuna watu humu tuna hali mbaya.. ila tunaamin katika kila hatua tuliyopo na tunajifunza namna ya kusonga mbele na kuyabeba maumiv yake
ni kweli nilipo toka si sawa na nilipo...! japo hii sio ndoto yangu... nadhani hichi ndicho kinacho ni maliza siishi maisha ya ndoto zangu...😭😭😭​
 
Your sucked and F@CK£d at the same time, uko na age gani your destiny has buried somewhere, sali na kufunga sana katika ukoo wenu kuna wazee waliacha kivumbi ndo umekipokea mazima

Iyo hali ya kichwa kuwa kizito na kutokuelewa chochote ni haupumzishi ubongo just take a break tafuta vakesheni na familia yao usifanye jambo lolote zaid ya meditation ukiona hayo mingi nenda hospitali waambie wakuweke mpira wa oksijeni ata dk 15 tu

Yote kwa yote kila mtu anapitia magumu bora we unawatoto wa 3 wenzio hawana mtoto hata mmoja na wako ktk kudata zaidi yako hakuna kinachoshika hakuna tumaini, ila asikudanganye mtu tumaini lipo trust me lipo lipo

History hujirudia kuwa makini na vitanzi this time ukijaribu niagieni
May your soul stay in peace on your f@ck£d body
 
Mkuu usijaribu kufanya kitu hicho kila mtu ana matatizo hata uwe na pesa kiasi gani? mimi mwenzako january 12 mwaka huu niliuza mazao yangu nilipata millioni saba na laki tatu net profit hili ni shamba jipya kabisa ndio mavuno ya kwanza benki nilikua nadaiwa kama 2,500000 amini usiamani majambazi walipita nayo yote waliniteka na bunduki ndani ya gari sikunywa hata soda pesa ile pesa yakulipa bank ikabidi nichukue akiba yangu, hadi leo nyau wale nawafikiria nyie majambazi lakini sijakata tamaa, nyau majambazi wale sikwenda hata polisi kupoteza mda, na nimelima tena shamba masha, nyau majambazi bado nawakumbuka lakini sijakata tamaa, ila nyau wale nikipata mganga mzuri hasa wale wakenya wanaotuma nyuki ntawapata ngoja, usikate tamaa mkuu, ila wale majambazi wangu nyau wakubwa ntawatafuta ngoja siku nifulie ntaibuka kenya kupata mganga, usikate tamaa Mkuu.
 
Mimi ni kijana ambae nina mshukuru sana Mungu tokea nimezaliwa hadi hapa nilipofikia, watu wamenisaidia na bado wana nisaidia.

Kuna Muda huwa nina kufuru au kukana kutkukubaliana na uwepo wa Mungu😭 hii ni kutokana na asilimia kubwa ya matarajio yangu tokea nikiwa mdogo hayakuwahi kutimia.

Maisha yangu yamekuwa ya mitihani sana, kila nilichojaribu kuanzisha hakikuwahi kufika mwisho 😭😭😭 kwakweli nimeishi nikiwa na huzuni na furaha chache, mpaka hapa nilipofikia nina watoto wa 3 ambao ninawapenda mno.

Vipo vitu vichache ambavyo vinanitokea hivi sasa vinapelekea mimi kuhisi pengine siku zangu hapa Duniani zina karibia kuisha.

Hivi karibuni kichwa changu kimekuwa kizito mno kutoa maamuzi na ni kama kichwa kinanielemea, kimekuwa na maumivu fulani mithili ya kichwa kilicho toka kuuma!

Kwa taaluma mimi ni Mwandishi wa Habari ambaye napenda sana kusoma vitabu na asilimia kubwa ya vitu vingi nimejifunza kutokana na kusoma vitabu, lakini hivi karibuni nimepatwa na hali ya kutokuelewa kila ninacho kisoma.

Vitabu vyote ambavyo nilikuwa navipenda nikivisoma nahisi vinanichanganya, hata baadhi ya mada nilizokuwa nazipenda hapa JAMIIFORUMS nazo pia nimekuwa sizielewi.🥲

Nimepatwa na hofu hata nikikaa karibu na watu ninaowapenda sifurahii uwepo wao, nahisi kujitenga tu nikae peke yangu tu muda wote.

miaka ya nyuma nilikuwa na ndoto pengine za kuwa fulani nikawa naziishi ndoto hizo kwa kuzipambania kwa vitendo lakini siku bahatika kuishi maisha ya ndoto zangu.

siku hizi ni kama siioni future yangu kabisa... muda mwingine mpaka najiona kabisa kama napoteza tuu muda 😭😭😭😭

kama ninge kuwa simu hope ingekuwa kwenye flight mode ✈️🤣🤣🤣

Ikitokea hamjaniona hewani mwezi mzima mfululizo mjue siku zangu niliziona kabisa zinahesabika hivyo malaika mtoa roho atakuwa amesha fanya yake.

Sifikirii kabisa kujiua kwa aina yoyote ile japo kwenye maisha yangu udogoni mwanangu nilishawahi mara 2 kujaribu kujiua. 😭

Mara ya kwanza nilijaribu kunywa sumu haikuniua, hapo nilikuwa na miaka 9 au 10, mwaka mmoja baadae nilijaribu kujinyonga bahati mbaya kile kitanzi pia hakikuondoka na maisha yangu.

Hivyo nichukue fursa hii kuwaaga ndugu zangu wana JAMIIFORUMS ambao tumeishi wote humu ndani kama familia. Kuna member humu nimesaidiana nao bila hata kufahamiana nao big up sana.

Kuna wengine tumekuwa ndugu na hata nje ya JAMIIFORUMS tumekuwa tukionana kwakweli sina cha kuwalipa.​
Fanya yafuatayo
1. Nenda kanisani mchukue kiongozi wako wa dini unayemuamini akuombee jambo lako, huenda kwenye ukoo wako Kuna watu ambao waliwahi kujiua na hiyo roho mbaya haijawahi kutoka kwenye ukoo au familia yenu

2. Sitisha matumizi ya mitandao kama Facebook, Instagram na Twitter kikubwa delete na uache kusoma mada za kiuchumi, kibiashara, mahusiano na Siasa.

3. Nenda kwa Madaktari bingwa wa kisaikolojia watakusaidia, ukiwakosa kama wewe ni mkirsto soma Zaburi na Mithali mwanzo mwisho Anza na Zaburi Asubuhi then usiku soma Mithali fanya hivo kila siku.

4. Kama unataka kujiua hata tukikushauri vipi utajiua kikubwa jiulize ukijua watoto wako hao watatu wakija kupata familia pia wajukuu wako watajiua na kujiua na maamuz ya kijinga. Siku moja tembelea hospital ujionee watu wanavyopambania Afya zao na hawajakata tamaa.

Mwisho usitegemee ndug, rafiki , majirani kuwa watakuja kunusuru hali uliyo nayo, pambana mwenyewe.

The one who die without Jesus is not rest in peace.
 
napata usingizi mdogo haswa...! mara chache napata usingizi wenye maluwe luwe...!​
Inatakiwa upate azuma na hiyo amitriptyline ili isapoti kulala kwako!. Muhimu sana diet na kulala kwa sasa... Kujitebga kinawez kuwa pona yako kama unaokutana nao wehuwehu.

Kwa sasa inabidi uongeze ratiba ya mazoez na muda wa kukaa na mwenza wako. Least mtoke KUBARIZI bariz kila wikend kama una mfuko mzuri.

Jitahidi pia kujichanganya na wanao, fatilia mahudgurio Yao shule na wafundishe usiku au kuwasaidia homework.

Nb. Azuma na amitriptyline Itakusaidia kulala so, ratiba ya kulala ikipngezeka itakupunguzia muda wa kuwaza waza kwa kias kikubwa
 
Your sucked and F@CK£d at the same time, uko na age gani your destiny has buried somewhere, sali na kufunga sana katika ukoo wenu kuna wazee waliacha kivumbi ndo umekipokea mazima

Iyo hali ya kichwa kuwa kizito na kutokuelewa chochote ni haupumzishi ubongo just take a break tafuta vakesheni na familia yao usifanye jambo lolote zaid ya meditation ukiona hayo mingi nenda hospitali waambie wakuweke mpira wa oksijeni ata dk 15 tu

Yote kwa yote kila mtu anapitia magumu bora we unawatoto wa 3 wenzio hawana mtoto hata mmoja na wako ktk kudata zaidi yako hakuna kinachoshika hakuna tumaini, ila asikudanganye mtu tumaini lipo trust me lipo lipo

History hujirudia kuwa makini na vitanzi this time ukijaribu niagieni
May your soul stay in peace on your f@ck£d body
mkuu andiko lako limenifanya nimecheka kwa sauti... nakushukuru sana ndugu yangu... ni kweli tumaini lipo ila kwa naona kiza mbele...! naishi maisha kama ndege sijui kesho yangu itakuwaje...!

in case of financial ninacho kipata ni cha leo tuu... 😭😭😭​
 
kiuchumi siwezi kusema nina tatizo kihivyo kwani nina jishughulisha... japo sina kipato kikubwa cha kumsaidia mwingine ila nina uwezo wa kula milo mitatu...!

kwakweli sielewi kwanini nimewaza hivyo...!​
Wanao wakija kugundua baba yao amejitoa uhai watahuzunika maisha yao yote, kaa karibu na familia yako furah nao pamoja salini pamoja nendeni out ivo we ukitaka bl 10 mwenzako mwenye bl10 anamwonea donge mwenye bl 30 , furahia nafasi uliyopo uku una improve taratibu, unataka uwezo wakusaidia watu we ni MUNGU? mpe mwenye uhitaji kile ulichonacho umepika ugali kilo moja mpakulie ale kutoka sehemu yako ivo pia huwezi saidia kila mtu
 
Inatakiwa upate azuma na hiyo amitriptyline ili isapoti kulala kwako!. Muhimu sana diet na kulala kwa sasa... Kujitebga kinawez kuwa pona yako kama unaokutana nao wehuwehu.

Kwa sasa inabidi uongeze ratiba ya mazoez na muda wa kukaa na mwenza wako. Least mtoke KUBARIZI bariz kila wikend kama una mfuko mzuri.

Jitahidi pia kujichanganya na wanao, fatilia mahudgurio Yao shule na wafundishe usiku au kuwasaidia homework.

Nb. Azuma na amitriptyline Itakusaidia kulala so, ratiba ya kulala ikipngezeka itakupunguzia muda wa kuwaza waza kwa kias kikubwa
nakushukuru sana ndugu yangu. nitajitahidi 🙏 kufanyia kazi ushauri wako...!​
 
Mkuu Prince Mhando mhando natamani nikuone uso kwa uso niseme na wewe neno .

Ndugu shukuru sasa unao uzao wako , shukuru unao uwezo wa kula milo mitatu na bado unaiona kesho hata kwa kuumia kama hivi kuwa kwanini siwi yule niliyejiona huko .

Ndugu majukwaa haya ni mazuri ni mabaya na ukweli ni kuwa umekata tamaa na pia unahisi mtazamo wa watu walio wengi hapa kwakuhisi bado uko chini rafiki wote tuna shida zetu tunatamani kuongea tumpate walau mtu aseme pole lakini ukikumbuka pole nyingi haziponyi maumivu basi tunavunga .

Rafiki hao watoto wewe ni baba yao , mama yao yupo ila mhimili ni wewe hauwazi kujiua leo ila utawaza kujiua kesho sasa wanao watalelewa na nani? Huko mtaani umebahatika kuwaona watoto wa mtaani lakini ??

Vipo maisha ya single mothers hapa bongo unayona ? Basi lea kizazi chako , simama pambana bado ni asubuhi jioni haijafika itafute nuru maana bado mshumaa wa mapambano haujazimwa .
Iishi leo achana na mambo ya zamani mazuri kwa mabaya uliyotenda focus kwenye zama ya leo

Ni kweli utatumia madawa ya afya ya akili ila usipokaa chini ukaiwaza leo na kesho yako hizo dawa hazitakusaidia rafiki .

Nakupa mfano kidogo , hivi ungejiskiaje huna baba , mama wala mdogo wako na wote walikufa wakakuacha bad enough walikuacha kwenye mikono ya ndugu walafi na wao wakadai weye si mtoto wao ila ni wa nje ukadhulumika kila kitu na hao ndugu ? Usisahau mtaa ulioachwa wote wanajua wewe ni mwathirika kwakuwa hao ndugu zako walikufa na huo ugonjwa ?

Unapambana unapata kazi kwa kudra zake Allah nako mambo moto mpaka unawekwa lupango?
Unarudi mtaani unaanza moja ndiyo unarudi kazini ila tayari ilmu yako ishachafuliwa na bado unaishi maisha ya kuungaunga maana mshahara bado umezuiliwa ? Si ungejiuwa ndugu ?

Binti uliyezaa naye anakuja kudai watoto si wako unakubali maisha yanendelea hivyo unabaki wewe kama wewe .?

Ndugu matatizo ni mengi na kila mtu ana njia zake za matatizo hivyo simama , pambana usiku na mchana usikubali unyonge wa maisha ukutawale ,usikubali shida zijitangaze kichwani mwako unao uwezo wa kusimama leo yako sio jana mdogo wangu .

Achana na hayo matatizo jitafute vyovyote vile palipo na kiza , nuru inakuja ndugu usijikatae wala usijiumize jua ni wakati wako wa kuonesha uwezo binafsi kimtizamo , kimapambano na mwisho kusshinda .

Tunakupenda hapa jamvini usiondoke bado unahitajika na wengi .
 
Back
Top Bottom