Nahisi wanaokunywa pombe wana furaha zaidi kuliko wanywa soda, juisi na ukwaju

Nahisi wanaokunywa pombe wana furaha zaidi kuliko wanywa soda, juisi na ukwaju

Furaha unajipa mwenyewe mkuu na sio lazima unywe pombe
Pombe Ina ishawishi mwingi na utumiaji wa pesa nyingi za bila mpangilio
Unalewa kila mtu Bar ni rafiki yako utafikiri mnajuana miaka kibao na unaweza hata kumlipia pombe kiasi chake

Zipo sehemu nyingi unaweza ukaenda na kufurahi bila kulewa
Kama unaona pombe ni nzuri labda ungetengeneza aina yako ya Bia na kuwauzia hao
Ni wazo tu
Taja hata sehemu tatu unazozungumzia basi. acha kugeneralize vitu

Sent from my PBAT00 using JamiiForums mobile app
 
Yaani kama umetembea na card ndo kabisa. Siku hizi Bar wana machine unajikuta asubuhi umechoma mpaka 300,000 huku unatumia simu kama spider web. Madeni kibao, friji lipo empty,viatu vimeanza uchanika n.k

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na hangovers juu
Tafrani juu ya tafrani
Kweli pombe mbaya jamani inarudisha watu nyuma bila kujijua
 
Taja hata sehemu tatu unazozungumzia basi. acha kugeneralize vitu

Sent from my PBAT00 using JamiiForums mobile app

Sio lazima uende sehemu moja kila siku
Kama mtu wa mazoezi hili linajulikana
Kama uko karibu na bahari ni sehemu nzuri ya kupumzika
Kama kuna sehemu ya kukutana na marafiki kama hotel pia sio njia mbaya ya kukutana

Sio kuwa napingana na wanywaji wa pombe la hasha kwani kila mmoja anaamua sehemu ya kupumzika
Ila mimi sio mnywaji wa pombe na mda mwingine wa kupumzika ninakuwa nyumbani
 
Hapa duniani usipojiamini utabaki fata upepo hata ukinywa soda mbele ya walevi ukajiamini watakuheshimu na mlevi akinywa pombe mbele ya wanywa soda hakuna shida kikubwa jiamini na heshimu mtu.

Mie soda nakunywa na wine zenye asilimia kazaa za pombe nakunywa na silewi na hawanambii kitu ambao wanakunywa wakiona nawabana wajikusanye wakanywe huko .


Maisha sio mpaka ufanye kitu unywe pombe ndio uonekane umekua hlf hii ipo kwa waswahili sana.
 
Naunga hoja kabisa,,pesa zao si za mawazo mawazo kabisa.
Ila kama kuna ukweli..last week naenda town kuna mdada akaniona akawa ananiita .niko naye kwa group fulan..sijamzoea kivile zaidi ya kuonana kwa mikutano yetu.. akaniambia huwa unakunywa? Nikqmwambia uliza swali jingine...bas akafurahi..tukakaa bar ..yaan tulikunywa wine chupa 3@14000! Yaan wine 3 ndani ya masaa 2 tumefuta...imaginr na tukala...! Hahaa lakini kwenu nyie wasoda mngetumia 3000..soda 2 na mishikak 5@200🤸‍♂️🤸‍♂️
 
Taja hata sehemu tatu unazozungumzia basi. acha kugeneralize vitu

Sent from my PBAT00 using JamiiForums mobile app
Mimi mpk leo nimegomaga eti mtu aniambia niende mbuga za wanyama unajikuta umekata 1m kisa kuchek wanyama!...msukuma mm bado haijaclick aise🤣! Bora niende lodge classic nilewe nilale huko...
 
Ila kama kuna ukweli..last week naenda town kuna mdada akaniona akawa ananiita .niko naye kwa group fulan..sijamzoea kivile zaidi ya kuonana kwa mikutano yetu.. akaniambia huwa unakunywa? Nikqmwambia uliza swali jingine...bas akafurahi..tukakaa bar ..yaan tulikunywa wine chupa 3@14000! Yaan wine 3 ndani ya masaa 2 tumefuta...imaginr na tukala...! Hahaa lakini kwenu nyie wasoda mngetumia 3000..soda 2 na mishikak 5@200[emoji2223][emoji2223]
Alikua ameshachangamka huyo, swali gani hilo huwa unakunywaga??? Ila dah mishikaki 5@200 ni ile ya watoto wa primary au?? Hahahahah wape heshima kidogo wajaza nzi.
 
MIMI ngoja niwasubirie walokole waje ku comment kwanza
 
Back
Top Bottom