Nahisi uchovu sana kila nikinywa konyagi, shida nini?

Mmeshaambiwa kunywa pombe ni hatari kwa afya yako ila bado kuna mijitu inakunywa. Ni ukosefu wa akili na ujinga wa maisha.

Sasa unamuomba nani ushauri?? Ngoja figo zifeli, nahisi akili zitakukaa sawa
Nyie msiokunywa pombe mnaojifanya mr drinking water mkikaa na wake zenu mnakuwa wambeya sana washakunaku wanafki wanafki.
Mkipatwa na shida mnawafata wanywa pombe kupiga mizinga
 
Nyie msiokunywa pombe mnaojifanya mr drinking water mkikaa na wake zenu mnakuwa wambeya sana washakunaku wanafki wanafki.
Mkipatwa na shida mnawafata wanywa pombe kupiga mizinga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119] mkuu upo sahihi kabisa
 
unafeli kabla hujanywa unatakiwa upate supu ya kongoro ile nzito alafu ndipo unashushia na nyagi zako kama mbili
 
Tangu week hii imeanza nalewa ila nikiamkaa asubuhi nakuwa kama mwili wote unauma, walevi wenzangu nisaidieni!
Mwanangu kimbilia hospital kuangalia figo nilikuwa kama wewe nikapuuzia, ila kwa sasa nipo fiti hapa nilipo natamani nikanywe maji ya gold🤣
 
Nyie msiokunywa pombe mnaojifanya mr drinking water mkikaa na wake zenu mnakuwa wambeya sana washakunaku wanafki wanafki.
Mkipatwa na shida mnawafata wanywa pombe kupiga mizinga
Nani akufuate bar kupiga mizinga, nyie mkishalewa huwa hamjitambui. Mnaanza kutukana wake zenu, watoto wenu mnawapa shida sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…