Staufenberg
Member
- Sep 26, 2020
- 24
- 37
Mbeya unashindweje kula nyama wakati nyama choma ugali inauzwa 3000.Mke wangu yupo mbali yeye yupo Mwanza huko mie nipo Mbeya kwaiyo ratiba ya chakula si hihingatii saana
Yesu anahusikaje?Yesu ndiye dawa ya huo uraibu, ukimpokea yote hayo yatakwisha na hamu ya pombe itabaki historia.
Ndiye mwenye suluhisho la kudumu la matatizo ya mtoa madaYesu anahusikaje?
Punzika upended mwili nafisi ngombe haziishi utajiua leo siku ya 10 nimepunzika balaka muds wote mtaaani najisikia raha sana nimekuja almost miaka20Tangu week hii imeanza nalewa ila nikiamkaa asubuhi nakuwa kama mwili wote unauma, walevi wenzangu nisaidieni!
Umejikagua?[emoji23][emoji23][emoji23] Iko kitu hakiwezi tokea
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]daahhh qmmake unataka kuua mtuJalibu kuchanganya na k vant