Nahisi wanaokunywa pombe wana furaha zaidi kuliko wanywa soda, juisi na ukwaju

Tunakuwaga na furaha kwa wakati ule ila ukiwa sober unajikuta tu unatafakari huzuni inarudi upya.

Mkuu furaha unaweza kuicreate tu mwenyewe

Just choose to be happy bila kutegemea exterior influences
Japo uliwahi kukiri kuwa ukiwa mtungi unafika orgasm kirahisi [emoji4][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Connections kibao na New friends e'day
 
Na utafutaji wangu mgumu wa kupasua mbao nikijirudishia shukrani nasimangwa kama nidhulumu nafsi 🤣 🤣
Any way wana masanga hasa wasiojuana ndo furaha inazidi kina mpaka wengine wanalia
 
Walevi tunaishi nao humu humu na tunawajua mishe mishe zao.

Kwanza siku hizi pesa imekuwa ngumu ndio maana wanakunywa SPIRITS ( Konyagi, Kvant ) ili walewe mapema. Pesa ya kulewa bia tupu hawana.
wetonga na bajeti avae 🤣 🤣
 
Mimi nilichojifunza ndani ya miaka 20 ya kula tungi. ni fanya pombe rafiki yako. Usiwe unakunywa pombe ukiwa na mawazo, furaha, au huzuni. Wewe gonga nyakati zote.

Sent from my PBAT00 using JamiiForums mobile app
Uko sahihi wanaokunywa kama sehemu ya maisha wanaienjoy coz hapa hatuzungumzii wanaokunywa kuondoa stress.
 
Uko sawa mkuu, mtu unafanya upendacho , ila tu nimejaribu kupiga picha tunapokuwa bar kundi hili huonekana kuchangamka balaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…