Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Usinywe aisee....usije hukuMkuu, hata mbuyu ulianza kama mchicha , hivyo nitakaribia soon kwenye chama la wana.
Mambo ni pole pole hatua kwa hatua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usinywe aisee....usije hukuMkuu, hata mbuyu ulianza kama mchicha , hivyo nitakaribia soon kwenye chama la wana.
Mambo ni pole pole hatua kwa hatua.
Walevi Wana furaha ya muda mfupi na huzuni ya muda mrefu ninaishi nao na ninawaona
Nimefanya utafit walevi wengi ni watu wenye madeni kibao na Ni watu wanaopoteza uaminifu kwa haraka zaidi mlevi akiaminiwa hufanya hiyana.
Na hata unae muamin anaweza akakufanyia tukio badae kisingizio kikawa ni pombe
Hizi ndio tafiti zinazostahili tuzo sasaJamaa amefanya utafiti na upembuzi yakinifu[emoji23][emoji23][emoji23]
Sorry but huu utafiti ni butuWalevi Wana furaha ya muda mfupi na huzuni ya muda mrefu ninaishi nao na ninawaona
Nimefanya utafit walevi wengi ni watu wenye madeni kibao na Ni watu wanaopoteza uaminifu kwa haraka zaidi mlevi akiaminiwa hufanya hiyana.
Na hata unae muamin anaweza akakufanyia tukio badae kisingizio kikawa ni pombe
Ulevi ni addiction.Tofautisha mnywaji na mlevi.. Mnywaji ni mtu anayekunywa na anajitambua,. Mlevi ni mtu ambaye maisha yake ni pombe tu,.
Sorry but huu utafiti ni butu
Wanywa pombe ndio walipa kodi nambari moja nchini na duniani koteAsilimia 90% ya watu wenye pesa wanakunywa pombe, ndiyo matajiri pia hapa mjini, anaposema kundi hili ni watu wa shida hajafatilia vizuri.
Pia atofautishe kati ya walevi wa kupindukia na wanaokunywa na wanaojitambua vzr.
Wasomi, matajiri, hawa wote wanakunywa na wanajitambua hata marais pia ni kundi wanaokunywa sasa akisema ni watu wa dhiki na shida.
Hajuwi ukubwa wa kundi hili na nguvu yao.
[emoji23][emoji23][emoji23]Hahahaa kwamba njia nyeupeee
Hawa wanachekesha kweli. Rafiki zangu wengi wanakunywa ila wote wanatamani kuacha ila hawawezi. Wanatamani wawe kama mimi nakaa nao bar hadi saa mbaya na sinywi akija mgeni anaweza kujua Mimi ndio nimekunywa pombe nyingi.Walevi tunaishi nao humu humu na tunawajua mishe mishe zao.
Kwanza siku hizi pesa imekuwa ngumu ndio maana wanakunywa SPIRITS ( Konyagi, Kvant ) ili walewe mapema. Pesa ya kulewa bia tupu hawana.
Wakifulia wanakula Ugoro wa Wamasai🤣
Walevi wote wanatamani kuacha ila ADDICTION haiachwi kirahisi, ndio maana suluhisho walilonalo ni kupeana moyo kama hivi na kushawishi watu wengine waingie huko ili wawe kama wao.Hawa wanachekesha kweli. Rafiki zangu wengi wanakunywa ila wote wanatamani kuacha ila hawawezi. Wanatamani wawe kama mimi balaa nao bar hadi saa mbaya na sinywi akija mgeni anaweza kujua Mimi ndio nimekunywa pombe nyingi.
Kuna uzi humu wa majuto ya walevi asubuhi hawa wanaosifia leo kule wanatamani kuacha ILA hawawezi. No self control!
Labda kama unadoea[emoji3]Hivi nyama choma na soda inanoga kweli.
Hahahaa mkuu bia zinanenepesha... tunakuntwa spirits tuendee kudamshi..tusiwe na mavitambi yaleee😜😜!...tunaambiwa spirits zinakata wese mwilini...haha sema pombe isikuendeshe .ikikuendesha you are finished😪Walevi tunaishi nao humu humu na tunawajua mishe mishe zao.
Kwanza siku hizi pesa imekuwa ngumu ndio maana wanakunywa SPIRITS ( Konyagi, Kvant ) ili walewe mapema. Pesa ya kulewa bia tupu hawana.
Wakifulia wanakula Ugoro wa Wamasai🤣
...Halafu wewe.
W.end karibu mtaani hadi kuche
Ila kuna watu wakilewa hawatak masuala ya ngonoKuna Dada yangu anapiga pombe balaa mpaka akiwa na mwanaume anamuacha haaah haaaah haaaaah
Spirits zinapausha mwili. Ukimuona mtu ngozi imepaukaa utafikiri kalala jikoni kwenye majivu.Hahahaa mkuu bia zinanenepesha... tunakuntwa spirits tuendee kudamshi..tusiwe na mavitambi yaleee😜😜!...tunaambiwa spirits zinakata wese mwilini...haha sema pombe isikuendeshe .ikikuendesha you are finished😪
Hahhahaa....! DahSpirits zinapausha mwili. Ukimuona mtu ngozi imepaukaa utafikiri kalala jikoni kwenye majivu.
Hasa hasa lishe ikiwa duni. Spirits zinaendana na lishe.