Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dawa yako imwkqribia kijana wanguKweli urahibu ninao mkuu sio uongo
Nyie msiokunywa pombe mnaojifanya mr drinking water mkikaa na wake zenu mnakuwa wambeya sana washakunaku wanafki wanafki.Mmeshaambiwa kunywa pombe ni hatari kwa afya yako ila bado kuna mijitu inakunywa. Ni ukosefu wa akili na ujinga wa maisha.
Sasa unamuomba nani ushauri?? Ngoja figo zifeli, nahisi akili zitakukaa sawa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119] mkuu upo sahihi kabisaNyie msiokunywa pombe mnaojifanya mr drinking water mkikaa na wake zenu mnakuwa wambeya sana washakunaku wanafki wanafki.
Mkipatwa na shida mnawafata wanywa pombe kupiga mizinga
Wajinga sana hao.. wakati pombe ndio kinara katika kulipa kodi uku ikiyaacha makampuni mengine kwa mbali sana.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119] mkuu upo sahihi kabisa
Umeshasema kila ukinywa konyagi, shida ni hiyo konyagi kinyago weweTangu week hii imeanza nalewa ila nikiamkaa asubuhi nakuwa kama mwili wote unauma, walevi wenzangu nisaidieni!
Mwanangu kimbilia hospital kuangalia figo nilikuwa kama wewe nikapuuzia, ila kwa sasa nipo fiti hapa nilipo natamani nikanywe maji ya gold🤣Tangu week hii imeanza nalewa ila nikiamkaa asubuhi nakuwa kama mwili wote unauma, walevi wenzangu nisaidieni!
Nani akufuate bar kupiga mizinga, nyie mkishalewa huwa hamjitambui. Mnaanza kutukana wake zenu, watoto wenu mnawapa shida sanaNyie msiokunywa pombe mnaojifanya mr drinking water mkikaa na wake zenu mnakuwa wambeya sana washakunaku wanafki wanafki.
Mkipatwa na shida mnawafata wanywa pombe kupiga mizinga
Acha pombe mkuu unafosi vitu ambavyo havikutakiTangu week hii imeanza nalewa ila nikiamkaa asubuhi nakuwa kama mwili wote unauma, walevi wenzangu nisaidieni!
Utanyooka tu na badoTangu week hii imeanza nalewa ila nikiamkaa asubuhi nakuwa kama mwili wote unauma, walevi wenzangu nisaidieni!