Nahisi wapo watu wana ugomvi na Waziri Mkuu wetu mchapa kazi hodari

Nahisi wapo watu wana ugomvi na Waziri Mkuu wetu mchapa kazi hodari

Nimekuwa nikipita humu mara kwa mara na threads nyingi zimekuwa zikimtakia au kumuombea mabaya Waziri wetu Mkuu mchapa kazi hodari mzalendo wa kweli asiyependa uzembe utokee popote, amekuwa akipigwa Vita na vya kimtandao wa kumuombea mabaya yamfike.

Nadhani pengine hili linatokea baada ya pengine mirija yao ya upigaji kuzibwa aidha wanaona amekuwa kikwazo kwao kwa namna moja au nyingine.

Kassim Majaliwa ndiye Waziri Mkuu anayeifaa Tanzania yetu kwa nyakati hizi, ni mkali kidogo, anapofika mahala jasho huanza kuwatoka wabadhirifu.

Naoimba CCM na vikao vyake na mamlaka zake kutokana na hayo yanayoendelea mitandaoni isiyafuate, Majaliwa anaifaa Tanzania yetu kwa nyakati hizi.

Jumatano kareem.
Kiukwel napinga sana mamb ya CCM ila Kweny hili la Majaliwa noo, anafanya kaz!! Nadhan ni kakikundi flan ndo kanaleta hila kwake!!
 
Machadema yamo mkuu!

Angalia coment zao humu utaelewa

Kwa akili zao kibano walichopata awamu ya tano Samia hahusiki isipokuwa Majaliwa ambae ni mdogo kuliko makamu rais
Ndio SSS hahusiki maana Kwa nafasi ya VP hakuna na fursa ya utendaji isipokuwa yeye na Mwendazake.
 
Nimekuwa nikipita humu mara kwa mara na threads nyingi zimekuwa zikimtakia au kumuombea mabaya Waziri wetu Mkuu mchapa kazi hodari mzalendo wa kweli asiyependa uzembe utokee popote, amekuwa akipigwa Vita na vya kimtandao wa kumuombea mabaya yamfike.

Nadhani pengine hili linatokea baada ya pengine mirija yao ya upigaji kuzibwa aidha wanaona amekuwa kikwazo kwao kwa namna moja au nyingine.

Kassim Majaliwa ndiye Waziri Mkuu anayeifaa Tanzania yetu kwa nyakati hizi, ni mkali kidogo, anapofika mahala jasho huanza kuwatoka wabadhirifu.

Naoimba CCM na vikao vyake na mamlaka zake kutokana na hayo yanayoendelea mitandaoni isiyafuate, Majaliwa anaifaa Tanzania yetu kwa nyakati hizi.

Jumatano kareem.

Ni jizi la kura fullstop.
 
Kumekuwa na pressure za hapa na pale kuwa Mkulu hajawahi kuunda cabinet yake, na kuna wanaomwona as PM sio 'chaguo' la mkulu aliepo.

Nadhani ni vema akavunja cabinet na kumteua PM kwa barua kwenda bungeni. Kama aliepo anapata 'neema na kibali' machoni pa mkulu, na akamuapisha, atawakata kilimi wale 'wenye wivu wa kike'.
Au kama watakuwa mmoja wa wale 'vijana wetu', basi hapo napo bunge litaamua.
Au kama akiwa ni yule manabii walio ughaibuni wanatudhanisha, basi bunge litaamua pia.

Yote katika yote, iko haja mkulu kufanya maamuzi ya kuvunja uvumi kumpa assurance kama vile alivyowataka wenye nia na 2025 wasiwaze ili safari hiyo iwe zamu ya akina mama, maana ungwe hii ni kudra za maulana.

Mchana mwema!
 
Alipovuka 2022 akiwa PM,

Hayupo wa kumtoa mwaka huu,

Unaeza ona Serikali tuliahidiwa inasukwa UPYA Bado imeshindikana kulitoa Jina lake.
 
Nimekuwa nikipita humu mara kwa mara na threads nyingi zimekuwa zikimtakia au kumuombea mabaya Waziri wetu Mkuu mchapa kazi hodari mzalendo wa kweli asiyependa uzembe utokee popote, amekuwa akipigwa Vita na vya kimtandao wa kumuombea mabaya yamfike.

Nadhani pengine hili linatokea baada ya pengine mirija yao ya upigaji kuzibwa aidha wanaona amekuwa kikwazo kwao kwa namna moja au nyingine.

Kassim Majaliwa ndiye Waziri Mkuu anayeifaa Tanzania yetu kwa nyakati hizi, ni mkali kidogo, anapofika mahala jasho huanza kuwatoka wabadhirifu.

Naoimba CCM na vikao vyake na mamlaka zake kutokana na hayo yanayoendelea mitandaoni isiyafuate, Majaliwa anaifaa Tanzania yetu kwa nyakati hizi.

Jumatano kareem.
UNGEWATAJA BASI
 
Jamaa sina hamu naye toka alipotudanya msikitini
 
Back
Top Bottom