Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Kuna digrii humu.. Kuna watu Wana ndoto za kuonana na Zuckerberg humuhumu... Leo wanauza machungwa mabibo.ni kweli nilipo toka si sawa na nilipo...! japo hii sio ndoto yangu... nadhani hichi ndicho kinacho ni maliza siishi maisha ya ndoto zangu...πππ
inawezekana ila nitaishije bila kuwaza π₯²π₯²π₯²Usiwaze sana Mkuu utapata vidonda vya tumbo potezea hayo mawazo
Potezea mawazoinawezekana ila nitaishije bila kuwaza π₯²π₯²π₯²
Wewe kaa na kulalama tu. Ndiyo vijana wetuWe ni mpumbavu kama huna cha kumsaidia mtu kaa kimya kenge wewe!
Kila mtu akitumia grounds zako kutosaidia mtu nani atamsaidia mwingine!
Hivi unajua hiyo mitihani ya Kijerumani ni 700,000 Kwa kozi Moja na mtihani wake ni 300,000. Hiyo ni A1 Bado A2 , B1 na B2. Hizi ni atleast uwe nazo hapo si chini ya milion 4. Unajua ni vijana wangapi wa kitanzania wana uwezo wa kupata milion 4. Mjinga wewe!
Wewe unabeba boksi huko ughaibuni unawaona wenzako wajinga. Hakuna kijana asietaka kutoka kimaisha na vijana wanapambana.
Hata huko ulipo ughaibuni mbona watu wanajinyonga sana na Mental Illness rates zake ziko juu kuliko huku Tanzania inamaana na wao ni wavivu kama vijana wa Tanzania kama kichwa chako kinavyofikiri ujinga!
Huyu aliendika hapa ni Depression na Stress badala umpe ushauri unaleta "Umalaya" wa kimagharibi. Shwaini wewe!
Na ndo maisha ya watanzania wengi mzee wengi wanapata cha kutumia leo tu kesho itajulikana uko uko,mkuu andiko lako limenifanya nimecheka kwa sauti... nakushukuru sana ndugu yangu... ni kweli tumaini lipo ila kwa naona kiza mbele...! naishi maisha kama ndege sijui kesho yangu itakuwaje...!
in case of financial ninacho kipata ni cha leo tuu... πππ
Mkuu Prince Mhando mhando natamani nikuone uso kwa uso niseme na wewe neno .
Ndugu shukuru sasa unao uzao wako , shukuru unao uwezo wa kula milo mitatu na bado unaiona kesho hata kwa kuumia kama hivi kuwa kwanini siwi yule niliyejiona huko .
Ndugu majukwaa haya ni mazuri ni mabaya na ukweli ni kuwa umekata tamaa na pia unahisi mtazamo wa watu walio wengi hapa kwakuhisi bado uko chini rafiki wote tuna shida zetu tunatamani kuongea tumpate walau mtu aseme pole lakini ukikumbuka pole nyingi haziponyi maumivu basi tunavunga .
Rafiki hao watoto wewe ni baba yao , mama yao yupo ila mhimili ni wewe hauwazi kujiua leo ila utawaza kujiua kesho sasa wanao watalelewa na nani? Huko mtaani umebahatika kuwaona watoto wa mtaani lakini ??
Vipo maisha ya single mothers hapa bongo unayona ? Basi lea kizazi chako , simama pambana bado ni asubuhi jioni haijafika itafute nuru maana bado mshumaa wa mapambano haujazimwa .
Iishi leo achana na mambo ya zamani mazuri kwa mabaya uliyotenda focus kwenye zama ya leo
Ni kweli utatumia madawa ya afya ya akili ila usipokaa chini ukaiwaza leo na kesho yako hizo dawa hazitakusaidia rafiki .
Nakupa mfano kidogo , hivi ungejiskiaje huna baba , mama wala mdogo wako na wote walikufa wakakuacha bad enough walikuacha kwenye mikono ya ndugu walafi na wao wakadai weye si mtoto wao ila ni wa nje ukadhulumika kila kitu na hao ndugu ? Usisahau mtaa ulioachwa wote wanajua wewe ni mwathirika kwakuwa hao ndugu zako walikufa na huo ugonjwa ?
Unapambana unapata kazi kwa kudra zake Allah nako mambo moto mpaka unawekwa lupango?
Unarudi mtaani unaanza moja ndiyo unarudi kazini ila tayari ilmu yako ishachafuliwa na bado unaishi maisha ya kuungaunga maana mshahara bado umezuiliwa ? Si ungejiuwa ndugu ?
Binti uliyezaa naye anakuja kudai watoto si wako unakubali maisha yanendelea hivyo unabaki wewe kama wewe .?
Ndugu matatizo ni mengi na kila mtu ana njia zake za matatizo hivyo simama , pambana usiku na mchana usikubali unyonge wa maisha ukutawale ,usikubali shida zijitangaze kichwani mwako unao uwezo wa kusimama leo yako sio jana mdogo wangu .
Achana na hayo matatizo jitafute vyovyote vile palipo na kiza , nuru inakuja ndugu usijikatae wala usijiumize jua ni wakati wako wa kuonesha uwezo binafsi kimtizamo , kimapambano na mwisho kusshinda .
Tunakupenda hapa jamvini usiondoke bado unahitajika na wengi .
kila moja humu JF, na mahala pengine yupo pale alipo kwa Neema na Baraka za Mungu πMimi ni kijana ambae nina mshukuru sana Mungu tokea nimezaliwa hadi hapa nilipofikia, watu wamenisaidia na bado wana nisaidia.
Kuna Muda huwa nina kufuru au kukana kutkukubaliana na uwepo wa Munguπ hii ni kutokana na asilimia kubwa ya matarajio yangu tokea nikiwa mdogo hayakuwahi kutimia.
Maisha yangu yamekuwa ya mitihani sana, kila nilichojaribu kuanzisha hakikuwahi kufika mwisho πππ kwakweli nimeishi nikiwa na huzuni na furaha chache, mpaka hapa nilipofikia nina watoto wa 3 ambao ninawapenda mno.
Vipo vitu vichache ambavyo vinanitokea hivi sasa vinapelekea mimi kuhisi pengine siku zangu hapa Duniani zina karibia kuisha.
Hivi karibuni kichwa changu kimekuwa kizito mno kutoa maamuzi na ni kama kichwa kinanielemea, kimekuwa na maumivu fulani mithili ya kichwa kilicho toka kuuma!
Kwa taaluma mimi ni Mwandishi wa Habari ambaye napenda sana kusoma vitabu na asilimia kubwa ya vitu vingi nimejifunza kutokana na kusoma vitabu, lakini hivi karibuni nimepatwa na hali ya kutokuelewa kila ninacho kisoma.
Vitabu vyote ambavyo nilikuwa navipenda nikivisoma nahisi vinanichanganya, hata baadhi ya mada nilizokuwa nazipenda hapa JAMIIFORUMS nazo pia nimekuwa sizielewi.π₯²
Nimepatwa na hofu hata nikikaa karibu na watu ninaowapenda sifurahii uwepo wao, nahisi kujitenga tu nikae peke yangu tu muda wote.
miaka ya nyuma nilikuwa na ndoto pengine za kuwa fulani nikawa naziishi ndoto hizo kwa kuzipambania kwa vitendo lakini siku bahatika kuishi maisha ya ndoto zangu.
siku hizi ni kama siioni future yangu kabisa... muda mwingine mpaka najiona kabisa kama napoteza tuu muda ππππ
kama ninge kuwa simu hope ingekuwa kwenye flight mode βοΈπ€£π€£π€£
Ikitokea hamjaniona hewani mwezi mzima mfululizo mjue siku zangu niliziona kabisa zinahesabika hivyo malaika mtoa roho atakuwa amesha fanya yake.
Sifikirii kabisa kujiua kwa aina yoyote ile japo kwenye maisha yangu udogoni mwanangu nilishawahi mara 2 kujaribu kujiua. π
Mara ya kwanza nilijaribu kunywa sumu haikuniua, hapo nilikuwa na miaka 9 au 10, mwaka mmoja baadae nilijaribu kujinyonga bahati mbaya kile kitanzi pia hakikuondoka na maisha yangu.
Hivyo nichukue fursa hii kuwaaga ndugu zangu wana JAMIIFORUMS ambao tumeishi wote humu ndani kama familia. Kuna member humu nimesaidiana nao bila hata kufahamiana nao big up sana.
Kuna wengine tumekuwa ndugu na hata nje ya JAMIIFORUMS tumekuwa tukionana kwakweli sina cha kuwalipa.
hali ni ngumu sana kwakweli πππNa ndo maisha ya watanzania wengi mzee wengi wanapata cha kutumia leo tu kesho itajulikana uko uko,
Mtu anatoka asubuh na nauli tu ya kwenda akirudi ndo watu wale na anafamilia anasomesha na mtu kama huyo ndo kabisaa mbele kiza hana matumanin ya kutoboa na ndo wengi wameangukia ktl betting tumain lao lipo uko wapige mshindo basi,
Ila angalau wewe unakaelimu fulani sikufichi ni vile tu hujatapata unachokipenda kukifanya na ndo ubongo wako umewasha search engine zote kufind what you love na kitakachokusaidia zaid desire ndo inachemka ndani yako mpaka muda mwingine unajihisi kukosa pumzi vizuri
Ata ukilala usingizi hauji utaweweseka tu
shukrani sana ndugu yangu... πkila moja humu JF, na mahala pengine yupo pale alipo kwa Neema na Baraka za Mungu π
Zawaidi ya uhai, akili, maarifa, afya, nguvu na maisha alizotujaalia Mwenyezi Mungu bure, tuzitumie vizur kwa manufaa yetu binafsi, familia ndungu jamaa na marafiki na sio kutuathiri au kutuhuzunisha π
Tatizo la Afya ya akili ni pamoja na kufikiri, kuwaza, kujipanga, kuamua na kutenda mambo ambayo yana madhara au yatakayokuathiti wewe mwenywe binafsi lakini pia kuiumiza, kuihuzunisha na kuifedhehesha familia ndugu jamaa na Marafiki π
Kujiuliza na kujijibu mwenyewe ni chanzo cha kuchukua uamuzi mbaya.
Be free, come out upate relief na mawazo mbadala wa kutoka kwenye hatua hiyo mbaya zaidi ya kukata tamaa π
By the way,
Mtu mwenye afya,
alie katika hatua za mwisho za uhai wake, anakua smart sana na mwenye bidii sasa katika kukamilisha mipango yake humu duniani. Yuko panctual sana kujifanyia usafi mwenyewe, kula msosi wa kushiba, kunywa, kwenda msalani kupuu, ni muongeaji sana kwaajili ya mipango ya kesho, kumbe hafiki, dah π
We ni mpumbavu kama huna cha kumsaidia mtu kaa kimya kenge wewe!
Kila mtu akitumia grounds zako kutosaidia mtu nani atamsaidia mwingine!
Hivi unajua hiyo mitihani ya Kijerumani ni 700,000 Kwa kozi Moja na mtihani wake ni 300,000. Hiyo ni A1 Bado A2 , B1 na B2. Hizi ni atleast uwe nazo hapo si chini ya milion 4. Unajua ni vijana wangapi wa kitanzania wana uwezo wa kupata milion 4. Mjinga wewe!
Wewe unabeba boksi huko ughaibuni unawaona wenzako wajinga. Hakuna kijana asietaka kutoka kimaisha na vijana wanapambana.
Hata huko ulipo ughaibuni mbona watu wanajinyonga sana na Mental Illness rates zake ziko juu kuliko huku Tanzania inamaana na wao ni wavivu kama vijana wa Tanzania kama kichwa chako kinavyofikiri ujinga!
Huyu aliendika hapa ni Depression na Stress badala umpe ushauri unaleta "Umalaya" wa kimagharibi. Shwaini wewe!
asante sana ndugu yangu πππOkoka,
Mpe Yesu maisha Yako, fuatisha Sala ifuatayo;
EE MUNGU KATIKA JINA LA YESU KRISTO, NINAKUKIRI WEWE KUWA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU, NINATUBU DHAMBI ZANGU ZOTE, NINAOMBA UNISAMEHE, ULIFUTE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA HUKUMU, ULIANDIKE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA UZIMA, NIPE UWEZO WA KUISHI MAISHA MATAKATIFU, DHAMBI ISINISHINDE, UOVU USINISHINDE, NINAOMBA HAYO KUPITIA JINA LA YESU KRISTO ALIYE BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU. Amen
Baada ya Sala hiyo, Roho mtakatifu ataingia ndani Yako, na utaanza kuyaona maisha katika muono mpya. Hakikisha inasoma BIBLIA Kila mara, ifungue hata sasa soma mstari wowote, utaniambia.
UBARIKIWE π
Hupaswi kuwaza hivyo hata kidogo. Pambana, Songa mbele. Una familia, una mke na watoto watatu wote wanakutizama na kukutegemea. Pambana, Bado kuna mambo makubwa na mazuri mbelekiuchumi siwezi kusema nina tatizo kihivyo kwani nina jishughulisha... japo sina kipato kikubwa cha kumsaidia mwingine ila nina uwezo wa kula milo mitatu...!
kwakweli sielewi kwanini nimewaza hivyo...!
tupo wengi... ndio hivyo wengine awawezi kusemaπππI feel you bro.. I think I'll die if I don't get any job soon
Mkuu; wewe unapenda muziki? Yan unasikiliza muziki wa aina gani au kutumia vyombo vya muziki au kuimba ww mwenyewe? Naomba unijibu halafu nitaendelea baada ya jibu lako.Mimi ni kijana ambae nina mshukuru sana Mungu tokea nimezaliwa hadi hapa nilipofikia, watu wamenisaidia na bado wana nisaidia.
Kuna Muda huwa nina kufuru au kukana kutkukubaliana na uwepo wa Munguπ hii ni kutokana na asilimia kubwa ya matarajio yangu tokea nikiwa mdogo hayakuwahi kutimia.
Maisha yangu yamekuwa ya mitihani sana, kila nilichojaribu kuanzisha hakikuwahi kufika mwisho πππ kwakweli nimeishi nikiwa na huzuni na furaha chache, mpaka hapa nilipofikia nina watoto wa 3 ambao ninawapenda mno.
Vipo vitu vichache ambavyo vinanitokea hivi sasa vinapelekea mimi kuhisi pengine siku zangu hapa Duniani zina karibia kuisha.
Hivi karibuni kichwa changu kimekuwa kizito mno kutoa maamuzi na ni kama kichwa kinanielemea, kimekuwa na maumivu fulani mithili ya kichwa kilicho toka kuuma!
Kwa taaluma mimi ni Mwandishi wa Habari ambaye napenda sana kusoma vitabu na asilimia kubwa ya vitu vingi nimejifunza kutokana na kusoma vitabu, lakini hivi karibuni nimepatwa na hali ya kutokuelewa kila ninacho kisoma.
Vitabu vyote ambavyo nilikuwa navipenda nikivisoma nahisi vinanichanganya, hata baadhi ya mada nilizokuwa nazipenda hapa JAMIIFORUMS nazo pia nimekuwa sizielewi.π₯²
Nimepatwa na hofu hata nikikaa karibu na watu ninaowapenda sifurahii uwepo wao, nahisi kujitenga tu nikae peke yangu tu muda wote.
miaka ya nyuma nilikuwa na ndoto pengine za kuwa fulani nikawa naziishi ndoto hizo kwa kuzipambania kwa vitendo lakini siku bahatika kuishi maisha ya ndoto zangu.
siku hizi ni kama siioni future yangu kabisa... muda mwingine mpaka najiona kabisa kama napoteza tuu muda ππππ
kama ninge kuwa simu hope ingekuwa kwenye flight mode βοΈπ€£π€£π€£
Ikitokea hamjaniona hewani mwezi mzima mfululizo mjue siku zangu niliziona kabisa zinahesabika hivyo malaika mtoa roho atakuwa amesha fanya yake.
Sifikirii kabisa kujiua kwa aina yoyote ile japo kwenye maisha yangu udogoni mwanangu nilishawahi mara 2 kujaribu kujiua. π
Mara ya kwanza nilijaribu kunywa sumu haikuniua, hapo nilikuwa na miaka 9 au 10, mwaka mmoja baadae nilijaribu kujinyonga bahati mbaya kile kitanzi pia hakikuondoka na maisha yangu.
Hivyo nichukue fursa hii kuwaaga ndugu zangu wana JAMIIFORUMS ambao tumeishi wote humu ndani kama familia. Kuna member humu nimesaidiana nao bila hata kufahamiana nao big up sana.
Kuna wengine tumekuwa ndugu na hata nje ya JAMIIFORUMS tumekuwa tukionana kwakweli sina cha kuwalipa.
Kuna digrii humu.. Kuna watu Wana ndoto za kuonana na Zuckerberg humuhumu... Leo wanauza machungwa mabibo.
Ndoto ziache mkuu, ndoto sio hatma. Plan new destiny, tumia ulicho nacho kikupe vikubwa. Kufeli kwenye maisha kupo! Na amini usiamin kuwa uhai tu peke yake ni hazina.
Habari za ndoto kwa nchi hizi za afrika sio za kuzungumzia. Ni mungu tu akupiganie... Mana hata hao walitusua hawajui mchakato ule ulikuaje! No formula. Wewe ulichonacho kitumie. Kiwanja chako kile Jenga pale fungua duka mpe mkeo auze.