Nahisi yule hakua mtu wa kawaida bali malaika

MIMI ndio yule kaka yako CHIZI muokota makopo nakwambiaje waambie na wengine nilichokwambia jinsi ya kutengeneza hizo 300 Mia 3 ukizidisha na 60 ukaingiza 540k kwa Mwezi wape code acha uchoyo
Sio uchoyo bro kama vipi.na wao wape ishu zao zingine tu hii si ulisema ni zawadi yangu.
 
Asante ndugu mleta uzi kuna mengi tumejifunza kutokana na ushuhuda wako mzuri, lakini hapo kwenye 300x600 ni sawa na 540k sijapaelewa vizuri japo ni kweli hesabu zinaweza kunisumbua lakini najua 300x60=18000, ufafanuzi tafadhali
Hiyo ni Kwa siku zidisha mara 30 (idadi ya siku Kwa mwezi mmoja).
 
Above all nimeona ni njia yakufika tunapojadili.....so never mind mazuri yapo.
Ukitoboa Toa SADAKA Kwa alie kupa.MUNGU.
 
Above all nimeona ni njia yakufika tunapojadili.....so never mind mazuri yapo.
Ukitoboa Toa SADAKA Kwa alie kupa.MUNGU.
Asante kunikumbusha.
Kwenye sadaka sizembei.
Kesho naenda kupunguza ahadi ya jengo kanisani kwetu.
Fungu la kumi pia .
 
Mara ya mwisho kumloga mtu ilikuwa hivihivi,anatupa story jinsi alivyopewa mbinu ya kupiga hela halafu tukimuuliza anagoma kusema,saiz ashakuwa chizi anaokota makopo ,Sasa bado wewe mtoa madam,na nimekupa masaa matatu yakutwambia hiyo biashara,shauri yako!
 
Story fikirishi, **** wakati Mungu hututembelea katika namna isiyopendeza ili kupima mioyo yetu. Kama ukibahatika kuvuka hicho kipimo huwa ndo mlango wa kutokea.
 
Nimejifunza jambo.
Nimependa the way unasimulia Queen ila nahisi angeendelea kuja tungekua na shemela muokota chuma chakavu๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†

Hata mimi nahisi hivyo coz navutiwa na wanaume smart.
Mwanaume zero brain hata awe na hela havutii.
 
Siogopi uchawi mkuu๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†
 
Fafanua zaidi mkuu ๐Ÿ™๐Ÿ™
Story fikirishi, **** wakati Mungu hututembelea katika namna isiyopendeza ili kupima mioyo yetu. Kama ukibahatika kuvuka hicho kipimo huwa ndo mlango wa kutokea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ